Mnaokesha au kulala sehemu za kunywa pombe huwa mnakunywa tu au kuna mahusiano ya ziada ya kimapenzi na ni ya aina ipi?

Mnaokesha au kulala sehemu za kunywa pombe huwa mnakunywa tu au kuna mahusiano ya ziada ya kimapenzi na ni ya aina ipi?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Mimi sio mnywaji wa pombe ila mara kadhaa nimesikia wanawake wakilamikia waume zao wenye hizo tabia, Malalamiko yanakuwa makubwa zaidi wakinywa nje kuliko wakinywea nyumbani.

Iwe ni bar, lounge, pub, kilabuni, n.k. mtu aliezoea kukesha kiasi cha kurudi nyumbani usiku au kulalia huko huko huwa ni kunywa tu au kuna mahusiano pia ?

Kama kuna mahusiano huwa ni kununua malaya kwa one night stand, michepuko maalum kwajili ya kampani ya kunywa pombe, au ni watu wa aina gani ?

MIREJESHO
Mlevi yeyote unaemuona anaenda kunywa sehemu ya starehe awe ni me au ke anaenda na mambo mawili kichwani mwake moja kunywa na mbili kupiga pipe au kupigwa pipe ili pombe itembee akate hangover,

Mlevi na Chini ni sawa na kisima na maji nimekujibu kwa experience tena Wanawake ndio wapo hatarini zaidi maana akilewa akashindwa kujitambua anaweza akapigwa pipe na kijiji kizima hii niliwahi kuona ilimtokea Dada mmoja alikua anauza mgahawa Mkoa X siku hio akaenda kujifurahisha kwenye Pub yenye Club akalewa sana kilichofuatia ni historia alizungushwa nyuma tu wa hilo eneo akainamishwa kwenye Cruiser moja ilikua imepaki hapo alichezea miti sana siku hio na ukizingatia alikua na bonge la tako basi kila kijana alitaka afaidi, kwa hio mlevi yoyote narudia tena yoyote anaeenda sehemu ya starehe anaenda na mambo mawili kulewa na kula au kuliwa
Ndio Bar & Guest house= Lounge ukilewa unajipindua na goma lako mnalala hapo hapo mpaka muda unaotaka kuondoka tena kuna Lounge baadhi hua zina nightclubs humo humo kwa hio eeh ushaelewa?

Na nikupe hii uelewe sehemu yoyote unapoiona kuna Bar au Pub basi jua Guest house haipo mbali yaan ni nyuma ya Bar au karibu, unaoongea na Mlevi Mkongwe aliestaafu pombe takataka zote za maeneo hayo nazijua
 
Dunia ya sasa ni ya utandawazi hatupo zama za giza, wekeni mambo wazi tuelimishane.
Hilo ni moja ya yale mambo ambayo hayapaswi kujulikana kiwepesi.Hata hivyo,kwani huwa hamjui mtu akienda baa anafanya nini kwani zaidi ya kunywa,kula asusa,kuangalia mpira na muziki?
 
Iwe ni bar, lounge, pub, kilabuni, n.k. Huko mnakoenda kukesha kiasi cha kurudi majumbani usiku au kulalia huko huko huwa ni kunywa tu au kuna mahusiano pia ?
Mlevi yeyote unaemuona anaenda kunywa sehemu ya starehe awe ni me au ke anaenda na mambo mawili kichwani mwake moja kunywa na mbili kupiga pipe au kupigwa pipe ili pombe itembee akate hangover,

Mlevi na Chini ni sawa na kisima na maji nimekujibu kwa experience tena Wanawake ndio wapo hatarini zaidi maana akilewa akashindwa kujitambua anaweza akapigwa pipe na kijiji kizima hii niliwahi kuona ilimtokea Dada mmoja alikua anauza mgahawa Mkoa X siku hio akaenda kujifurahisha kwenye Pub yenye Club akalewa sana kilichofuatia ni historia alizungushwa nyuma tu wa hilo eneo akainamishwa kwenye Cruiser moja ilikua imepaki hapo alichezea miti sana siku hio na ukizingatia alikua na bonge la tako basi kila kijana alitaka afaidi, kwa hio mlevi yoyote narudia tena yoyote anaeenda sehemu ya starehe anaenda na mambo mawili kulewa na kula au kuliwa

-End of the story
 
Mlevi yeyote unaemuona anaenda kunywa sehemu ya starehe awe ni me au ke anaenda na mambo mawili kichwani mwake moja kunywa na mbili kupiga pipe au kupigwa pipe ili pombe itembee akate hangover,

Mlevi na Chini ni sawa na kisima na maji nimekujibu kwa experience tena Wanawake ndio wapo hatarini zaidi maana akilewa akashindwa kujitambua anaweza akapigwa pipe na kijiji kizima hii niliwahi kuona ilimtokea Dada mmoja alikua anauza mgahawa Mkoa X siku hio akaenda kujifurahisha kwenye Pub yenye Club akalewa sana kilichofuatia ni historia alizungushwa nyuma tu wa hilo eneo akainamishwa kwenye Cruiser moja ilikua imepaki hapo alichezea miti sana siku hio na ukizingatia alikua na bonge la tako basi kila kijana alitaka afaidi, kwa hio mlevi yoyote narudia tena yoyote anaeenda sehemu ya starehe anaenda na mambo mawili kulewa na kula au kuliwa

-End of the story
Duh !! na vile hizi lodge zinavyojengwa kwa kasi mitaani basi zitakuwa zinachochea sana, Bar nazo zimejiongeza siku hizi naona kuna ongezeko la bar zenye vyumba vya kulala wanaziita lounge kama sijakosea
 
Duh !! na vile hizi lodge zinavyojengwa kwa kasi mitaani basi zitakuwa zinachochea sana, Bar nazo zimejiongeza siku hizi naona kuna ongezeko la bar zenye vyumba vya kulala wanaziita lounge kama sijakosea
Ndio Bar & Guest house= Lounge ukilewa unajipindua na goma lako mnalala hapo hapo mpaka muda unaotaka kuondoka tena kuna Lounge baadhi hua zina nightclubs humo humo kwa hio eeh ushaelewa?

Na nikupe hii uelewe sehemu yoyote unapoiona kuna Bar au Pub basi jua Guest house haipo mbali yaan ni nyuma ya Bar au mwendo wa Miguu isiyozidi 10 ndio hua kuna Guest house, unaoongea na Mlevi Mkongwe aliestaafu pombe takataka zote za maeneo hayo nazijua
 
Mimi nafataga papuchi na kucheza muziki Tena pale Ihumwa Dodoma Kuna baa wanapenda kweli kuleta watoto wa kinyaturu na waki Iraq kila mwezi wanakuja wapya.
 
Back
Top Bottom