Mnanenepa sana wadada

hilo jukumu la kupanga uzazi si mmewakabidhi kina dada, so mkubali na matokeo yanayoambatana na 'miundombinu' ya kupanga uzazi.

Freema Agyeman,

Sio wote wanaonenepa kwa kutumia dawa za uzazi wengi wao ni hali ya kujitupa na kujisahau ,by the way r u Ghanian?
 
Kwakweli suala la diet mi ndo limenishinda kabisaa..nakula mashallah!...naanzia jikoni mpaka vikipangwa mezani. Mazoezi ndo kabisaaa hayajawahi hata ku-cross my mind...ila kilo zangu hazitishi sana.

Kwenye ndoa, wakumthibiti uzito mke ni mumewe...kama wamjaza tu mi-protein ya kufa mtu kila sikuuu...kisha unmwambia ameze midonge ya uzazi. Lazima anenepe sana... Unamnenepesha mwenyewe kwa kumletea machips then unaenda kum-hadithi kwa rafiki zako...# Tabia mbaayyaaaa!!
 
Ukitaka kuwaona hawa wadada pita pita kwenye bar weekends au nenda kwenye muziki wa bend yaani huko wamejaa kibao utafikiri wanaigana kunenepa:lol:
 
kwani mlo ndo unafanya mtu anenepe mi nadhani kurelax tu kwenye maisha bana
 

Hamna mtu anayenenepeshwa na mwenzie

By the way kuna njia nyingi tu asilia za uzazi kwanini watu wadakie midonge???

:lol::lol::lol:
 


Hayo mazoezi unayafanya saa ngapi hapo kiwanjani? Uswazi mwanamke utoke saa kumi alfajiri ( manake saa 11 kazini) unawahi foleni. Saa hizo ukibakwa je? Sipati picha na hao vijana wanaokupa msaada wa mazoezi, wakifanya mazoezi kwenye mwili wako je?
Jamani let's focus on realities of life. Kijijini wanatumia jembe ndo zoezi lao,mjini ni wachache wanaweza kwenda gym au kufanya mazoezi.

Unaishi wapi mwenzangu? Unadhani kila mtaa una uwanja wa shule? Suppose inabidi utembee kilometa 2 za madimbwi na mashimo ndo ufike kwenye uwanja haujachelewa tu kazini.

Maisha yako si ya watanzania wengi hasa hao wenye vitambi.
 
mwanamke minyama babu

Wewe Tabasam! Nilikua naenda msalani, nime'break baada kuiona hii commet ! Yako nisingejisikia pleasure kama ningeenda sijaisemea hii, umen'rusha "eti mwanamke minyama" hembu angalia ile minyama ya mbavu inavyokuaga ! Sometyms ina draw marinda flani mpaka nje ya nguo! Tambi nalo hua tumbo kama linataka kuanguka kwa mbele! Inshort husababisha " loss of appetite "
 
minyama sio kote ni kwenye potential areas mkuu
 

Hahahaha lol sikua hata na mpango wa kucheka hivi leo mwe! ila kiukweli uzazi unasababishia wanawake wengi vitambi mwingine hata afanye mazoezi vipi.

Ila ukijitahidi mazoezi na diet kidogo kitambi kinapungua maana wengine wamezidi wajameni mtu anakua na kitambi utadhani amevishwa tairi la gari eneo la tumboni?
 

I worked in Dar for 5 years then was transfered to mkoa, I thought was end of the road ila kuanzia nimekuja mkoa nimepungua sana n I ma ver healthy, natoka kazini naenda home nachange to gym cloth naingia mazoezini saa 12.30 hadi saa 2.30 usiku, weekend tuna club ya wadada tunaenda swimming in certain hotel, we dance sunday in one of our places. Life is so funny headaches za kila siku zimeisha kila nikipima sina malaria ambayo Dar ilikuwa kama part of my life. Karibuni mkoa for healthy style of life. Bila kusahau msosi nakula pale pale ila huku ni kuku wa kienyeji daily n ver fresh food as I have time to wake up in the morning cooking my lunch n park it. As it is 5 minutes drive from home to office. Wakinihamishia tena Dar if well enough naresighn na kufanya mambo yangu as life la Dar kama mfanyakazi unaye report kwa muda ni gumu sana.
 

hapo kwenye kutunza afya niliona uko sahihi, lakini kumbe wewe unachozungumzia hapa ni kupenda shepu ya mtu na si mtu nafsi mwenyewe, kwa mtazamo wako huo sikushauri uoe maana utaacha wengi, si wanawake tu ambao hupata mabadiliko kadri miaka inavyooenda hata nyie wanaume pia huwa mnabadilika sana lkn hamjioni tu. hapo kwenye mfano uliowataja kina Jlo na Angelina hao sio mifano mizuri ya kujifananisha na mabinti uliowtaja wa hapa nyumbani, wenzako wana sababu nyingi zinazowafanya waonekane kama walivyo ikiwemo kufanyiwa surgery za kitaalamu sana!
 
Kila mtu na raha zake wewe utapenda mnene wengine wembamba basi ilimradi fujo mtaani...

faraja nyepesi hiyo dada...wengi huitamani hiyo miturbo kuichungulia tuu (udadisi) basi... unene ni kero sasa ktk ndoa nyingi...na tena unachangia maambukizi ya vvu...
 
late where...?....mimi nina 91...ndio najitahidi hapa hata zifike 85......


Jitahidi shosti utafanikiwa tu..
Hapo nilikuwa najaribu kumshauri huyu Bi Shosti mwingine ili zisipande zaidi, ikiwezekana azipunguze..
 
Wewe kama hutaki mtu wako abongeke fanya nae mazoezi, wote kuleni kiafya zaidi. Sio unamlalamikia mwenzako wakati mwenyewe una kitambi cha kubeba na wilbaro.
 
Mwanamke wa kiafrica lazima uwe na nyama kidogo hata ukivaa nguo ikushike ati...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…