Mnaofikiri kumnanga Hayati Magufuli ndio kula yenu basi subirini muone yatakayotokea

Dai k
Dai katiba Ili ikupunguziemaumivu ya kufiwa na mungu wenu kichaa
 
Una mawazo ya kizee sana, kuna uwezekano mkubwa umri wako ni >55
 

Hakuna cha kuna zaidi, sana sana mtazidi KUUA watu, mnafhamika fika it is only a matter of time
 
kafie kaburini na jiwe wako pumbavu
 
Vipi anatarajia kufufuka mwehu Meko??
 
Yaani akifufuka ataelekea nyumbani kwake pale Chato bila protokali zozote?
 
Yaani akifufuka ataelekea nyumbani kwake pale Chato bila protokali zozote?
Akifufuka atakuwa kama Mwinyi tu.

Labda misukule ijenge madhabahu ianze kumwabudu, ila hawezi kuwa Rais tena.

Nchi hii alikiwepo Nyerere, kajenga msingi na sasa hivi watu wanaishi.

Sasa hawa misukule kila wakati Magu Magu. Who is Magu as of now ???

Huoni kina Kalemani wamefukuzwa na wako kimya.

Walete fyoko fyoko halafu waambiwe wakalete CCTV za tukio la Lissu waone.
 
Tumlaumu Sana aliyeruhusu sigara za nyota kuvutwa. Zimevuruga akili za vijana wengi. Magufuli anafufuka kwenda wapi? Wenzie kina Bokasa,Mobutu,Amin walomtangulia mbona bado hawajafufuka?
 
Mama ndo anaongoza hizo juhudi za kumfifisha Magufuli, alianza kwa kusema anafungua nchi yakafuata masafari ya hovyo hovyo, akadai chama kinarudi kwa wenyewe nk pia anatoa room kwa wanaokejeli. Ila mpaka sasa amekikalia kiti!
 
Nani anamuongelea Magufuli? Ni kama mnaweweseka, hamuamini kuwa ameenda milele, ndo maana mnakurupuka na malalamiko kuhusu tatizo lisilokuwepo. Watu pekee mnaomkumbuka ni nyie. He's gone. Forever!
 
Nani anamuongelea Magufuli? Ni kama mnaweweseka, hamuamini kuwa ameenda milele, ndo maana mnakurupuka na malalamiko kuhusu tatizo lisilokuwepo. Watu pekee mnaomkumbuka ni nyie. He's gone. Forever!

Ukitaka uwe maarufu sema JPM alikutesa kutaka kukuua kama Mwingira.

Pis hakufanya lolote. Chochote. Alikuwa, Jini Shetani. Tukana.

Kama binadamu wote,kuna mazuri alifanya na vingine alikosea. Watu hawana break.
 
Hadi leo hujawahi kujibu aliyekutuma kumwua Beni Sanane.
Kama Alijiuwa au kupotea alifanya hivyo mwenyewe hakusoma alama za nyakati na hata sisi tulio ona alama za nyakati hakutusikiliza akakutana na aliyo kutana nayo. Nikama nilivyo tabiri kwa akina Ndugai na wengine wengi je nahusika kivipi? Nivile tunapasa kusamehe ila angalia aina ya mtu unaye mwambia yale unamwambia..... End.
 
Anayefifisha juhudi za Magu bado anadunda, kila kukicha safari na kiti kakalia
 
Nimeishia kusoma ulipoandika (Magufuli atafufuka) siwezi jichosha kuendelea kusoma ujinga ulioandika huko chini.
Yaani uliposoma hapo akili ika_stuck haikutaka kuweka dhamira ya uchambuzi but kubeba neno as neno lilivyo, ndipo hapo ulipochemka.
 
Sio yeye aliyesema chama kimerudi kwa wenyewe? (Make chama kiliporwa na Magu)

Sio yeye aliyesema anafungua nchi? ( Make Magu alikuwa ameifunga)

Sio yeye aliyeruhusu chanjo? (Make Magu alitaka kutuua)

Sio yeye aliyesema madini tuwape watu wachimbe maana hatuyali ? ( Maana yake alizuia kitu kisicho na faida)...

N.k.
Acha kuandika uongo.
 
Huko kusema ni Magu alikuwa anakwamisha hakusema yeye ila umeamua tu kumlisha maneno kwa sababu unazozijua wewe.

Nyie ndio mnaoendesha kampeni za kumzushia Mama uongo kwa manufaa yenu binafsi ila Watanzania wazalendo wamegundua hila zenu na hamtafanikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…