Shirka la Mionzi au Tanzania Commission of Radiation lipo Arusha maeneo ya Sakina.
Ni zaidi ya miaka 17 tangu nifike hapo wakati viwanja vikiwa bado vinauzwa maeneo ya sakina kuzunguka shirika hilo.
Wale wapendao kitu ili mradi ni imported naona wanapata somo.
Fikiria kuhusu kurecycle chuma na plastic ambayo ni Radio active kisha kutengeneza Microwaves , majkofu,bicycles Toys na vyombo vingine vya majumbani.
Fikiria kwamba raw materiala yenye radio active kibao kupelekwa China Indonesia Malaysia n kwingineko kutengeneza utitili wa kila kitu.
Hapo ndipo kila mtu ikiwa ni pamoja na wajinga wanao dhani Technolojia si haki yetu waonapo umuhimu wa kujitegemea kuteknolojia.
Ujamaa si lazima na si jambo muhimu lakini
kujitegemea ni jambo la lazima na muhimu kwa taifa lolote duniani.
Nchi za Third World zinalishwa sumu nyingi sana hasa zile za Heavy Metal kama Lead kupitia vyakula vinavyoingizwa kutoka nchi zenye viwanda na zisizo wajali walaji.
Kipimo chetu cha maendeleo kama Third World ni Ulukuki wa kuhodhi bidhaa agahali kutoka nje ya nchi zetu hasa zile zitokazo First world.
Umasikini mkubwa kuliko wote Duniani ni kudharau kilicho chako na zaidi ni kujidharau wewe mwenyewe na wajomba zako.
In Shor radiation hukaa katika kitu kilicho athirika fo Thousand of years, japo the first hundred or so years ndiyo time ya madhara makubwa. Kule FUKUSHIMA Japan wanatumia Plutonium katika kufua umeme wao hebu ona Half life ya Plutonium katika Jedwali.
RADIONUCLIDE HALF-LIFE
Radon-222 4 days
Iodine-131 8 days
Krypton-85 10 years
Tritium (Hydrogen-3) 12 years
Strontium-90 29 years
Cesium-137 30 years
Americium-241 433 years
Radium-226 1,622 years
Plutonium-239 24,000 years