The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Utavipataje hapo stop ilhali hufurahii kuishi stoo?Kawaida sana,ili mradi niwe na amani, furaha ,na afya njema.Mengine Ni ziada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utavipataje hapo stop ilhali hufurahii kuishi stoo?Kawaida sana,ili mradi niwe na amani, furaha ,na afya njema.Mengine Ni ziada.
Ili iweje?
AhaaaWezi wakitikisa mlango, sufuria ikianguka inapiga kelele na kukushtua
Alarm za kimatumbi. Nigger ni mtu wa ajabu sana.Wezi wakitikisa mlango, sufuria ikianguka inapiga kelele na kukushtua
Kuvipata anaweza, ataviweka wapi?Utavipataje hapo stop ilhali hufurahii kuishi stoo?
Hicho ni chumba kama ni kimoja, hiyo ni store tu.Je, ni haki kumwambia mtu anaishi store ilihali yupo kwenye chumba safi kabisa, kitanda safi, meza ya jiko safi, masofa safi, ndoo za maji zimepangiliwa vizuri, kimeza cha sebule cha kulia cha kula safi, pikipiki inabanwa kwenye kona safi, vyombo vya jikoni vimepangwa safi, kabati la nguo limebanwa vizuri kwenye kon, halafu wewe uje kusema anaishi store?
Ni haki hiyo?
Madhara ya kitu cha Arusha.Ukiwa na nyumba kubwa halafu una lala chumba kimoja hayo ni matumizi mabaya ya hela chumba kimoja ukiamka vitu vyako unaviona.
Wanasaidia mkuuWewe umekuwa kama wamasai wa Ngorongoro, unaishi na wanyama mkuu
Hahahah, sijasema kwamba mimi naishi store, ila nimeuliza tu 😂😂😂, maana zamani wakati nipo chuo nilikuwa na hicho kighetto, ila kuna kitu nimeona mahali nikakukmbuka enzi zangu , 😂😂😂Kwani mtu akikwambia unaishi stoo unapungukiwa nini? Wewe ishi tu maisha yako kila mtu na mwendo wake
Mali gani sasa hapoUzuri wa chumba kimoja….ukiamka tu unaona Mali zako zote,
Masufuria,vikombe,sahani,nguo n.kMali gani sasa hapo
Mali zako zote, hadi jungu ulilopikia ugali lipo pembeni na ukoko wake,Uzuri wa chumba kimoja….ukiamka tu unaona Mali zako zote,
mkuu naona unamfariji mwenzako. Chumba kimoja uish na piki pik mkaa mahindi panya mende haish store anaish godauni.Kwani mtu akikwambia unaishi stoo unapungukiwa nini? Wewe ishi tu maisha yako kila mtu na mwendo wake
hongera kwa utahira utahira nao kipaji.Sifikiriii kujenga nyumba na Nina mpango wa kuishi kwenye Apartment za kupanga maisha yangu yote