GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wengine tumeumbwa na Midadi hasa tukiona Minaniliano madirishani huwa tunatamani hata tuje kuomba Kolabo, ila huwa tunashindwa tu.
Halafu ukijiona upo juu Ghorofani usidhani uko peke yako na huonekani kwani kuna Wengine (hasa GENTAMYCINE ) tuna Macho ambayo yakiona tu Kitu cha mbali basi automatically huwa kinakuwa Zoomed na Kukiona Kinachoendelea kwa Uhalisia wake.
Wapangaji wa Appartments za UVCCM ( mnazidai ni za Mgonjwa Mtetemekaji aliye Wodini Afrika Kusini ) za Upanga, zile za nyuma ya FIRE na za Mnazi Mmoja bila kusahau na nyinginezo tafadhali naomba huu Uzi wangu muuzingatie kwani sina mpango kabisa wa kutafuta Goma kwa Usiku huu ila kwa nilichokiona Ghorofani mahala fulani Upanga GENTAMYCINE nami nimelazimika wa kumtafuta ( Goma ) ili nami Niigilizie kwa Vitendo kwa nilichokiona juu Ghorofani.
Sijui na Mimi wangu atang'ata Mto?
Halafu ukijiona upo juu Ghorofani usidhani uko peke yako na huonekani kwani kuna Wengine (hasa GENTAMYCINE ) tuna Macho ambayo yakiona tu Kitu cha mbali basi automatically huwa kinakuwa Zoomed na Kukiona Kinachoendelea kwa Uhalisia wake.
Wapangaji wa Appartments za UVCCM ( mnazidai ni za Mgonjwa Mtetemekaji aliye Wodini Afrika Kusini ) za Upanga, zile za nyuma ya FIRE na za Mnazi Mmoja bila kusahau na nyinginezo tafadhali naomba huu Uzi wangu muuzingatie kwani sina mpango kabisa wa kutafuta Goma kwa Usiku huu ila kwa nilichokiona Ghorofani mahala fulani Upanga GENTAMYCINE nami nimelazimika wa kumtafuta ( Goma ) ili nami Niigilizie kwa Vitendo kwa nilichokiona juu Ghorofani.
Sijui na Mimi wangu atang'ata Mto?