Mnao jiita waganga na wachawi, mmeshindwaje kuwadumaza (kuwapiga ganzi) hao waarabu kwa mkapa mpaka wanaondoka na furaha

Na hili nalo mkalitazame
 
Wewe hebu sikia
Kitendo alichofanya Ally kamwe Leo kamwe YANGA asingeshinda kamweeee.

Unaijua kamati ya SIMBA?
anyway kua kua kwanza.
 
Tukienda kule tunachezesha waganga tupu, wachezaji wanakaa benchi
wao watachezesha majini, waarabu mnawajua vizuriiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
wao watachezesha majini, waarabu mnawajua vizuriiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na ukute yalicheza makina makata,manake sio kwa pasi zile ndani ya 18,mwapunyeto alibaki anashangaa haelewi kitu,ni kama alikuwa anagonga nyeto tu uwanjani.
 
Wewe hebu sikia
Kitendo alichofanya Ally kamwe Leo kamwe YANGA asingeshinda kamweeee.

Unaijua kamati ya SIMBA?
anyway kua kua kwanza.
Waganga wa hii nchi ni wapumbavu tu.
 
Na ukute yalicheza makina makata,manake sio kwa pasi zile ndani ya 18,mwapunyeto alibaki anashangaa haelewi kitu,ni kama alikuwa anagonga nyeto tu uwanjani.
Yaani goli la pili limeniuma sana.
 
🤔🤔🤔🤔
 
Na ukute yalicheza makina makata,manake sio kwa pasi zile ndani ya 18,mwapunyeto alibaki anashangaa haelewi kitu,ni kama alikuwa anagonga nyeto tu uwanjani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bao la 2, sio kwa pass zile ndani ya box daaaaah. Watu wanacheza mpira bhanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…