much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Ila bongo Kuna pisi Kali nyingi sanaWanawake wenyewe tunaopigwa marufuku sasa😁😁😁😁😁
View attachment 3081712
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila bongo Kuna pisi Kali nyingi sanaWanawake wenyewe tunaopigwa marufuku sasa😁😁😁😁😁
View attachment 3081712
Kweli Nina wafahamu maana maeneo yote hayo nimewahi kufikaWagunya unawapata sana Muheza na Tanga mjini na Korogwe.
Na wakilindi unawapata sana milima ya Usambara na maeneo yote ya kilindi.
Kitabia wanajiheshimu mkuu pia ni watu ambao wanaenda na wewe unavyotaka,japo wakilindi kidogo wana tabia fulani ya kujisikia.
Acha kabisa 🙌Mkuu pisi za hivyo nazielewa kinouma😁
Sana, nilipitia mmoja zamani alikua kapoa sana huko chini.Ni wabaridi sio?
Nakubalina na wewe ,hao ni WA kugonga na kusepa tuu sio wa Kuoa.Mara kadhaa humu JF huwa naona comment za wadau wakisifia wanawake wa kitusi
Nawaambia ukweli ndugu zanguni wale sio wife material, sijaishi Rwanda waka burundi ila hao wanawake wamejaa kuanzia Kahama, Ushirombo, Runzewe, Ngara, Karagwe, Biharamulo, hayo maeneo nimevuruga sana nilichobaini ni hiki.
1. hawana joto ni wabaridi sana
2. wanafanyiwa tohara si tohaea hawana kinembe yaani kinavutwa kinakuwa kirefu.
3. Ni DIWASCO
4. Binamu kwa binamu wanapeana mapenzi au kuoana kabisa.
5. Wachafu, hili ni tatizo la jamii zote za wafugaji.
6. Hawazai na mtu ambaye sio mtutsi mwenzao,utaoa lakini ikifika muda wa mimba anakuja binamu yake kumdunga mimba,kwa ufupi hawachanganyi damu.
7. Ni mafia sana kwenye mali, kukutanguliza ahera mume kwa ajili ya mali ni kawaida.
8. Wabinafsi sana
9. Wanaringa sana haoni hasara kumringia mumewe kisa uzuri
10. Wavivu, hawajui wala hawapendi kulima, wanaoenda biashara na ufugaji, kama we ni mkulima usioe.
11. Hawavumilii shida ukipitia changamoto ya kiafya ya muda mrefi au ukiyumba kiuchumi anakutoroka.
Mwisho kabisa kuna watutsi wabaya utashangaa sio kwamba wote ni wazuri.
Mimi binafsi nimeishi nao na nimepitia sana hao viumbe usidanganyike ndugu yangu
Wagunya na wakilindi wana weupe fulani kama wa shombe shombe hivi.Kweli Nina wafahamu maana maeneo yote hayo nimewahi kufika
Wagunya na wakilindi wana weupe fulani kama wa shombe shombe hivi
Wanyambo ndio wanaoshikilia nyenzo nyingi za uchumi pale KageraMkuu kuna moja ya kinyambo nilishafanya hivyo mkuu, yani kiufupi nimepiga mule mule , now natafuta kichupa kimoja cha kibantu chenye kaweusi wa nyoka mkuu😁😁😁
Warangi wanawafikia.Binafsi naona wanawake wenye asili ya kisomali ndio wazuriYani haipo jamii hapa TZ inayowafikia package nzima ya watutsi katika suala la muonekano, ndo maana mada ni nyingi za kuponda kusifu na kuabudu, wana mabaya yao ila sio kwenye hilo la muonekano acha watu waweweseke
Ile mimilo mikubwa,mamiguu manene,mitako Mingi yaani Wakiwa watu wazima hawafai labda upate wenye asili ya kimisi.Dem wa kitusi akiwa hajazaa mzuri zaidi ila beauty peak yao inawahi kuisha
madem wengi peak ya uzuri wake ni 30s akiwa kashusha engine kadhaa ndo kabisa wanazeeka mapema
Kwahiyo unataka wote tuzini hapo kataa ndoa ndo mnopo kosea unajua madhara ya mtoto wa zina?Usifunge ndoa kabisa
#Kataa Ndoa
Linda uhuru
Linda kibunda
Linda amani yako
Linda moyo wako
Linda haki zako
Hata bila kusafiri anapata mnyRwanda mwenzie jirani hata kama na kibarua au mlinzi ili mradi ni mnyRwanda ampe mimba wewe ulee mimba ya mnyarwanda mgine.Ukimuoa akiwa tayari ku conveive lazima asafiri kwenda kwao apate mbegu chap alafu anarudi. Ndo kawaida hiyo
wanandoa ndio wazinzi wakubwa kuliko wote duniani, ili uwe mzinzi lazima uwe kwenye ndoa ndio maana halisi ya uzinzi.Kwahiyo unataka wote tuzini hapo kataa ndoa ndo mnopo kosea unajua madhara ya mtoto wa zina?