Mnaoichukia Israel msitumie Iphone, Google, Window, n.k. makapuni makubwa ya kompyuta na mawasiliano hutegemea zaidi Israel kuwabunia bidhaa na huduma

Mnaoichukia Israel msitumie Iphone, Google, Window, n.k. makapuni makubwa ya kompyuta na mawasiliano hutegemea zaidi Israel kuwabunia bidhaa na huduma

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
1729961031174.png


Nimeona kuna movements za ku boycott / kugomea bidhaa zenye uhusiano na Israel, nimepata wazo nije kuwasapoti wadau kwenye huu mgomo kwa kuwashauri muweke mkazo zaidi kukaa mbali kwenye simu na computer kwasababu bidhaa na huduma hizi nyingi wanaozibuni ni wayahudi wa Israel.

China ndipo vilipo viwanda vingi vya kutoa nakala za bidhaa.

Marekani ndipo zilipo ofisi za usimamizi na uongozi wa makampuni haya.

Kampuni hizi unaweza kuzikuta hadi Kenya zikiwa na ofisi za ukanda, mauzo, n.k.

Lakini Israel ndipo zilipo akili zinazotegemewa kuumiza vichwa kubuni bidhaa kisha zinaenda kufyatuliwa nakala kwenye nchi kubwa kama china zenye viwanda vingi.

Makampuni makubwa kama Google, Microsoft, Intel, Qualcom, n.k. yana ofisi za Research and Development nchini Israel, Wameweka ofisi hizo kwajili ya kuwatumia wanasayansi na wahandisi wa Kiyahudi wawasaidie kubuni na kuendeleza bidhaa na huduma zao- wapo Israel kwajili ya kutumia akili za wayahudi wawabunie teknojia.

wao wanauza ubunifu, ni sawa na kwenye mgahawa, wapishi wameajiriwa kuandaa chakula lakini chakula kinajulikana ni cha mwenye mgahawa, mfano google wana ofisi Israel wameajiri wanasayansi wanaobuni teknolojia zinazoboresha matokeo ya google lakini google ndio wanaotambulika kumiliki hizo teknolojia.

Kwa ofisi za Marekani za Sillicon Valley ni kama tawi lao lingine, wamejazana mno kwenye ofisiz za Research and Development!!

Orodha chache ya Makampuni :

GOOGLE - Unaikwepaje google ukitumia internet kwamfano, Wao ndio wamiliki wa Android mfumo unaotumika kwenye simu kibao kama Samsung, Nokia, Sony, hadi huku kwenye Tecno na Itel

APPLE na SAMSUNG - Ni makampuni makubwa sana ya simu, Kwa upande wa Apple kuna laptops za Mac

INTEL - Hii ni chip inayotumika zaidi kwenye laptops, hio laptop yako unaiona imeandika Intel core i3, i5, i7, n.k. ujue hio ndio akili ya computer

HP na DELL - Brand maarufu za laptop hizi

MICROSOFT WINDOWS - System maarufu zaidi tunayotumia kwenye computer za mezani na laptops

AMAZON na EBAY - Masoko maarufu ya kuagiza bidhaa mtandaoni

IBM

ORACLE

Unaposikia Israel wapo vizuri ki intelejensia sio uchawi, ni kwamba wao wanahusika zaidi kwenye kubuni bidhaa za makampuni makubwa ya vifaa vya mawasiliano, hivyo inakuwa rahisi kwao kuingia kwenye mifumo

Kama upo kwenye kampeni ya kuipinga Israel itakuwa ni vema zaidi utumie simu za vitochi, computer za korea kaskazini, epuka kutumia google, n.k. Hadi hizo facebook, whatsapp, instagram ni za myahudi Mark Zuckbereg ongeza nguvu mpinge usitumie huduma zake.
 
Tunawachukia na tuna tumia kama hawataki waache kutengeza tutanunua china
 
Mnaoipenda Israel tumieni mabomu ya kurusha kwa mikono magruneti,makombora na bunduki za kivita kwa shughuli za kilimo cha mazao ya biashara na chakula
Hakuna haja, Kwenye kilimo tayari Israel wana kampuni inayoongozza duniani kwa teknolojia ya umwagiliaji, kwampuni hio inaitwa Netafirm.
 
