ommytk
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 520
- 1,143
Wakata tiketi kwenye mwendo mnanyayasa sana watoto, nimeshuhudia karibu mara tatu mnagombana na vijana ambao ukimuona kwa umri wake kabisa ni mtoto mnataka alipe nauli ya mtu mzima hivi kisa amevaa nguo za nyumbani si sawa kabisa.
Hivi nyinyi amjui umri wa mtoto? serikali naomba iangalie hili kwa ukaribu kwanini watoto wanasumbuliwa, sio kabisa.
Hivi nyinyi amjui umri wa mtoto? serikali naomba iangalie hili kwa ukaribu kwanini watoto wanasumbuliwa, sio kabisa.