THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
- Thread starter
- #21
Hii ni Yanga ya Hersi ondoa hofuUlaya sawa na siyo Tanzania.
Yaani unalinganisha mauzauza na mahesabu?
Africa wakipewa wachezaji offer viongozi wanagombania kwanza wao kwa wao kabla ya kwenda kugombana na wachezaji tena kwa ajili ya hiyo offer,lkn kwa wenye hesabu zao hivyo vitu havipo.