Hakuna haja, Kwenye kilimo tayari Israel wana kampuni inayoongozza duniani kwa teknolojia ya umwagiliaji, kwampuni hio inaitwa Netafirm.
Unaonaje ukawafanyia kampeni ya kutokomeza dunia wabakie wao tu nawe uwe houseboy wao?
 
Unaonaje ukawafanyia kampeni ya kutokomeza dunia wabakie wao tu nawe uwe houseboy wao?
Waitokomeze dunia kwa lipi, nachoona ni wao kuwatokomeza washenzi wanaotaka kuwafuta wayahudi kwa mirengo mikali ya kidini
 
Ukiwa ndani ya matrix ni vyepesi sana kuishi Kwa kuongozwa na hisia ya kile unachokiona.
 
View attachment 3136037

Nimeona kuna movements za ku boycott / kugomea bidhaa zenye uhusiano na Israel, Nimeona nije kuwasapoti kwenye huu mgomo kwa kuwashauri muweke nguvu zaidi kukaa mbali na simu na computer kwasababu bidhaa na huduma hizi nyingi wanaozibuni ni wayahudi wa Israel.

China ndipo vilipo viwanda vingi vya kutoa nakala za bidhaa.

Marekani ndipo zilipo ofisi za usimamizi na uongozi wa makampuni haya.

Lakini Israel ndipo zilipo akili zinazotegemewa kuumiza vichwa kubuni bidhaa kisha zinaenda kufyatuliwa nakala kwenye nchi kubwa kama china zenye viwanda vingi.

Makampuni makubwa kama Google, Microsoft, Intel, Qualcom, n.k. yana ofisi za Research and Development nchini Israel, Wameweka ofisi hizo kwajili ya kuwatumia wanasayansi na wahandisi wa Kiyahudi wawasaidie kubuni na kuendeleza bidhaa na huduma zao- wapo Israel kwajili ya kutumia akili za wayahudi wawabunie teknojia.

Kwa ofisi za Marekani za Sillicon Valley ni kama tawi lao lingine, wamejazana mno kwenye ofisiz za Research and Development!!

Orodha chache ya Makampuni :

GOOGLE - Unaikwepaje google ukitumia internet kwamfano, Wao ndio wamiliki wa Android mfumo unaotumika kwenye simu kibao kama Samsung, Nokia, Sony, hadi huku kwenye Tecno na Itel

APPLE - Ndio wamilikiwa simu za iphone na laptops za Macbook

INTEL - Hii ni chip inayotumika zaidi kwenye laptops, hio laptop yako unaiona imeandika Intel core i3, i5, i7, n.k. ujue hio ndio akili ya computer

HP na DELL - Brand maarufu za laptop hizi

MICROSOFT WINDOWS - System maarufu zaidi tunayotumia kwenye computer za mezani na laptops

AMAZON na EBAY - Masoko maarufu ya kuagiza bidhaa mtandaoni

IBM

ORACLE

Unaposikia Israel wapo vizuri ki intelejensia sio uchawi, ni kwamba wao wanahusika zaidi kwenye kubuni bidhaa za makampuni makubwa ya vifaa vya mawasiliano, hivyo inakuwa rahisi kwao kuingia kwenye mifumo
Tuko na OVO maisha yanakwenda
 
View attachment 3136037

Nimeona kuna movements za ku boycott / kugomea bidhaa zenye uhusiano na Israel, Nimeona nije kuwasapoti kwenye huu mgomo kwa kuwashauri muweke nguvu zaidi kukaa mbali na simu na computer kwasababu bidhaa na huduma hizi nyingi wanaozibuni ni wayahudi wa Israel.

China ndipo vilipo viwanda vingi vya kutoa nakala za bidhaa.

Marekani ndipo zilipo ofisi za usimamizi na uongozi wa makampuni haya.

Lakini Israel ndipo zilipo akili zinazotegemewa kuumiza vichwa kubuni bidhaa kisha zinaenda kufyatuliwa nakala kwenye nchi kubwa kama china zenye viwanda vingi.

Makampuni makubwa kama Google, Microsoft, Intel, Qualcom, n.k. yana ofisi za Research and Development nchini Israel, Wameweka ofisi hizo kwajili ya kuwatumia wanasayansi na wahandisi wa Kiyahudi wawasaidie kubuni na kuendeleza bidhaa na huduma zao- wapo Israel kwajili ya kutumia akili za wayahudi wawabunie teknojia.

