50thebe
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 4,088
- 4,059
Chama asifananishweHaya sasa mtaanza kunielewa, simba sio mbovu bali NBC PL sio ndondo cup
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama asifananishweHaya sasa mtaanza kunielewa, simba sio mbovu bali NBC PL sio ndondo cup
Unaionaje ligi .mkuu?Basi kama hii ligi ni bora basi naacha kufatilia mipira
Ili upate goli 5 au zaidi ya Tano kwanza uwenayo iyo timu, Huwezi kua na timu middle zako zote zinatembea uwanjani alafu unataka goli 5.
Kiungo mshambuliaji na mzuiaji Distance covered per them iwe 6km per metch wakati wenzako middle zao na wing's zinakimbia 10/12 km per metch tena na maufundi mengi.
Bado zipo timu round hii ya pili zita tandikwa goli 5 au zaidi.
Hakuna kitu bado sana ni sawa na darasa la wajinga halikosi mwenye hafadhaliUnaionaje ligi .mkuu?View attachment 2977911
Mpaka sasa haijulikani nani anashuka daraja mtibwa akikomaa akashinda mechi tatu tu anapanda kwa kasi ya kimbunga pia wa pili kutoka mwisho bsdo hajulikani timnyingi zimefungana point pia nsfasi ya nne ina ushindani mkali sana
SawaHakuna kitu bado sana ni sawa na darasa la wajinga halikosi mwenye hafadhali