Mnaoishi store njooni

Mnaoishi store njooni

Sifikiriii kujenga nyumba na Nina mpango wa kuishi kwenye Apartment za kupanga maisha yangu yote
 
Matajiri wengi waliishi store pia.

Nakumbuka Reginald Mengi alisema alikuwa analala nyumba moja na Ng'ombe na mbuzi hukuhuko ndani, ng' ombe akipumua na yeye anavuta hivyo pumzi.

Ni sehemu ya maisha tu...n it might not last.
 
Je, ni haki kumwambia mtu anaishi store ilihali yupo kwenye chumba safi kabisa, kitanda safi, meza ya jiko safi, masofa safi, ndoo za maji zimepangiliwa vizuri, kimeza cha sebule cha kulia cha kula safi, pikipiki inabanwa kwenye kona safi, vyombo vya jikoni vimepangwa safi, kabati la nguo limebanwa vizuri kwenye kon, halafu wewe uje kusema anaishi store?

Ni haki hiyo?
Hicho ni chumba kama ni kimoja, hiyo ni store tu.
 
Kwani mtu akikwambia unaishi stoo unapungukiwa nini? Wewe ishi tu maisha yako kila mtu na mwendo wake
Hahahah, sijasema kwamba mimi naishi store, ila nimeuliza tu 😂😂😂, maana zamani wakati nipo chuo nilikuwa na hicho kighetto, ila kuna kitu nimeona mahali nikakukmbuka enzi zangu , 😂😂😂
 
Kwani mtu akikwambia unaishi stoo unapungukiwa nini? Wewe ishi tu maisha yako kila mtu na mwendo wake
mkuu naona unamfariji mwenzako. Chumba kimoja uish na piki pik mkaa mahindi panya mende haish store anaish godauni.
 
Back
Top Bottom