Mnaomiliki na kutumia Volkswagen 'chuma ya mjerumani' ni gereji zipi mnafanyia service & repair? Popote pale nchini

Mnaomiliki na kutumia Volkswagen 'chuma ya mjerumani' ni gereji zipi mnafanyia service & repair? Popote pale nchini

Na deal only na spare part ,kama unatafuta spare parts yeyote na sio tu VW gari yeyote ile , au umeona spare unayotafuta nishida kupata waweza nichek pia

Spare natuma mahala popote na mkoa wowote upon both agreement

Karibu

Ndugu nishauri jambo nkitaka kubadili engine ya VW T3 niweke engine ya Foresta unaweza nishauri vipi hapa na je engine gani naweza weka kwenye hii gari?
 
Hapa umetaja sababu kibao hazina mshiko hapa suala ni kwamba watz hamna ela za kununua Gari za Ulaya hata iwe Used.

Watz wana hela ama hawana hela kununua gari za Ulaya... hii sio hoja wala issue kwenye Uzi huu.

Issue ama maudhui ya Uzi huu ni: Wapi pa kuservice na kurepair gari za Ulaya hapa nchini? Sijajadili suala la financial capacity hapa. Ndo maana mnafeli mitihani.
 
Ndugu nishauri jambo nkitaka kubadili engine ya VW T3 niweke engine ya Foresta unaweza nishauri vipi hapa na je engine gani naweza weka kwenye hii gari?

Nadhani huyo mdau ni muuza spea tu. Sidhani kama ana ufundi ama uwezo wa kutoa mechanical advice. Alisema yeye anauza tu spea.
 
Sikubaliani na ww kabisaaaaaaaa

Sasa Vanguard zimejaaa nchini kama uchafu useme watu hawana hela za kununua hizo gari??

Mkuu, hiyo Vanguard ni Toyota nadhani. Ni gari ya mjapan, siyo Ulaya.

Huyo uliyemquote, pia na Uzi huu, tunazungumzia gari manufactured in Europe.

Japan ni Asia, not Ulaya.

Hapa tunajadili repair centers in Tanzania kwaajili ya magari ya mjerumani, mfano Volkswagen.
 
Volkswagen Touareg V6/V10 inacost shillings ngapi pesa za kibongo wazee? Msaada nataka niivute hii kitu. Itafaa zaidi nkipata na maelezo mengine...
f5e5fcb1-2019-vw-touareg-v6-tsi-petrol-uk-0-1024x555.jpg
images.jpg
images%20(1).jpg
 
Mkuu, hiyo Vanguard ni Toyota nadhani. Ni gari ya mjapan, siyo Ulaya.

Huyo uliyemquote, pia na Uzi huu, tunazungumzia gari manufactured in Europe.

Japan ni Asia, not Ulaya.

Hapa tunajadili repair centers in Tanzania kwaajili ya magari ya mjerumani, mfano Volkswagen.

Amesema Watz hawana hela za kununua hizo gari za ulaya, nikatoa mfano gharama ya Vanguard
 
Wacha nipambane. If things keep unfolding, till end of this year... mnyama Volkswagen Polo GTi ananihusu.

Ni muhimu kuonja na ladha ya mjerumani. Mjapan namchapa talaka.
 
Back
Top Bottom