Mnaomshambulia Spika wa Bunge amewakosea nini?

Mnaomshambulia Spika wa Bunge amewakosea nini?

Rege

Senior Member
Joined
Jul 9, 2022
Posts
117
Reaction score
153
Spika wa Bunge anadhalilishwa na kushambuliwa kila mahali huku tukijua kuwa Dkt. Tulia ni Daktari wa PhD na sio Dokta wa Mchongo kwanini tunashindwa kuheshimu taaluma yake?

Kosa lake ni nini hadi ashambuliwe kiasi hicho?
 
SPIKA wa Bunge anadhalilishwa na kushambuliwa kila mahali huku tukijua kuwa Dk. Tulia ni Daktari wa PhD na sio Dokta wa Mchongo kwanini tunashindwa kuheshimu taaluma yake?

Kosa lake ni nini hadi ashambuliwe kiasi hicho?
Tunataka kuiona ,PHD yake kwenye utendaji Kazi. Siyo makaratasi Hata mwingulu ana PHD Lakini hovyo kabisa
 
Hii kitu 👆 haina thamani linapokuja suala la kupitisha miswada bungeni! Wala haina thamani mbele ya mikakat ya CCM!!! NB; PhD sio kipaumbele huko, kikubwa ukubaliane na mikakat ya mfumo tu!!
 
any spineless "leader" from CCM deserves to be called out. anaendelea kupitisha miswada inayodidimiza maisha ya mTanzania wa kawaida, alafu mnataka achekelewe?
 
Wenye PhD za ukweli inabidi tukae kimya- Prof:Muhongo
 
Nae anaweza kuwa pimbi tu kati ya ma pimbi wenzake. Kashadharaulika
 
[19/06, 15:15] New Force: Marais waislam hawafanyagi lolote la maana zaidi ya kuuza nchi yetu.
Kilio cha ubinafisishaji na mikataba ya hovyo ilisainiwa enzi za utawala wa Mwinyi, Kikwete na sasa Samia!
Ma Rais waislam hawa hamasishi watu kufanya kazi badala yake huwa hamasisha watu kukabidhi rasilimali zao kwa watu wengine na wao wawe watazamaji tu.
Marais wakiristo wanaamini katika kufanya kazi na kujitegemea, angalia kuanzia Nyerere, Mkapa, na Magufuli waliamini katika kufanya kazi na kujitegemea kupitia ujenzi wa viwanda.
Tatizo ni elimu au malezi?
[22/06, 09:04] New Force: Mkataba ungekuwa unasema hivyo kama anavyosema waziri mkuu Kassim Majaliwa tusingelalamika.

Sasa hivi ufafanuzi unatolewa mwingine na mkataba unasema mengine, sisi watanzania hatutasikiliza chochote ambacho hakipo kwenye mkataba ,yatakuwa ni matumizi mabaya ya masikio yetu.
Hata chifu Mangungo wa Msovera alipewa maelezo mazuri sana

Kuna gunduzi nyingi sasa hivi kama magari ya kutumia umeme, gesi na mwarabu anategemea mafuta kwa hiyo walishaona mbali sana ndiyo maana ya mikataba ya milele.

Next generation biashara ya mafuta inaweza kuja kuwa ya kawaida sana lzm waandae pa kukimbilia
Sasa lawama zako ni kwa maRais waislamu wa kutoka CCM ?! Machadema kama unavyowaitaga umewaacha kwanza. !!
 
Koran inasema Wanawake wana akili nusu dhidi ya wanaume so hawafai kuwa viongozi... Tumejiroga wenyewe hizi issue sensitive za nchi na hii ni Adhabu anatupati Mwenyezi
 
abadilike kutoka ujaji awe spika wa bunge JMT

Kama katiba ya JMT inavyofafanua
 
Taaluma yake inatakuwa ilete tija kwa Watz siyo uchawa kwa form two dropout.
Bandari yetuuuu!!!!
 
Huyu ni spika au waziri au mwanasheria mkuu wa serikali? Mwenye uelewa na mambo ya kisheria anieleweshe
 
SPIKA wa Bunge anadhalilishwa na kushambuliwa kila mahali huku tukijua kuwa Dk. Tulia ni Daktari wa PhD na sio Dokta wa Mchongo kwanini tunashindwa kuheshimu taaluma yake?

Kosa lake ni nini hadi ashambuliwe kiasi hicho?
Bilashaka hawaishambulii taaluma yake, bali anashambuliwa yeye kama Tulia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SPIKA wa Bunge anadhalilishwa na kushambuliwa kila mahali huku tukijua kuwa Dk. Tulia ni Daktari wa PhD na sio Dokta wa Mchongo kwanini tunashindwa kuheshimu taaluma yake?

Kosa lake ni nini hadi ashambuliwe kiasi hicho?
Ana mambo na maumuzi ya Kihayawani Bungeni.
 
SPIKA wa Bunge anadhalilishwa na kushambuliwa kila mahali huku tukijua kuwa Dk. Tulia ni Daktari wa PhD na sio Dokta wa Mchongo kwanini tunashindwa kuheshimu taaluma yake?

Kosa lake ni nini hadi ashambuliwe kiasi hicho?
Spika ndio aliyeongoza upotoshaji mkubwa bungeni kuhusu mkataba huu mbovu kabisa. Alaumiwe.
 
SPIKA wa Bunge anadhalilishwa na kushambuliwa kila mahali huku tukijua kuwa Dk. Tulia ni Daktari wa PhD na sio Dokta wa Mchongo kwanini tunashindwa kuheshimu taaluma yake?

Kosa lake ni nini hadi ashambuliwe kiasi hicho?
Hana akili
 
SPIKA wa Bunge anadhalilishwa na kushambuliwa kila mahali huku tukijua kuwa Dk. Tulia ni Daktari wa PhD na sio Dokta wa Mchongo kwanini tunashindwa kuheshimu taaluma yake?

Kosa lake ni nini hadi ashambuliwe kiasi hicho?
Wewe ni ndugu yake kwani auoni kinacho endelea Bungeni......
 
Back
Top Bottom