Mimi zangu kibao.zilisha kopiwa magazetini na bungeni mbunge anasimama anaongea A to Z ya nilichoandika humu
Sijali at least wawe wana acknowledge kuwa hizo habari zimetoka mtandao wa jamiiforums Nadhani watakuwa wameitendea haki Jamiiforums kama chombo cha habari
Mimi zangu kibao.zilisha kopiwa magazetini na bungeni mbunge anasimama anaongea A to Z ya nilichoandika humu
Sijali at least wawe wana acknowledge kuwa hizo habari zimetoka mtandao wa jamiiforums Nadhani watakuwa wameitendea haki Jamiiforums kama chombo cha habari
Unakuta mtu kavaa Miwani na Suti utasema Profesa kumbe Mwizi kama wezi wengine Analisha familia kwa Kucopy na Kupaste...Mi kuna Mtu humu Anaiba comments Zangu Bado np Kwenye Uchunguzi soon Ntamuanika hapa!
Lancefort Ltd ni kampuni iliyosajiliwa nchini Russia miaka kadhaa iliyopita, na kwasasa haifanyi kazi kwa kipindi kirefu baada ya watendaji wake kupotea gafla kwa mazingira ya kutatanisha. Kutoka mjini Rostov on don napokaa mpaka Moscow ni mwendo mrefu kidogo ambao ni km 1200 na zaidi, kwa...
www.jamiiforums.com
2. Nikaleta Uzi wa ni Siri gani umeficha Ficha nimeona unatrend sehemu
3.Uzi mwingine nikasikia Loveness love wa Ala za Roho anatumia Jamani dah toeni credit
4. Wa Hadara za Vita ya Urusi na UKRAINE pia Jamaa Telegram karuka nao duh
Sasa Huu wa Ushauri Kwa Makonda nasikia Jamaa anajiita BUYOBE nao karuka nao
Alafu watu wanakuja kusema mi ni Buyobe Au nimekopi kwake!
Nikamsaka Buyobe nikagundua kauandika Masaa 9 yaliyopita wakati mimi nimeuandika Masaa 14 yaliyopita watu hata hapo hamtofautishi??
Lancefort Ltd ni kampuni iliyosajiliwa nchini Russia miaka kadhaa iliyopita, na kwasasa haifanyi kazi kwa kipindi kirefu baada ya watendaji wake kupotea gafla kwa mazingira ya kutatanisha. Kutoka mjini Rostov on don napokaa mpaka Moscow ni mwendo mrefu kidogo ambao ni km 1200 na zaidi, kwa...
www.jamiiforums.com
2. Nikaleta Uzi wa ni Siri gani umeficha Ficha nimeona unatrend sehemu
3.Uzi mwingine nikasikia Loveness love wa Ala za Roho anatumia Jamani dah toeni credit
4. Wa Hadara za Vita ya Urusi na UKRAINE pia Jamaa Telegram karuka nao duh
Sasa Huu wa Ushauri Kwa Makonda nasikia Jamaa anajiita BUYOBE nao karuka nao
Alafu watu wanakuja kusema mi ni Buyobe Au nimekopi kwake!
Nikamsaka Buyobe nikagundua kauandika Masaa 9 yaliyopita wakati mimi nimeuandika Masaa 14 yaliyopita watu hata hapo hamtofautishi??
Mkuu nilikusema nikajua nawe ni mwizi..samahani Ila Yule Buyobe ana lugha chafu pia Kama utacomment kinyume nae afu ni moja ya watu wanaona Maisha kayapatia kisa tu yupo Tanroads PUA PUA PUA PUA PUA
Lancefort Ltd ni kampuni iliyosajiliwa nchini Russia miaka kadhaa iliyopita, na kwasasa haifanyi kazi kwa kipindi kirefu baada ya watendaji wake kupotea gafla kwa mazingira ya kutatanisha. Kutoka mjini Rostov on don napokaa mpaka Moscow ni mwendo mrefu kidogo ambao ni km 1200 na zaidi, kwa...
www.jamiiforums.com
2. Nikaleta Uzi wa ni Siri gani umeficha Ficha nimeona unatrend sehemu
3.Uzi mwingine nikasikia Loveness love wa Ala za Roho anatumia Jamani dah toeni credit
4. Wa Hadara za Vita ya Urusi na UKRAINE pia Jamaa Telegram karuka nao duh
Sasa Huu wa Ushauri Kwa Makonda nasikia Jamaa anajiita BUYOBE nao karuka nao
Alafu watu wanakuja kusema mi ni Buyobe Au nimekopi kwake!
Nikamsaka Buyobe nikagundua kauandika Masaa 9 yaliyopita wakati mimi nimeuandika Masaa 14 yaliyopita watu hata hapo hamtofautishi??
Mimi zangu kibao.zilisha kopiwa magazetini na bungeni mbunge anasimama anaongea A to Z ya nilichoandika humu
Sijali at least wawe wana acknowledge kuwa hizo habari zimetoka mtandao wa jamiiforums Nadhani watakuwa wameitendea haki Jamiiforums kama chombo cha habari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.