Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Hoja kuwa Ally Salim alicheza faulo wakati wa kudaka mishale ya penati nimesikiliza kwa makini na kubaini wanaojadili hoja hizo ingawa watu wanawaita watu wa mpira, mm nimewapuuza na kuwapachika jina la wehu.
Ukijua penati umejua tu, jana wachezaji wote wa yanga walielekeza penati upande wa kulia wa Ally Salim, huo upande wa kulia wa Ally ndio ule aliopelekewa moto mabao yote ya penati na Wydad CASABLANCA, jamaa wa utopolo nao wakawa wanapeleka kule kule.
Ukweli usemwe kuwa wachezaji wa yanga walidanganywa kuhusu upigaji wa penati na ndio maana wote walipeleka upande mmoja tofauti na Simba ambao kuna waliopeleka kulia na kuna waliopeleka kushoto.Yanga zote walipeleka kulia.
Jiulizeni kwann wachezaji wote wa yanga walipeleka penati kulia? Hv aucho alipokosa penati kwann Pacome na mbilikimo walipeleka kule kule, yaan Ally kacheza penati 3 mfululizo upande mmoja hamjiulizi tu, kama sio kutumwa na mganga ni nini.
Pili ukijua kupiga penati hata utoke kwenye mstari watu wanakuokotesha t, Jean Baleke alithibitisha hilo baada ya Diarra kutaka kugusa mpira kabla Baleke hajapiga, Baleke akampiga Diarra aushike atakavo lakn akae akijua lazima akauokote kunyavu, na kweli, Diarra aliushika mpira na bado akafungwa.
Mwamuzi wa mchezo ni mtu aliesomea mpira tofauti na nyie wachambuzi wajinga wajinga nyie, kila kitu mnajua nyie, siasa mko, uchumi mko, mazingira mko, mapenzi mko, wengine wakiusemea mpira mnawataka waachane nao mkidai sio watu wa mpira, nyie akina nani hadi mjione mnajua kila kitu wakati shule zenu mbovu tu.
Mpeni sifa Ally Salim, kama Diarra altona Ally salim anavuka mstari kwann na yeye asivuke.Pumbavu nyie
Ukijua penati umejua tu, jana wachezaji wote wa yanga walielekeza penati upande wa kulia wa Ally Salim, huo upande wa kulia wa Ally ndio ule aliopelekewa moto mabao yote ya penati na Wydad CASABLANCA, jamaa wa utopolo nao wakawa wanapeleka kule kule.
Ukweli usemwe kuwa wachezaji wa yanga walidanganywa kuhusu upigaji wa penati na ndio maana wote walipeleka upande mmoja tofauti na Simba ambao kuna waliopeleka kulia na kuna waliopeleka kushoto.Yanga zote walipeleka kulia.
Jiulizeni kwann wachezaji wote wa yanga walipeleka penati kulia? Hv aucho alipokosa penati kwann Pacome na mbilikimo walipeleka kule kule, yaan Ally kacheza penati 3 mfululizo upande mmoja hamjiulizi tu, kama sio kutumwa na mganga ni nini.
Pili ukijua kupiga penati hata utoke kwenye mstari watu wanakuokotesha t, Jean Baleke alithibitisha hilo baada ya Diarra kutaka kugusa mpira kabla Baleke hajapiga, Baleke akampiga Diarra aushike atakavo lakn akae akijua lazima akauokote kunyavu, na kweli, Diarra aliushika mpira na bado akafungwa.
Mwamuzi wa mchezo ni mtu aliesomea mpira tofauti na nyie wachambuzi wajinga wajinga nyie, kila kitu mnajua nyie, siasa mko, uchumi mko, mazingira mko, mapenzi mko, wengine wakiusemea mpira mnawataka waachane nao mkidai sio watu wa mpira, nyie akina nani hadi mjione mnajua kila kitu wakati shule zenu mbovu tu.
Mpeni sifa Ally Salim, kama Diarra altona Ally salim anavuka mstari kwann na yeye asivuke.Pumbavu nyie