Mnaokosoa kolabo ya Diamond & Koffi msome HAPA

Masisiemu Sasa ndio yamejua kiasi ambacho magufuli hawaamini.

Yaani kawapa Watoto wake, Na mbuzi za chadema alizonunua mnadani na zile ng'ombe za jalalani udsm pale bila kusahau lakezonelization, watu wa Kanda ya ziwa.

Masisiemu yamepigwa na butwaa
Sio mahala pake hapa
 
Kwa taarifa zisizo rasmi sana ni kwamba ukitaka utajwe kwenye wimbo na Fally Ipupa itabidi ulipie hadi US$1000.
Unamaanisha US$ 10,000 au? Sidhani kama Fally anaweza kumtaja mtu kwa $1000.
 
Katika ngoma za rumba hakuna ngoma mondi atatoa ikawa kali kama ile aliimba na marehemu papa wemba apo ndo ninapojua mziki mzuri una wenyewe ila hii ya koffi na mondi hamna kitu ni kelele tu
 
Katika ngoma za rumba hakuna ngoma mondi atatoa ikawa kali kama ile aliimba na marehemu papa wemba apo ndo ninapojua mziki mzuri una wenyewe ila hii ya koffi na mondi hamna kitu ni kelele tu
Kweli. Ile hata tuzo ilipata. Papa Wemba kolabo zake karibu zote ni hitsong, kuna Wakeup ft Koffi, cavalier solitaire ft mpiana ,, zilisumbua sana.
 
Koffi kuimba vile n kawaida yake,ila mashairi au namna alivyoimba diamond hata Mimi naweza imba
 
Unamaanisha US$ 10,000 au? Sidhani kama Fally anaweza kumtaja mtu kwa $1000.
Nani atoe $10,000 kutajwa na Fally kwenye wimbo!? Kwani amekuwa na hadhi ya marehemu Michael Jackson huyo!? $500 mpaka $1000 anakula vizuri tu.
 
Nani atoe $10,000 kutajwa na Fally kwenye wimbo!? Kwani amekuwa na hadhi ya marehemu Michael Jackson huyo!? $500 mpaka $1000 anakula vizuri tu.
$500 labda kwenye live show akiwa ameshalewa ila sio akiwa anakwenda kurecord wimbo wake ambao unaweza kuhit na kuwa juu kwa miaka zaidi ya 20 huku wewe ukitajwa tu

Hao akina papa Moise Katumbi Chapwe anaowataja kwenye nyimbo ni mabilionea hasa na sio watu wa kutoa $500
 
Ukishasema Moise Katumbi huyo ni mtu ambaye hategemei kulipa kwa ajili ya kutajwa na Fally huyo automatically fally ataona fahari kumtaja kwa kuwa alishakuwa mkubwa na mwenye influence kabla hata Fally hajatoka kumtumikia Koffi, ni hulka ya wacongo kuwataja ma_role model kwenye nyimbo zao. George Weah Waka Waka mfano mmoja wao. Wanaolilia fame ndio watalipa kwa kuwa hawafamiki ,
 
Kuna wimbo mmoja nikiwa mdogo na sijui Kiingereza nilikuwa naupenda sana. Kabla movie kuanza kwenye kibanda umiza tulikuwa tunaomba upigwe kwanza. Siukumbuki jina wala aliyeuimba, ila nakumbuka mashairi yalikuwa yanaanza na,

"Who let's the dogs out...!"
Wooh! Wooh! Woooh! Wooooh!
Utakuta aliyekuwa anaupenda wimbo huu kama mimi ndiye anayeuponda wimbo wa Diamond na Koffi! Ahahahahahhahahah!
 
Diamond nampa hongera sababu anajituma na Ana uthubutu. Ila kwenye huu wimbo pamoja na kofi hajaimba, lakini amemfunika diamond Sana Sana. Ila kwenye kucheza dangote wetu yupo vizuri.
Hivi diamond analipwaga na Aliko dangote kumtajataja kwenye mawimbo??
 
Nitaitwa hater ila huo wimbo wamepiga boko connection kati ya Koffi na Diamond haipo kabisa utaikiri nyimbo mbili tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…