Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunataka kuiona ,PHD yake kwenye utendaji Kazi. Siyo makaratasi Hata mwingulu ana PHD Lakini hovyo kabisaSPIKA wa Bunge anadhalilishwa na kushambuliwa kila mahali huku tukijua kuwa Dk. Tulia ni Daktari wa PhD na sio Dokta wa Mchongo kwanini tunashindwa kuheshimu taaluma yake?
Kosa lake ni nini hadi ashambuliwe kiasi hicho?
Hii kitu 👆 haina thamani linapokuja suala la kupitisha miswada bungeni! Wala haina thamani mbele ya mikakat ya CCM!!! NB; PhD sio kipaumbele huko, kikubwa ukubaliane na mikakat ya mfumo tu!!
Sasa lawama zako ni kwa maRais waislamu wa kutoka CCM ?! Machadema kama unavyowaitaga umewaacha kwanza. !![19/06, 15:15] New Force: Marais waislam hawafanyagi lolote la maana zaidi ya kuuza nchi yetu.
Kilio cha ubinafisishaji na mikataba ya hovyo ilisainiwa enzi za utawala wa Mwinyi, Kikwete na sasa Samia!
Ma Rais waislam hawa hamasishi watu kufanya kazi badala yake huwa hamasisha watu kukabidhi rasilimali zao kwa watu wengine na wao wawe watazamaji tu.
Marais wakiristo wanaamini katika kufanya kazi na kujitegemea, angalia kuanzia Nyerere, Mkapa, na Magufuli waliamini katika kufanya kazi na kujitegemea kupitia ujenzi wa viwanda.
Tatizo ni elimu au malezi?
[22/06, 09:04] New Force: Mkataba ungekuwa unasema hivyo kama anavyosema waziri mkuu Kassim Majaliwa tusingelalamika.
Sasa hivi ufafanuzi unatolewa mwingine na mkataba unasema mengine, sisi watanzania hatutasikiliza chochote ambacho hakipo kwenye mkataba ,yatakuwa ni matumizi mabaya ya masikio yetu.
Hata chifu Mangungo wa Msovera alipewa maelezo mazuri sana
Kuna gunduzi nyingi sasa hivi kama magari ya kutumia umeme, gesi na mwarabu anategemea mafuta kwa hiyo walishaona mbali sana ndiyo maana ya mikataba ya milele.
Next generation biashara ya mafuta inaweza kuja kuwa ya kawaida sana lzm waandae pa kukimbilia
Bilashaka hawaishambulii taaluma yake, bali anashambuliwa yeye kama TuliaSPIKA wa Bunge anadhalilishwa na kushambuliwa kila mahali huku tukijua kuwa Dk. Tulia ni Daktari wa PhD na sio Dokta wa Mchongo kwanini tunashindwa kuheshimu taaluma yake?
Kosa lake ni nini hadi ashambuliwe kiasi hicho?
Ana mambo na maumuzi ya Kihayawani Bungeni.SPIKA wa Bunge anadhalilishwa na kushambuliwa kila mahali huku tukijua kuwa Dk. Tulia ni Daktari wa PhD na sio Dokta wa Mchongo kwanini tunashindwa kuheshimu taaluma yake?
Kosa lake ni nini hadi ashambuliwe kiasi hicho?
Spika ndio aliyeongoza upotoshaji mkubwa bungeni kuhusu mkataba huu mbovu kabisa. Alaumiwe.SPIKA wa Bunge anadhalilishwa na kushambuliwa kila mahali huku tukijua kuwa Dk. Tulia ni Daktari wa PhD na sio Dokta wa Mchongo kwanini tunashindwa kuheshimu taaluma yake?
Kosa lake ni nini hadi ashambuliwe kiasi hicho?
Hana akiliSPIKA wa Bunge anadhalilishwa na kushambuliwa kila mahali huku tukijua kuwa Dk. Tulia ni Daktari wa PhD na sio Dokta wa Mchongo kwanini tunashindwa kuheshimu taaluma yake?
Kosa lake ni nini hadi ashambuliwe kiasi hicho?
Alaaniwe kabisaSpika ndio aliyeongoza upotoshaji mkubwa bungeni kuhusu mkataba huu mbovu kabisa. Alaumiwe.
Wewe ni ndugu yake kwani auoni kinacho endelea Bungeni......SPIKA wa Bunge anadhalilishwa na kushambuliwa kila mahali huku tukijua kuwa Dk. Tulia ni Daktari wa PhD na sio Dokta wa Mchongo kwanini tunashindwa kuheshimu taaluma yake?
Kosa lake ni nini hadi ashambuliwe kiasi hicho?