Uchaguzi 2020 Mnaojiandaa kukatwa kesho someni hapa ili mjiandae kisaikolojia

Uchaguzi 2020 Mnaojiandaa kukatwa kesho someni hapa ili mjiandae kisaikolojia

Niwakati wote tumeamini wakihama lazima wapewe nafasi lakini nihatari pia wakihama wakawa sapoti waupinzani hiyo itakuwa mbaya zaidi, usiwaze yaupande mmoja tu,,
 
Tena Bora huyu kuliko utopolo wako. Huwa unaandika hovyo kweli

Lakini pamoja na Kuandika Kwangu hovyo hivyo ila kila Siku uki Log In tu hapa JF ni lazima tu utazifungua 'Threads' na Kuzisoma. Nawatesa sana!!
 
Lakini pamoja na Kuandika Kwangu hovyo hivyo ila kila Siku uki Log In tu hapa JF ni lazima tu utazifungua 'Threads' na Kuzisoma. Nawatesa sana!!
Kwenye muongozo wa jf kuna sehemu ya kushindana kutokana na andiko?

Kijana acha ushamba, issue ya "kuwatesa" sijui kina nani, wanafanya vijana wenye mawazo kama yako na ndiyo maana gazeti unalosoma wewe mwingine hawezi kulisoma.
 
Kwenye muongozo wa jf kuna sehemu ya kushindana kutokana na andiko?

Kijana acha ushamba, issue ya "kuwatesa" sijui kina nani, wanafanya vijana wenye mawazo kama yako na ndiyo maana gazeti unalosoma wewe mwingine hawezi kulisoma.

Pumbavu.
 
Back
Top Bottom