Kwahiyo mkuu ulikua unamtumia kama kitega uchumi hata ukiwa anapelekewa moto huko hukujali ilimradi analete pesa, nawewe badaye unafanya humo humo loh inahitaji moyo mimi sina huo moyo ntakufa masikini.Inategemeana na wewe mwenyewe.
Kama unawatetemekea watakupiga sana hela.
Niliwahi kwenda mkoa fulani ambapo niliishi kwa miaka 3.
Kule nilikuta na demu mkali sana single maza. Mtaa mzima unamuogopa kwa jinsi alivyo.
Nilikuwa nakula bila hata kutoa mia mbili. Nimekaa huko hadi naondoka pesa yangu aliyokula haizidi laki 2.
Wakati niko naye kuna wanaume walikuwa wanamhonga tunaenda kuzipiga hela zao.
KUFANYA MAPENZI, HILI NENO HALISIMAMII TU KWA WANAOPENDANA, NI KILE KITENDO HATA UKIENDA UKAFANYA NA WALE WANAOJIUZA, UTAKUWA UMEFANYA MAPENZI.mkuu mapenzi yalishakufa kitambo, sahivi bila pesa unapimiwa tu, madem wanaangalia pochi tunapendwa kwa kile tulichonacho.
Mkuu wanyarwanda ni wa wote wengu huuza uchi wao bila hiana ukienda uganda wanyarwanda wanao safari kila ijuuma kuenda kujiuza ni wengi, huwezi kua wivu na mnyarwanda labda uwe mshamba wa mapenxi kosa ni kumuoa na kumweka masikani.Tuachieni dada zetu acheni wivu
Kwani Tanzania wachumba wameisha?Wanyarwanda wana kasumba moja bila kuzaa na mnyarwanda mwezie hususani watusi haoni kama kajitendea haki. Sasa wewe jidanganye kwamba uko kwenye deep love na mnyarwanda, it will end into tears,
Hata umpe nini umnunulie nini mke wa kinyarwanda ni nyoka huyu, ata zini tu nje hata akikosa munyarwanda mwenzie afadhari atazini na yule anae fanana wa nyarwanda, hawana passion intimacy trust ya mapenzi, ni watu wa kupita hata ukae nae 20yrs ata kutenda tu.
Kuna jama zangu zaidi ya watano wote waliangukia puani na kujutia kwanini uzuri wa mnyarwanda umewafunga macho na kuoa hivyo viumbe, Mnyarwanda ni wakupita nae hapo hapo na kuacha, jamaa moja Karagwe ana watoto wa tano na mnyarwanda ila matokeo ya DNA yana onyesha kati ya watano wakwake ni moja.
Na mimi nashangaa kwanini umfuate mnyarwanda wakati wachumba Tanzania ambao ni warembo ni wengi.Kwani Tanzania wachumba wameisha?
Wahutu ni weusi halafu wanavutia sana na macho yao yamekaa kimtego sana ila shida ni wafupi tu lakini watusi ni warefu na wana karangi kwa mbaliRwanda wazuri ni watusi ila wahutu ni wabovu kinyama
Wanyarwanda ni weusi hamna cha mhutu au mtusi, labda uongelee suala la urefu ila pia kuna watsi wengi ambao ni wafupi kabisa mpaka ukae Rwanda ndo jue kumbe kuna over rating ya watusi kwenye uzuri.Wahutu ni weusi halafu wanavutia sana na macho yao yamekaa kimtego sana ila shida ni wafupi tu lakini watusi ni warefu na wana karangi kwa mbali
Vipi wanawake wahangaza wana sifa gani?Tena pale Karagwe wanyarwanda ni kama nyumbani makwao, asubuhi anashinda Rwanda jioni anarudi Tanzania wengi wameumizwa sanaa mnyarwand hawana urafiki wa mtu asio mnyarwanda hata akiwa kazini au jeshini kukumaliza kwao sio issue.
Wazinzi ni wale wasiokuwa kwenye ndoa.wanandoa ndio wazinzi wakubwa kuliko wote duniani, ili uwe mzinzi lazima uwe kwenye ndoa ndio maana halisi ya uzinzi.
Mwanaharamu. Wazungu huita son of bitch😁Mtoto wa zinaa anakua vip?
Mwanaharamu hana haki katika maisha yake kwa baba anakua mtoto wa mama hata urithi hapewi hata sharia haimutambui sasa kwa nini utese kiumbe kisio kua na hatia kwa raha zako?Mwanaharamu. Wazungu huita son of bitch[emoji16]