britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
- Thread starter
-
- #21
Wa we wana acknowledgeMimi zangu kibao.zilisha kopiwa magazetini na bungeni mbunge anasimama anaongea A to Z ya nilichoandika humu
Sijali at least wawe wana acknowledge kuwa hizo habari zimetoka mtandao wa jamiiforums Nadhani watakuwa wameitendea haki Jamiiforums kama chombo cha habari
Wewe ndo ulieshinda ule uzi wa "Umuhimu wa Dira ya taifa"* ambayo juzi anko rashidi (gwajiboy) kautema kama ulivyo bungeni bila credit???Mimi zangu kibao.zilisha kopiwa magazetini na bungeni mbunge anasimama anaongea A to Z ya nilichoandika humu
Sijali at least wawe wana acknowledge kuwa hizo habari zimetoka mtandao wa jamiiforums Nadhani watakuwa wameitendea haki Jamiiforums kama chombo cha habari
Hivi jamiiforums hawana copyright kwenye mada tunapost humuWa we wana acknowledge
Nope mkuu yule ni adriannaWewe ndo ulieshinda ule uzi wa "Umuhimu wa Dira ya taifa"* ambayo juzi anko rashidi (gwajiboy) kautema kama ulivyo bungeni bila credit???
Nchi yetu ni nchi ya ajabu sana. Mtu mwenyewe wanayekukopi ni kilaza wa kutupwa na huwa unaandika uongo tu.Ungeangalia wapi pa kwanza Ku post, alafu nasikia katiwa mkwara na Bashite kafuta hahaha
Nimembana kanichapa blockMbaya sana ,inabidi ifike mahali Hawa copy and paste wahojiwe Kwa kichapo kikali
Inabidi hao followers wake una waambia ukwel kama yy haelewi.tena uwasumbue Ili kama kumuaribia apotee kabisa..Nimembana kanichapa block
Huyu Buyobe si analalamika naye kuibiwa news. Kumbe naye ni mwizi tu la wezi wengineKuna Nyuzi zangu Kama nne nimeona watu kama sita wana copy na kutumia,
1.Nilileta ule wa MOSCOW na DR SHIKA watu wakaenda kuifanya Simulizi YouTube wakapata Viewes bila hata kuni acknowledge,..
Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli
Lancefort Ltd ni kampuni iliyosajiliwa nchini Russia miaka kadhaa iliyopita, na kwasasa haifanyi kazi kwa kipindi kirefu baada ya watendaji wake kupotea gafla kwa mazingira ya kutatanisha. Kutoka mjini Rostov on don napokaa mpaka Moscow ni mwendo mrefu kidogo ambao ni km 1200 na zaidi, kwa...www.jamiiforums.com
2. Nikaleta Uzi wa ni Siri gani umeficha Ficha nimeona unatrend sehemu
3.Uzi mwingine nikasikia Loveness love wa Ala za Roho anatumia Jamani dah toeni credit
4. Wa Hadara za Vita ya Urusi na UKRAINE pia Jamaa Telegram karuka nao duh
Sasa Huu wa Ushauri Kwa Makonda nasikia Jamaa anajiita BUYOBE nao karuka nao
Alafu watu wanakuja kusema mi ni Buyobe Au nimekopi kwake!
Nikamsaka Buyobe nikagundua kauandika Masaa 9 yaliyopita wakati mimi nimeuandika Masaa 14 yaliyopita watu hata hapo hamtofautishi??
Toeni acknowledgment
View attachment 2184928
Nimemfuata hata DM
View attachment 2184929
KANITANDIKA BLOCK NA UZI KAUFUTA JAPO KASHAPIGA PESA TELEGRAM
View attachment 2185088
Usikute wewe Ndo Buyobe mwenyewe unatuchezea tu akili zetu.Kuna Nyuzi zangu Kama nne nimeona watu kama sita wana copy na kutumia,
1.Nilileta ule wa MOSCOW na DR SHIKA watu wakaenda kuifanya Simulizi YouTube wakapata Viewes bila hata kuni acknowledge,..
Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli
Lancefort Ltd ni kampuni iliyosajiliwa nchini Russia miaka kadhaa iliyopita, na kwasasa haifanyi kazi kwa kipindi kirefu baada ya watendaji wake kupotea gafla kwa mazingira ya kutatanisha. Kutoka mjini Rostov on don napokaa mpaka Moscow ni mwendo mrefu kidogo ambao ni km 1200 na zaidi, kwa...www.jamiiforums.com
2. Nikaleta Uzi wa ni Siri gani umeficha Ficha nimeona unatrend sehemu
3.Uzi mwingine nikasikia Loveness love wa Ala za Roho anatumia Jamani dah toeni credit
4. Wa Hadara za Vita ya Urusi na UKRAINE pia Jamaa Telegram karuka nao duh
Sasa Huu wa Ushauri Kwa Makonda nasikia Jamaa anajiita BUYOBE nao karuka nao
Alafu watu wanakuja kusema mi ni Buyobe Au nimekopi kwake!
Nikamsaka Buyobe nikagundua kauandika Masaa 9 yaliyopita wakati mimi nimeuandika Masaa 14 yaliyopita watu hata hapo hamtofautishi??
Toeni acknowledgment
View attachment 2184928
Nimemfuata hata DM
View attachment 2184929
KANITANDIKA BLOCK NA UZI KAUFUTA JAPO KASHAPIGA PESA TELEGRAM
View attachment 2185088
Mkuu nilikusema nikajua nawe ni mwizi..samahani Ila Yule Buyobe ana lugha chafu pia Kama utacomment kinyume nae afu ni moja ya watu wanaona Maisha kayapatia kisa tu yupo Tanroads PUA PUA PUA PUA PUAAlafu hafanyi hata marekebisho yeyote angalau anakopi mpaka nukta hata typing errors
Swadakta.....Kuna Nyuzi zangu Kama nne nimeona watu kama sita wana copy na kutumia,
1.Nilileta ule wa MOSCOW na DR SHIKA watu wakaenda kuifanya Simulizi YouTube wakapata Viewes bila hata kuni acknowledge,..
Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli
Lancefort Ltd ni kampuni iliyosajiliwa nchini Russia miaka kadhaa iliyopita, na kwasasa haifanyi kazi kwa kipindi kirefu baada ya watendaji wake kupotea gafla kwa mazingira ya kutatanisha. Kutoka mjini Rostov on don napokaa mpaka Moscow ni mwendo mrefu kidogo ambao ni km 1200 na zaidi, kwa...www.jamiiforums.com
2. Nikaleta Uzi wa ni Siri gani umeficha Ficha nimeona unatrend sehemu
3.Uzi mwingine nikasikia Loveness love wa Ala za Roho anatumia Jamani dah toeni credit
4. Wa Hadara za Vita ya Urusi na UKRAINE pia Jamaa Telegram karuka nao duh
Sasa Huu wa Ushauri Kwa Makonda nasikia Jamaa anajiita BUYOBE nao karuka nao
Alafu watu wanakuja kusema mi ni Buyobe Au nimekopi kwake!
Nikamsaka Buyobe nikagundua kauandika Masaa 9 yaliyopita wakati mimi nimeuandika Masaa 14 yaliyopita watu hata hapo hamtofautishi??
Toeni acknowledgment
View attachment 2184928
Nimemfuata hata DM
View attachment 2184929
KANITANDIKA BLOCK NA UZI KAUFUTA JAPO KASHAPIGA PESA TELEGRAM
View attachment 2185088
👍Mimi zangu kibao.zilisha kopiwa magazetini na bungeni mbunge anasimama anaongea A to Z ya nilichoandika humu
Sijali at least wawe wana acknowledge kuwa hizo habari zimetoka mtandao wa jamiiforums Nadhani watakuwa wameitendea haki Jamiiforums kama chombo cha habari