Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Kwanza tambueni mm ni mkongwe sana wa gemu za Simba vs yanga, nimeanza kwenda uwanjan miaka ile ya Derby ya Sigara na Pilsner, Simba na Nyota Nyekundu ya Roster Ndunguru, Simba ile ya akina Itutu Kiggi, Mosses Mkandawile, Sunday Juma, Aston Pardon, Adam Seleman, Juma Limonga, Adolf Kondo, Omary Hussein Kevin Keefan.Kwahiyo naujua mpira wa bongo coz nimeuishi had Leo.
Natoa tahadhari kwa wale wenye roho nyepesi, nyepesi wakae wakijua yafuatayo hiyo kesho ambapo sare haipo, lazima mmoja alale na maumivu.
1.Mechi za Simba na Yanga hazina mwenyewe, yeyote anaweza kufungwa
2.Mechi za Simba na Yanga zimeshachezwa na watu wana matokeo.
3.Mechi za Simba na Yanga sio uwezo wa makocha wala wachezaji, ni majini tu yanatamba.
4.Shabiki yeyote akijichanganya kwenye ndumba za wanaume hao anaweza kutolewa kafara.
5.Wachezaji wengi maarufu wa timu hizo majina yao yako makaburini usiku huu yanafukiwa.
6.Viongozi wa timu hizi wanawapa matumaini ya bure ila mchezo ni dakika 90.
7.Mnaoumia ni nyie mashabiki, wenzenu hawana maumivu yoyote
8.Mechi itaisha kwa sare dakika 90
9.Kama moyo wako hauwezi kutuliza damu tulia nyumbani
Natoa tahadhari kwa wale wenye roho nyepesi, nyepesi wakae wakijua yafuatayo hiyo kesho ambapo sare haipo, lazima mmoja alale na maumivu.
1.Mechi za Simba na Yanga hazina mwenyewe, yeyote anaweza kufungwa
2.Mechi za Simba na Yanga zimeshachezwa na watu wana matokeo.
3.Mechi za Simba na Yanga sio uwezo wa makocha wala wachezaji, ni majini tu yanatamba.
4.Shabiki yeyote akijichanganya kwenye ndumba za wanaume hao anaweza kutolewa kafara.
5.Wachezaji wengi maarufu wa timu hizo majina yao yako makaburini usiku huu yanafukiwa.
6.Viongozi wa timu hizi wanawapa matumaini ya bure ila mchezo ni dakika 90.
7.Mnaoumia ni nyie mashabiki, wenzenu hawana maumivu yoyote
8.Mechi itaisha kwa sare dakika 90
9.Kama moyo wako hauwezi kutuliza damu tulia nyumbani