Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa nani alikuwa anamlinda? Kwanini kila mtu anamlalamikia?
Anastahili adhabu gani huyu jambazi?
Yeye na kiongozi wake aliempa dhamana pamoja na Magaidi wote wanastahili kulipwa walichopanda hapa duniani
Huyu jamaa nani alikuwa anamlinda? Kwanini kila mtu anamlalamikia?
Anastahili adhabu gani huyu jambazi?
Yeye na kiongozi wake aliempa dhamana pamoja na Magaidi wote wanastahili kulipwa walichopanda hapa duniani
MATAGA mkiona tajiri mnajua ni mwizi... Magu kawaharibu sanaHamchelewagi kupiga gia za angani ni nyumbu.
Kama Sasa hivi Mnawatetea kina;
MANJI
SETH WA ESCROW.
PAPAA MSOFE.
WAUZA NGADA.
MAJAMBAZI.
WAHALIFU WENGINE.
N.K.
Kua walionewa awamu ilopita huku mkipiga miluzi na nyimbo za mapambio kia mama anaupiga mwingi,sitoshangaa siku mkimtetea huyohuyo Sabaya kia hana kisa na mtashangilia akiachiwa
Tatizo lenu ni nyumbu mnaofata mkumbo tu sisi tunaendelea kuwakumbusha nyinyi matapeli wa kisiasa,MATAGA mkiona tajiri mnajua ni mwizi... Magu kawaharibu sana
Tulia kijana sindano isijekakatikia kwenye kalioTatizo lenu ni nyumbu mnaofata mkumbo tu sisi tunaendelea kuwakumbusha nyinyi matapeli wa kisiasa,
Hao wote ndo ilikua karata yenu ya kupiga pesa ajabu Mnawatetea Sasa.
Ni kawaida yenu lakini maana hata LOWASA mlimuita fisadi miaka 8 Kabla ya gia angani,then mkaanza kumnadi na kutaka mpewe ushahidi na ndugu zenu CCM,
Hamkuchoka mkambeba na yule mlimuita MR.Zero(Sumaye)
Mkaona hamjarizika mkambeba na mzee wa Twiga Nyalando.
Eti mnataka ushahidi wakati nyinyi ndo mlipaswa mseme hao watu mlowatuhumu mwanzo mmewasugua na dodoki!!
Anayemtetea Seth kati ya sisi na hawa ni yupi ?Hamchelewagi kupiga gia za angani ni nyumbu.
Kama Sasa hivi Mnawatetea kina;
MANJI
SETH WA ESCROW.
PAPAA MSOFE.
WAUZA NGADA.
MAJAMBAZI.
WAHALIFU WENGINE.
N.K.
Kua walionewa awamu ilopita huku mkipiga miluzi na nyimbo za mapambio kia mama anaupiga mwingi,sitoshangaa siku mkimtetea huyohuyo Sabaya kia hana kisa na mtashangilia akiachiwa
Nyinyi si ndo mmegeuka washangiliaji wa mafisadi watolewe tu kwa hoja nyepesi kua wameonewa na mwendazake.