Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Hivi wewe huwa humalizi chuo tu?Nipo nafanya maombi yangu ya mkopo wa elimu ya juu.
Nimefika sehemu ya mdhamini, napata hiyo shida kwenye picha. Je sababu ni nini.
View attachment 2355490
Chuo huwa kinaisha?Hivi wewe huwa humalizi chuo tu?
Duuh me nilidhani ni meneja wa makampuni hahahah kumbe ni mwanafunzi😋Chuo huwa kinaisha?
Ukute ndio first year [emoji1787]Duuh me nilidhani ni meneja wa makampuni hahahah kumbe ni mwanafunzi[emoji39]
Ulidisco au?Chuo huwa kinaisha?
Ndio nipo first yearUkute ndio first year [emoji1787]
Ndio nilidiscoUlidisco au?
PoleNdio nilidisco
ThanksPole
Hawa binadamu wa ajabu sana... sasa ukijua alicheza disco itakusaidia nn? daaaaaNdio nilidisco