Kwa ofisi za Marekani za Sillicon Valley ni kama tawi lao lingine, wamejazana mno kwenye ofisiz za Research and Development!!

Orodha chache ya Makampuni :

GOOGLE - Unaikwepaje google ukitumia internet kwamfano, Wao ndio wamiliki wa Android mfumo unaotumika kwenye simu kibao kama Samsung, Nokia, Sony, hadi huku kwenye Tecno na Itel

APPLE - Ndio wamilikiwa simu za iphone na laptops za Macbook

INTEL - Hii ni chip inayotumika zaidi kwenye laptops, hio laptop yako unaiona imeandika Intel core i3, i5, i7, n.k. ujue hio ndio akili ya computer

HP na DELL - Brand maarufu za laptop hizi

MICROSOFT WINDOWS - System maarufu zaidi tunayotumia kwenye computer za mezani na laptops

AMAZON na EBAY - Masoko maarufu ya kuagiza bidhaa mtandaoni

IBM

ORACLE

Unaposikia Israel wapo vizuri ki intelejensia sio uchawi, ni kwamba wao wanahusika zaidi kwenye kubuni bidhaa za makampuni makubwa ya vifaa vya mawasiliano, hivyo inakuwa rahisi kwao kuingia kwenye mifumo
🤣
 

Attachments

  • IMG_20241026_205217.jpg
    IMG_20241026_205217.jpg
    54.4 KB · Views: 9
  • Screenshot_20241026-213801.png
    Screenshot_20241026-213801.png
    465.3 KB · Views: 6
View attachment 3136037

Nimeona kuna movements za ku boycott / kugomea bidhaa zenye uhusiano na Israel, nimepata wazo nije kuwasapoti wadau kwenye huu mgomo kwa kuwashauri muweke mkazo zaidi kukaa mbali kwenye simu na computer kwasababu bidhaa na huduma hizi nyingi wanaozibuni ni wayahudi wa Israel.

China ndipo vilipo viwanda vingi vya kutoa nakala za bidhaa.

Marekani ndipo zilipo ofisi za usimamizi na uongozi wa makampuni haya.

Kampuni hizi unaweza kuzikuta hadi Kenya zikiwa na ofisi za ukanda, mauzo, n.k.

Lakini Israel ndipo zilipo akili zinazotegemewa kuumiza vichwa kubuni bidhaa kisha zinaenda kufyatuliwa nakala kwenye nchi kubwa kama china zenye viwanda vingi.

Makampuni makubwa kama Google, Microsoft, Intel, Qualcom, n.k. yana ofisi za Research and Development nchini Israel, Wameweka ofisi hizo kwajili ya kuwatumia wanasayansi na wahandisi wa Kiyahudi wawasaidie kubuni na kuendeleza bidhaa na huduma zao- wapo Israel kwajili ya kutumia akili za wayahudi wawabunie teknojia.

wao wanauza ubunifu, ni sawa na kwenye mgahawa, wapishi wameajiriwa kuandaa chakula lakini chakula kinajulikana ni cha mwenye mgahawa, mfano google wana ofisi Israel wameajiri wanasayansi wanaobuni teknolojia zinazoboresha matokeo ya google lakini google ndio wanaotambulika kumiliki hizo teknolojia.

Kwa ofisi za Marekani za Sillicon Valley ni kama tawi lao lingine, wamejazana mno kwenye ofisiz za Research and Development!!

Orodha chache ya Makampuni :

GOOGLE - Unaikwepaje google ukitumia internet kwamfano, Wao ndio wamiliki wa Android mfumo unaotumika kwenye simu kibao kama Samsung, Nokia, Sony, hadi huku kwenye Tecno na Itel

APPLE na SAMSUNG - Ni makampuni makubwa sana ya simu, Kwa upande wa Apple kuna laptops za Mac

INTEL - Hii ni chip inayotumika zaidi kwenye laptops, hio laptop yako unaiona imeandika Intel core i3, i5, i7, n.k. ujue hio ndio akili ya computer

HP na DELL - Brand maarufu za laptop hizi

MICROSOFT WINDOWS - System maarufu zaidi tunayotumia kwenye computer za mezani na laptops

AMAZON na EBAY - Masoko maarufu ya kuagiza bidhaa mtandaoni

IBM

ORACLE

Unaposikia Israel wapo vizuri ki intelejensia sio uchawi, ni kwamba wao wanahusika zaidi kwenye kubuni bidhaa za makampuni makubwa ya vifaa vya mawasiliano, hivyo inakuwa rahisi kwao kuingia kwenye mifumo

Kama upo kwenye kampeni ya kuipinga Israel itakuwa ni vema zaidi utumie simu za vitochi, computer za korea kaskazini, epuka kutumia google, n.k. Hadi hizo facebook, whatsapp, instagram ni za myahudi Mark Zuckbereg ongeza nguvu mpinge usitumie huduma zake.



