Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh mbona yamekua hayo tena.Dj Tupigie wimbo wa kumleta AY kwenye stage[emoji3]
AY amerudi Tz kuwa chawa na anaonekama hana aura nyuso haina furaha.Itakuwa mnyaruanda anampangia minyanduano[emoji847]
[emoji419][emoji419][emoji419]Kataa ndoa,ndoa ni utapeli!!!
Kwahiyo wewe hufanyi mapenzi?wanandoa ndio wazinzi wakubwa kuliko wote duniani, ili uwe mzinzi lazima uwe kwenye ndoa ndio maana halisi ya uzinzi.
Kwani generation ya wanyarwanda sio Bantu au wana race nyingine, ni ukabila tu sioni wanacho preserve hapo.Nadhani wana Preserve generation yao! Sawa tu na Wahindi,Wachina na races nyingi duniani siyo rahisi kuzaa na mataifa mengine.
mapenzi ndio nini mbona ni kitu kigeni kwangu 😳Kwahiyo wewe hufanyi mapenzi?
Wewe vipi ni mpumbavu Kagame ndo muakilishi wa wanyarwanda duniani kwote hujui kwamba wanyarwanda waliko diaspora ni wengi kuliko wanyarwanda walioko rwanda kweli wewe ni kiazi kabisa,Mleta mada unajulikana kwa chuki zako kwa Kagame , acha propaganda za chuki na uwongo wa kitoto, kama ulitombewa hilo ni tatizo lako
Aina shida wewe kaoe tu ila tahadhari umeipata hata ukikaa na mnyarwanda miaka 20 roho yake ni ya paka lazima atakutenda tu, mnyarwanda hana shukurani kwa host wake.Kwa jinsi ninavyowakubali, binafsi nitaoa tu huyo Mnyarwanda hakuna namna.
Kumbe na wanyaturu wa siginda wako hivo au wanasingiziwa tu.Hawana tofauti na wanyaturu kumbe
Huko huko karagwe omurushaka kuna docta mmoja watoto watatu wote sio wakeWanyarwanda wana kasumba moja bila kuzaa na mnyarwanda mwezie hususani watusi haoni kama kajitendea haki. Sasa wewe jidanganye kwamba uko kwenye deep love na mnyarwanda, it will end into tears,
Hata umpe nini umnunulie nini mke wa kinyarwanda ni nyoka huyu, ata zini tu nje hata akikosa munyarwanda mwenzie afadhari atazini na yule anae fanana wa nyarwanda, hawana passion intimacy trust ya mapenzi, ni watu wa kupita hata ukae nae 20yrs ata kutenda tu.
Kuna jama zangu zaidi ya watano wote waliangukia puani na kujutia kwanini uzuri wa mnyarwanda umewafunga macho na kuoa hivyo viumbe, Mnyarwanda ni wakupita nae hapo hapo na kuacha, jamaa moja Karagwe ana watoto wa tano na mnyarwanda ila matokeo ya DNA yana onyesha kati ya watano wakwake ni moja.
Wasingiziwe na nani ndivyo walivyo kwa asilimia 95Kumbe na wanyaturu wa siginda wako hivo au wanasingiziwa tu.
Tena pale Karagwe wanyarwanda ni kama nyumbani makwao, asubuhi anashinda Rwanda jioni anarudi Tanzania wengi wameumizwa sanaa mnyarwand hawana urafiki wa mtu asio mnyarwanda hata akiwa kazini au jeshini kukumaliza kwao sio issue.Huko huko karagwe omurushaka kuna docta mmoja watoto watatu wote sio wake
Alipata mke wa kitutsi mrembo toka nyaishozi ndoa imekufa baada ya miaka zaidi ya 15 uko sahihi
Unawajua wanyambo wa karagwe? Mchanganyiko wa wahaya na watutsi,Tena pale Karagwe wanyarwanda ni kama nyumbani makwao, asubuhi anashinda Rwanda jioni anarudi Tanzania wengi wameumizwa sanaa mnyarwand hawana urafiki wa mtu asio mnyarwanda hata akiwa kazini au jeshini kukumaliza kwao sio issue.
Wanyambo ndo wahutu wa Rwanda ambao wako Tanzania wahangaza ndo watsi wa Burundi walioko Tanzania wote ni wahaya hao.Unawajua wanyambo wa karagwe? Mchanganyiko wa wahaya na watutsi,