Nilivyoona Buguruni sikuwa na doubt kwamba hii ni MMU kwani hizo mbao anazozisema nikajua ni wale malaya wanaojiuza(lugha ya picha)...Kazi ya kupima mbao ilipoanza ndipo...nikajua washaingia gesti na jamaa keshaanza kula mzigo,...Mambo ya tape measure nikahisi ile ndimu wanayokamulia kwenye Uuke ikaonekana ndogo kumbe ndani ni bonge la dudu...(lugha ya picha)....Lol kumbe mwishoni ndo nikagundua alichoandika ndo alichomaanisha!!
Kweli Jukwaa kina mata kwa kila sredi...!!
Jamani msikubali kuibiwa pale Buguruni. Mbali ya kutumia vipimo feki, hata mabao zao mara nyingi zinakuwa za kuchovya tu kwenye dawa. Wadau anayetaka mbao imara na kwa bei isiyokuwa na wizi aende pale Mabibo Kiwanda kwenye yard ya Sao Hill branch ya Dar Es Salaam. Wewe mwenyewe utapenda.
Achana na hao matapeli.
Tiba
Yaliwahi kunikuta pale kibaha!!! Nilkaacha wamemaliza mbao zote na risiti juu!!! Pale pale nikaagizia FUTI KAMBA MPYA na NOTE BOOK!!!
Baada ya kubainika nikaacha mzigo wote nikaenda kwa jirani....naye the same....nikachukia nikaenda kununulia mwenge....wa mwenge akasema usilipe mpaka zifike SITE na zipimwe upya zikiwa SITE!!!
Ndugu zangu,
Hili limenitokea napenda kuwapa tahadhari wale wote wanaofikiria kwenda kununua mbao buguruni wawe makini. Mimi nilikubaliana bei vizuri na muuzaji na kweli mzigo ulikuwa mzuri, pia bei ilikuwa nzuri tena ya kuvutia. Kazi ya kupima mbao ilipoanza ndipo nilipobaini wizi unaofanyika.
Jamaa wanatumia tape measure ambayo ni wizi mtupu.
Nilishtuka kuana mbao ya urefu wa kawaida, tape measure inasoma ft 24, hapo ndipo nilipogutuka nikaanza kuiangalia ile tape measure vzr, kumbe wameruka vipimo ili kuongeza idadi ya futi ili wapate faida zaidi...mfano ile tape measure inasomeka 1, 2, 3, 4, 5, 10, 11, 12, 13, 14, 15, 17, 18, 19, 22, ......... utaona jinsi kulivyo na gap kati ya 5-10, 15-17, 19-22...
Kwa mwendo huu unakuta jamaa wanaiba futi zaidi ya saba kwa mbao moja. Huu ni wizi mkubwa ukipiga hesa ya 300 kwa kila futi kwa zile mbao ndogo kabisa 2x2, ikiwa ni mbao inayouzwa futi 700/900 utashangaa umeibiwa hela nyingi mno.
Nikaja kuwakamata tena kwenye kujumlisha idadi ya futi zote baada ya kuhesabu mbao zote. Wanatumia calculator abayo ni famba!! yenyewe ikiandika 18.7 haiweki nukta inaingiza number nzima tu, hivyo 18.7 inakuwa 187. Walipomaliza kujumlisha nikashangaa kuona idadi kubwa mno ya futi ambazo ni sawa na hela nyingi mno!! nilipoanza kujumlisha mwenyewe kwa calculater ya simu yangu, nilibaini tofauti (wizi) wa laki tatu kwa mzigo mdogo wa laki 8.
Nimeona niwape hii wadau msijeingia vibaya. Jamaa wanakula kiulaini wasijue tunataabika sana kuitafuta hela ya kujengea...
Ndugu zangu,
Hili limenitokea napenda kuwapa tahadhari wale wote wanaofikiria kwenda kununua mbao buguruni wawe makini. Mimi nilikubaliana bei vizuri na muuzaji na kweli mzigo ulikuwa mzuri, pia bei ilikuwa nzuri tena ya kuvutia. Kazi ya kupima mbao ilipoanza ndipo nilipobaini wizi unaofanyika.
Jamaa wanatumia tape measure ambayo ni wizi mtupu.
