Mnaomchukia Mwita Waitara kisa tu aliwamaliza kisiasa tambueni kuwa yupo njema na atarudi tena mjengon.

Mnaomchukia Mwita Waitara kisa tu aliwamaliza kisiasa tambueni kuwa yupo njema na atarudi tena mjengon.

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Screenshot_20220828-222048.jpg
Screenshot_20220828-222048.jpg
 
Waitara ile 'sura ya matapu tapu' ndiyo iliyomponza.
Mwambiege awe anapita saluni hasa hizi za Sinza, ashikwe shikwe uso na wadada wa 'baba shop' sura ilainike 😎
Hawa wanawake wa kanda ya ziwa tunao waoa wana mikono migumu sababu ya kulima, kuchunga ng'ombe na kupukuchua mahindi 😀
Wakishika shika uso wa mwanaume, sura inakongoroka haraka...
 
Hawezi kuishi mtaani bila ubunge? Kwani hajajiajiri kama wabunge wanavyotufundisha wakati wa kugonga meza?
 
Je huko bado anagawa konyagi kwa wapiga kura kama alivyokuwa Dar es Salam?
 
Back
Top Bottom