Mnao Copy Nyuzi zangu na kupeleka Twitter na YouTube Mjue nami nipo huko basi toeni Credit Mnachanganya watu

Mnao Copy Nyuzi zangu na kupeleka Twitter na YouTube Mjue nami nipo huko basi toeni Credit Mnachanganya watu

Mimi zangu kibao.zilisha kopiwa magazetini na bungeni mbunge anasimama anaongea A to Z ya nilichoandika humu


Sijali at least wawe wana acknowledge kuwa hizo habari zimetoka mtandao wa jamiiforums Nadhani watakuwa wameitendea haki Jamiiforums kama chombo cha habari
Wa we wana acknowledge
 
Duhhhh...🤔
Pole sana mkuu, walimwengu ni wabaya sana
 
Mimi zangu kibao.zilisha kopiwa magazetini na bungeni mbunge anasimama anaongea A to Z ya nilichoandika humu


Sijali at least wawe wana acknowledge kuwa hizo habari zimetoka mtandao wa jamiiforums Nadhani watakuwa wameitendea haki Jamiiforums kama chombo cha habari
Wewe ndo ulieshinda ule uzi wa "Umuhimu wa Dira ya taifa"* ambayo juzi anko rashidi (gwajiboy) kautema kama ulivyo bungeni bila credit???
 
Mimi ndiye li Buyobe lenyewe, mtajijua ili mradi napata viewers ....
 
Mbaya sana ,inabidi ifike mahali Hawa copy and paste wahojiwe Kwa kichapo kikali
 
Unakuta mtu kavaa Miwani na Suti utasema Profesa kumbe Mwizi kama wezi wengine Analisha familia kwa Kucopy na Kupaste...Mi kuna Mtu humu Anaiba comments Zangu Bado np Kwenye Uchunguzi soon Ntamuanika hapa!
 
Huyo buyobe mbona analalamikiwa sana sio mara moja wala mara mbili.
 
Kuna Nyuzi zangu Kama nne nimeona watu kama sita wana copy na kutumia,

1.Nilileta ule wa MOSCOW na DR SHIKA watu wakaenda kuifanya Simulizi YouTube wakapata Viewes bila hata kuni acknowledge,..



2. Nikaleta Uzi wa ni Siri gani umeficha Ficha nimeona unatrend sehemu

3.Uzi mwingine nikasikia Loveness love wa Ala za Roho anatumia Jamani dah toeni credit

4. Wa Hadara za Vita ya Urusi na UKRAINE pia Jamaa Telegram karuka nao duh


Sasa Huu wa Ushauri Kwa Makonda nasikia Jamaa anajiita BUYOBE nao karuka nao

Alafu watu wanakuja kusema mi ni Buyobe Au nimekopi kwake!

Nikamsaka Buyobe nikagundua kauandika Masaa 9 yaliyopita wakati mimi nimeuandika Masaa 14 yaliyopita watu hata hapo hamtofautishi??

Toeni acknowledgment

View attachment 2184928


Nimemfuata hata DM


View attachment 2184929

KANITANDIKA BLOCK NA UZI KAUFUTA JAPO KASHAPIGA PESA TELEGRAM
View attachment 2185088
Huyu Buyobe si analalamika naye kuibiwa news. Kumbe naye ni mwizi tu la wezi wengine
 
Kuna Nyuzi zangu Kama nne nimeona watu kama sita wana copy na kutumia,

1.Nilileta ule wa MOSCOW na DR SHIKA watu wakaenda kuifanya Simulizi YouTube wakapata Viewes bila hata kuni acknowledge,..



2. Nikaleta Uzi wa ni Siri gani umeficha Ficha nimeona unatrend sehemu

3.Uzi mwingine nikasikia Loveness love wa Ala za Roho anatumia Jamani dah toeni credit

4. Wa Hadara za Vita ya Urusi na UKRAINE pia Jamaa Telegram karuka nao duh


Sasa Huu wa Ushauri Kwa Makonda nasikia Jamaa anajiita BUYOBE nao karuka nao

Alafu watu wanakuja kusema mi ni Buyobe Au nimekopi kwake!

Nikamsaka Buyobe nikagundua kauandika Masaa 9 yaliyopita wakati mimi nimeuandika Masaa 14 yaliyopita watu hata hapo hamtofautishi??

Toeni acknowledgment

View attachment 2184928


Nimemfuata hata DM


View attachment 2184929

KANITANDIKA BLOCK NA UZI KAUFUTA JAPO KASHAPIGA PESA TELEGRAM
View attachment 2185088
Usikute wewe Ndo Buyobe mwenyewe unatuchezea tu akili zetu.
 
Alafu hafanyi hata marekebisho yeyote angalau anakopi mpaka nukta hata typing errors
Mkuu nilikusema nikajua nawe ni mwizi..samahani Ila Yule Buyobe ana lugha chafu pia Kama utacomment kinyume nae afu ni moja ya watu wanaona Maisha kayapatia kisa tu yupo Tanroads PUA PUA PUA PUA PUA
 
Kuna Nyuzi zangu Kama nne nimeona watu kama sita wana copy na kutumia,

1.Nilileta ule wa MOSCOW na DR SHIKA watu wakaenda kuifanya Simulizi YouTube wakapata Viewes bila hata kuni acknowledge,..



2. Nikaleta Uzi wa ni Siri gani umeficha Ficha nimeona unatrend sehemu

3.Uzi mwingine nikasikia Loveness love wa Ala za Roho anatumia Jamani dah toeni credit

4. Wa Hadara za Vita ya Urusi na UKRAINE pia Jamaa Telegram karuka nao duh


Sasa Huu wa Ushauri Kwa Makonda nasikia Jamaa anajiita BUYOBE nao karuka nao

Alafu watu wanakuja kusema mi ni Buyobe Au nimekopi kwake!

Nikamsaka Buyobe nikagundua kauandika Masaa 9 yaliyopita wakati mimi nimeuandika Masaa 14 yaliyopita watu hata hapo hamtofautishi??

Toeni acknowledgment

View attachment 2184928


Nimemfuata hata DM


View attachment 2184929

KANITANDIKA BLOCK NA UZI KAUFUTA JAPO KASHAPIGA PESA TELEGRAM
View attachment 2185088
Swadakta.....

Huo wanaoufanya ni WIZI na ushamba wa nafsi pamoja na tabia......

#Siempre JMT🙏
 
Mimi zangu kibao.zilisha kopiwa magazetini na bungeni mbunge anasimama anaongea A to Z ya nilichoandika humu


Sijali at least wawe wana acknowledge kuwa hizo habari zimetoka mtandao wa jamiiforums Nadhani watakuwa wameitendea haki Jamiiforums kama chombo cha habari
👍
 
Back
Top Bottom