Nilishtuka kuana mbao ya urefu wa kawaida, tape measure inasoma ft 24, hapo ndipo nilipogutuka nikaanza kuiangalia ile tape measure vzr, kumbe wameruka vipimo ili kuongeza idadi ya futi ili wapate faida zaidi...mfano ile tape measure inasomeka 1, 2, 3, 4, 5, 10, 11, 12, 13, 14, 15, 17, 18, 19, 22, ......... utaona jinsi kulivyo na gap kati ya 5-10, 15-17, 19-22...
Kwa mwendo huu unakuta jamaa wanaiba futi zaidi ya saba kwa mbao moja. Huu ni wizi mkubwa ukipiga hesa ya 300 kwa kila futi kwa zile mbao ndogo kabisa 2x2, ikiwa ni mbao inayouzwa futi 700/900 utashangaa umeibiwa hela nyingi mno.
Nikaja kuwakamata tena kwenye kujumlisha idadi ya futi zote baada ya kuhesabu mbao zote. Wanatumia calculator abayo ni famba!! yenyewe ikiandika 18.7 haiweki nukta inaingiza number nzima tu, hivyo 18.7 inakuwa 187. Walipomaliza kujumlisha nikashangaa kuona idadi kubwa mno ya futi ambazo ni sawa na hela nyingi mno!! nilipoanza kujumlisha mwenyewe kwa calculater ya simu yangu, nilibaini tofauti (wizi) wa laki tatu kwa mzigo mdogo wa laki 8.
Nimeona niwape hii wadau msijeingia vibaya. Jamaa wanakula kiulaini wasijue tunataabika sana kuitafuta hela ya kujengea...
Ndugu zangu,
Hili limenitokea napenda kuwapa tahadhari wale wote wanaofikiria kwenda kununua mbao buguruni wawe makini. Mimi nilikubaliana bei vizuri na muuzaji na kweli mzigo ulikuwa mzuri, pia bei ilikuwa nzuri tena ya kuvutia. Kazi ya kupima mbao ilipoanza ndipo nilipobaini wizi unaofanyika.
Jamaa wanatumia tape measure ambayo ni wizi mtupu.
Nilishtuka kuana mbao ya urefu wa kawaida, tape measure inasoma ft 24, hapo ndipo nilipogutuka nikaanza kuiangalia ile tape measure vzr, kumbe wameruka vipimo ili kuongeza idadi ya futi ili wapate faida zaidi...mfano ile tape measure inasomeka 1, 2, 3, 4, 5, 10, 11, 12, 13, 14, 15, 17, 18, 19, 22, ......... utaona jinsi kulivyo na gap kati ya 5-10, 15-17, 19-22...
Kwa mwendo huu unakuta jamaa wanaiba futi zaidi ya saba kwa mbao moja. Huu ni wizi mkubwa ukipiga hesa ya 300 kwa kila futi kwa zile mbao ndogo kabisa 2x2, ikiwa ni mbao inayouzwa futi 700/900 utashangaa umeibiwa hela nyingi mno.
Nikaja kuwakamata tena kwenye kujumlisha idadi ya futi zote baada ya kuhesabu mbao zote. Wanatumia calculator abayo ni famba!! yenyewe ikiandika 18.7 haiweki nukta inaingiza number nzima tu, hivyo 18.7 inakuwa 187. Walipomaliza kujumlisha nikashangaa kuona idadi kubwa mno ya futi ambazo ni sawa na hela nyingi mno!! nilipoanza kujumlisha mwenyewe kwa calculater ya simu yangu, nilibaini tofauti (wizi) wa laki tatu kwa mzigo mdogo wa laki 8.
Nimeona niwape hii wadau msijeingia vibaya. Jamaa wanakula kiulaini wasijue tunataabika sana kuitafuta hela ya kujengea...
Kwa upuuzi huu ulokujaa kichwani sidhani kama kweli utafikia hatua ya kujenga nyumba yako mwenyewe........:lying:
Pole, unauchungu kweli. Ila mbao nazo ni MMU?
Ha ha haaaaa................mapenzi si ni chumbani Da Konie nawe......chumba bila kuezeka inakuwaje!!!!!!!!!!!!!
Nahisi ametoka kafura kama nini, akafika na kiupost bila hata kuangalia anapost wapi
Ila kweli mapenzi bila chumba yanakuwa ya tabu sana