View: https://youtu.be/U2H-F0HVKDY?t=12
 
Hakuna haja, Kwenye kilimo tayari Israel wana kampuni inayoongozza duniani kwa teknolojia ya umwagiliaji, kwampuni hio inaitwa Netafirm.

Hizo ni propaganda tu ,
Wa Iraqi zaidi ya miaka 2000 wakiongoza kwa umwagiliaji
 
View attachment 3136037

Nimeona kuna movements za ku boycott / kugomea bidhaa zenye uhusiano na Israel, nimepata wazo nije kuwasapoti wadau kwenye huu mgomo kwa kuwashauri muweke mkazo zaidi kukaa mbali kwenye simu na computer kwasababu bidhaa na huduma hizi nyingi wanaozibuni ni wayahudi wa Israel.

China ndipo vilipo viwanda vingi vya kutoa nakala za bidhaa.

Marekani ndipo zilipo ofisi za usimamizi na uongozi wa makampuni haya.

Kampuni hizi unaweza kuzikuta hadi Kenya zikiwa na ofisi za ukanda, mauzo, n.k.

Lakini Israel ndipo zilipo akili zinazotegemewa kuumiza vichwa kubuni bidhaa kisha zinaenda kufyatuliwa nakala kwenye nchi kubwa kama china zenye viwanda vingi.

Makampuni makubwa kama Google, Microsoft, Intel, Qualcom, n.k. yana ofisi za Research and Development nchini Israel, Wameweka ofisi hizo kwajili ya kuwatumia wanasayansi na wahandisi wa Kiyahudi wawasaidie kubuni na kuendeleza bidhaa na huduma zao- wapo Israel kwajili ya kutumia akili za wayahudi wawabunie teknojia.

wao wanauza ubunifu, ni sawa na kwenye mgahawa, wapishi wameajiriwa kuandaa chakula lakini chakula kinajulikana ni cha mwenye mgahawa, mfano google wana ofisi Israel wameajiri wanasayansi wanaobuni teknolojia zinazoboresha matokeo ya google lakini google ndio wanaotambulika kumiliki hizo teknolojia.

Kwa ofisi za Marekani za Sillicon Valley ni kama tawi lao lingine, wamejazana mno kwenye ofisiz za Research and Development!!

Orodha chache ya Makampuni :

GOOGLE - Unaikwepaje google ukitumia internet kwamfano, Wao ndio wamiliki wa Android mfumo unaotumika kwenye simu kibao kama Samsung, Nokia, Sony, hadi huku kwenye Tecno na Itel

APPLE na SAMSUNG - Ni makampuni makubwa sana ya simu, Kwa upande wa Apple kuna laptops za Mac

INTEL - Hii ni chip inayotumika zaidi kwenye laptops, hio laptop yako unaiona imeandika Intel core i3, i5, i7, n.k. ujue hio ndio akili ya computer

HP na DELL - Brand maarufu za laptop hizi

MICROSOFT WINDOWS - System maarufu zaidi tunayotumia kwenye computer za mezani na laptops

AMAZON na EBAY - Masoko maarufu ya kuagiza bidhaa mtandaoni

IBM

ORACLE

Unaposikia Israel wapo vizuri ki intelejensia sio uchawi, ni kwamba wao wanahusika zaidi kwenye kubuni bidhaa za makampuni makubwa ya vifaa vya mawasiliano, hivyo inakuwa rahisi kwao kuingia kwenye mifumo

Kama upo kwenye kampeni ya kuipinga Israel itakuwa ni vema zaidi utumie simu za vitochi, computer za korea kaskazini, epuka kutumia google, n.k. Hadi hizo facebook, whatsapp, instagram ni za myahudi Mark Zuckbereg ongeza nguvu mpinge usitumie huduma zake.
Poapoa Mwamba, acha tujipe muda kutafuta namna nzuri yakuanza kutumia Makombora kwa ajili ya mawasiliano!
 
Back
Top Bottom