Paka yuko vizuri,anaweza kukuona wewe ni mkatili na akakuepuka wakati hujamfanyia lolote.Ila anajua anayempenda na asiyempendaPaka ni mnyama wa kiroho
Kama bundi, fisi, AMA.popoPaka ni mnyama wa kiroho
Mkuu Sio paka uyo🤣🤣Paka ni mnyama wa kiroho
Ndo mana paka Akai na msela,🤣🤣😂😂Wanasema ukimuuzi paka akaudhika ataenda kuua joka na kuja kukuwekea kifuani ukiwa umelala, atakuletea mzoga ndani ya nyumba na kuuweka sehemu usiyoona uvunde unuke nyumba inuke uozo wa mzoga
Wewe sasa umeweza kuielewa hii codeSI wanasema usipompa attention akitokea mwamba nje akimpa attention anapewa mzigo kiulaini.
kumbe mnazungumzia ishu za coding? Duh! Hii ilikuwa code ngumu kuitambua!Wewe sasa umeweza kuielewa hii code
Sio mzigo tu ni ana nyash kabisaWewe unazungumzia nn mkuu, paka ana mzigo
Pole mkuu wakat mwingine ni vyema kuichangamsha akilikumbe mnazungumzia ishu za coding? Duh! Hii ilikuwa code ngumu kuitambua!
wazee CODE ifunguliwe afu sio ngumuMnaofuga paka.
View attachment 3209078
Mtagundua paka usipompa attention, ndio atakuja miguuni mwako, kutaka kucheza na wewe.
Ila ukianza kumpa attention, kutaka kumfata fata, mara nyingi ataanza kukukimbia..
Wanaume bila shaka mnajua pakuifanyia kazi hiyo ni wapi.
Hana adabu huyu..!!Comparing women to cats is just absurd and insane.
Mbona makasiriko 🤷🏽♂️🤣🤣🤣🤣🤣Ukome kutufananisha wanawake na paka, PAKA mwenyewe tena pussy cat mkubwa weeh..!!
Nimeipeleka wapHana adabu huyu..!!
Nyie ndo mijanaume mlitakiwa mrudishwe jandoni mfyuuu..!!Mbona makasiriko 🤷🏽♂️🤣🤣🤣🤣🤣
Kwenye kibuyu chakoNimeipeleka wap
hujambo mpenzi?Ukome kutufananisha wanawake na paka, PAKA mwenyewe tena pussy cat mkubwa weeh..!!