Mnaofanya biashara za mazao au nafaka au matunda naombeni ushauri

igihumbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2017
Posts
529
Reaction score
483
Ndugu poleni na majukumu naona fursa kwa upande wa mazao au nafaka pia hata matunda.

Nahitaji kuingia huku kwenye hii biashara ila nahitaji mwongozo zaidi.

Nilikuwa naomba kwa anae fanya hii biashara anipe mwongozo.

Naomba uwe unafanya hiyo biashara kwa sasa ili kupata uhalisia kamili wa menendo.

Kujua ni mazao gani yanatoka kwa sasa
ununuzi na uuzwaji wake ukoje.
changamoto zake pia zikoje.

Naombeni msaada wenu wakuu
 
Nenda kajifunze sokoni kwanza wanapoingiza na tabia za madalali wa sokoni.

Huku tutakupa faida kama LBL na Mr.kuku heka moja ya matikiti ni sawa na milioni kumi.
 
Wafanyabisahara huwa ni wachoyo kutoa taarifa ambazo zitamnufaisha mwingine.Ila kama na yeye atanufaika basi atakupa hadi za uvunguni.Ukiona unapewa taarifa za kukupa faida na mfanyabiashara ujue yeye naye atafaidika.vinginevyo ni rahisi kukuingiza chaka
 
ni kweli mkuu maisha ni changamoto.
 
wanakuja kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…