Mnaokesha au kulala sehemu za kunywa pombe huwa mnakunywa tu au kuna mahusiano ya ziada ya kimapenzi na ni ya aina ipi?

Mnaokesha au kulala sehemu za kunywa pombe huwa mnakunywa tu au kuna mahusiano ya ziada ya kimapenzi na ni ya aina ipi?

Tukiwa Bar mbona sisi hatuongelei mambo yenu?

Nyie ya kwetu yanawahusu nn
Nimeshangaaa sana mkuu. Hii Nchi inatakiwa itawaliwe kidikteta kabisa haiwezekan na haivumiliki kujadiri mambo yasiyo kuhusu.

Mtu kakiri kabisa sio mtumiaji wa pombe Sasa Uzi wa Nini ama kakodiwa huyu??
 
Wewe sio mnywaji, wewe ni mwanaume, wewe huwa unawasikia wanawake wengi wakilalamika kuhusu waume zao kuchelewa kurudi. Sawa asante ila Kuna viswali kidogo hapa,

1. Hao wanawake unakutana Nao wapi ?

2. Ukikaa na hao rafiki zako kina mama, hakuna kingine cha kuongea ila waume zao kunywa pombe?

3. Kwanini hukai na wanaume wenzako mkaongea ya kiume?

4. Unataka tukwambie kinachojiri huko vilabuni ili ukawalasimulie kina mama rafiki zako sio?
 
Wewe sio mnywaji, wewe ni mwanaume, wewe huwa unawasikia wanawake wengi wakilalamika kuhusu waume zao kuchelewa kurudi. Sawa asante ila Kuna viswali kidogo hapa,

1. Hao wanawake unakutana Nao wapi ?

2. Ukikaa na hao rafiki zako kina mama, hakuna kingine cha kuongea ila waume zao kunywa pombe?

3. Kwanini hukai na wanaume wenzako mkaongea ya kiume?

4. Unataka tukwambie kinachojiri huko vilabuni ili ukawalasimulie kina mama rafiki zako sio?
Akikujibu ni quote mkuu. Ndio maana Nchi hiii ni maskani kumbe wanaume wenzetu wanatuangusha
 
Wewe sio mnywaji, wewe ni mwanaume, wewe huwa unawasikia wanawake wengi wakilalamika kuhusu waume zao kuchelewa kurudi. Sawa asante ila Kuna viswali kidogo hapa,

1. Hao wanawake unakutana Nao wapi ?

2. Ukikaa na hao rafiki zako kina mama, hakuna kingine cha kuongea ila waume zao kunywa pombe?

3. Kwanini hukai na wanaume wenzako mkaongea ya kiume?

4. Unataka tukwambie kinachojiri huko vilabuni ili ukawalasimulie kina mama rafiki zako sio?
Maswali ya msingi kabisa.
Yaani mwanaume anauliza wanaume wenzie maswali ya wanawake ambao ni rafiki zake! Strange!
 
Ukinikosa kiduka cha mangi usiku wa ijumaa basi nyumbani utaniona jumapili kuanzia saa 7 mchana
 
Kwanza ukiwa nje usiku muda hukimbia mnoooo.....
Unaweza hisi ni saa5 usiku kumbe ni saa 11 ukishtuka kumekucha unarejea mahome[emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wahusikaa mjee hapaa mtolee majibu na ufafanuziii. Lol
 
Mke mwema hutoka kwa Bwana , sas huko bar au Pub ndo kwa bwana? 😅
 
Back
Top Bottom