Mnaoacha gambe msitutangazie, mtakuja kuumbuka!

Mnaoacha gambe msitutangazie, mtakuja kuumbuka!

Katika umri huo unaacha gambe ili iweje sasa?
Unataka kuhujumu uchumi?
Unataka kupunguza mapato ya taifa?
Unataka kupunguza ajira? Hivi unajua pombe moja unayokunywa inazalisha ajira zaidi ya 29 na kuendelea?
Umeshauriwa vibaya?
Huna haja ya kuacha bali unaweza tu kupumzika ama kupunguza kutokana na sababu mbalimbali
Majukumu kuongezeka
Afya kwa ushauri wa tabibu
Kipato kwa ushauri wa familia
Kiroho kwa ushauri wao kidini
Uamuzi binafsi na mengineyo kama uzinzi, ugomvi na madeni)
Kuacha kabisa ama moja kwa moja kuna hasara zake pia.. Labda tu kama Unataka kuwa mlozi
Vema ni
Kupunguza na kunywa kwa mpangilio ama kuzipa finyango likizo ya muda ziweze kujipanga kwa fatique nyingine😭🤣
Kunywa kwa timing
Kunywa kwa kiasi
Kunywa kwa furaha
Kunywa kwa uamuzi binafsi bila kushawishiwa na yeyote awaye yote!
Gambe lenye afya lina sheria zake! Zizingatie uishi maisha mengi
Unapokunywa zingatia haya
1. Wewe ni nani
2. Uko wapi
3. Unafanya nini
Hizi kanuni ni muhimu sana kuepuka aibu na hasara za kujitakia kama
Kutongoza hovyo
Kuanza kutoa ofa hovyo
Kuanza kakata viuno hadharani
Kugawa ajira Na kutangaza nafasi za Kazi
Kuchamba watu
Kutangaza kumwajibisha boss🤣
Kuanza kuongea ya sirini🤣 nknk
NB: usitangaze kuacha gambe kwa mapito ya muda.. Maana kuna siku tutakukuta mahali lock imetoka Kisawasawa mpaka unajikataa🤣
View attachment 3192804
Nina mwaka na miezi minne sijanywa ehee Mungu nisaidie nisirudie tena kunywa pombe yale hayakua maisha
 
Nina mwaka na miezi minne sijanywa ehee Mungu nisaidie nisirudie tena kunywa pombe yale hayakua maisha
IMG-20250105-WA0045.jpg
 
Katika umri huo unaacha gambe ili iweje sasa?
Unataka kuhujumu uchumi?
Unataka kupunguza mapato ya taifa?
Unataka kupunguza ajira? Hivi unajua pombe moja unayokunywa inazalisha ajira zaidi ya 29 na kuendelea?
Umeshauriwa vibaya?
Huna haja ya kuacha bali unaweza tu kupumzika ama kupunguza kutokana na sababu mbalimbali
Majukumu kuongezeka
Afya kwa ushauri wa tabibu
Kipato kwa ushauri wa familia
Kiroho kwa ushauri wao kidini
Uamuzi binafsi na mengineyo kama uzinzi, ugomvi na madeni)
Kuacha kabisa ama moja kwa moja kuna hasara zake pia.. Labda tu kama Unataka kuwa mlozi
Vema ni
Kupunguza na kunywa kwa mpangilio ama kuzipa finyango likizo ya muda ziweze kujipanga kwa fatique nyingine😭🤣
Kunywa kwa timing
Kunywa kwa kiasi
Kunywa kwa furaha
Kunywa kwa uamuzi binafsi bila kushawishiwa na yeyote awaye yote!
Gambe lenye afya lina sheria zake! Zizingatie uishi maisha mengi
Unapokunywa zingatia haya
1. Wewe ni nani
2. Uko wapi
3. Unafanya nini
Hizi kanuni ni muhimu sana kuepuka aibu na hasara za kujitakia kama
Kutongoza hovyo
Kuanza kutoa ofa hovyo
Kuanza kakata viuno hadharani
Kugawa ajira Na kutangaza nafasi za Kazi
Kuchamba watu
Kutangaza kumwajibisha boss🤣
Kuanza kuongea ya sirini🤣 nknk
NB: usitangaze kuacha gambe kwa mapito ya muda.. Maana kuna siku tutakukuta mahali lock imetoka Kisawasawa mpaka unajikataa🤣
View attachment 3192804
Mkuu we'e achatu!

Saazingine watu hawaachi pombe kwa hiari.

Kuacha uraibu wa pombe ni vigumu sana, kama ilivyo vigumu kuacha kunyonya ziwa la mama kwa hiari hadi ulazimishwe kuacha.

Fikiria mtu ukajikojolee ukweni, mahali panapostahili kujenga heshima, umeenda kuibomoa, utaendelea kunywa pombe kweli!

Pia kuna umri wa kutafakari mara mbili mbili kuacha pombe, lakini ukianza kuitwa 'babu' hata kwa kutaniwa, jiandae kustaafu pombe kwa lazima.
 
Mkuu we'e achatu!

Saazingine watu hawaachi pombe kwa hiari.

Kuacha uraibu wa pombe ni vigumu sana, kama ilivyo vigumu kuacha kunyonya ziwa la mama kwa hiari hadi ulazimishwe kuacha.

Fikiria mtu ukajikojolee ukweni, mahali panapostahili kujenga heshima, umeenda kuibomoa, utaendelea kunywa pombe kweli!

Pia kuna umri wa kutafakari mara mbili mbili kuacha pombe, lakini ukianza kuitwa 'babu' hata kwa kutaniwa, jiandae kustaafu pombe kwa lazima.
Pombe za laana ndio mbaya zaidi mkuu ... Haziachiki na zitakudhalilisha mpaka kaburini
 
Kumbe hata ndege😂

Completely irresponsible waxwing birds 🐦 tend to eat fermented fruit and then lie drunk on the sidewalks.
Wise passers-by collect them and put them in a safe place until they sober up.
FB_IMG_1736213735577.jpg
 
Back
Top Bottom