EerhππΏππΏππΏπ€£ππΏππΏππΏHuyu anayeogelewa na jamaa siyo huyo paka wa kiroho!
Muhuni wa kitaaPanya je?
It's not even closeπ€£Comparing women to cats is just absurd and insane.
Nyau anatumiwa sana na Wana USALAMA!Mnaofuga paka.
View attachment 3209078
Mtagundua paka usipompa attention, ndio atakuja miguuni mwako, kutaka kucheza na wewe.
Ila ukianza kumpa attention, kutaka kumfata fata, mara nyingi ataanza kukukimbia..
Wanaume bila shaka mnajua pakuifanyia kazi hiyo ni wapi.
ongezea nyama mkuu, maana hata hapa nilipo ninae kushoto kwangu hapaPaka ni mnyama wa kiroho
Ni paka wote kweli
Ni paka mkuu sio codeDuh aiseee ni code ama?
Wewe unazungumzia nn mkuu, paka ana mzigoSI wanasema usipompa attention akitokea mwamba nje akimpa attention anapewa mzigo kiulaini.
Kuna jipaka moja nikitoka na lenyewe linatoka kwenda kulamba lamba huko mtaani, nikirudi limejikausha na kulia njaa kama halijatoka!!!paka ni paka tu aissMapaka huwa yanadeka sana, likiona tu umefulia linahama nyumba...
Paka na Wanawake wanafanana sana tabia, kila mmoja ni attention seeker anayeta kuwa petted, ndiyo mana hawapatani.Mnaofuga paka.
View attachment 3209078
Mtagundua paka usipompa attention, ndio atakuja miguuni mwako, kutaka kucheza na wewe.
Ila ukianza kumpa attention, kutaka kumfata fata, mara nyingi ataanza kukukimbia..
Wanaume bila shaka mnajua pakuifanyia kazi hiyo ni wapi.
Nazungumzia hii ya Chini.Wewe unazungumzia nn mkuu, paka ana mzigo
Wanaume bila shaka mnajua pakuifanyia kazi hiyo ni wapi.