Mnaomtetea Ole Sabaya mnapaswa kuchunguzwa na TAKUKURU

Mnaomtetea Ole Sabaya mnapaswa kuchunguzwa na TAKUKURU

hapo kwenye kulalamikiwa na kila mtu ndipo penye mashaka.

hakuna kiumbe wa hivyo,na kama mna nia naye mbaya msiendelee na mtizamo huo mtaharibu nia ya upelelezi.

mwishwe itaanza kuonekana ni vita kati ya wanachadema,wachaga thidi ya sabaya.
 
Hamchelewagi kupiga gia za angani ni nyumbu.
Kama Sasa hivi Mnawatetea kina;
MANJI
SETH WA ESCROW.
PAPAA MSOFE.
WAUZA NGADA.
MAJAMBAZI.
WAHALIFU WENGINE.

N.K.
Kua walionewa awamu ilopita huku mkipiga miluzi na nyimbo za mapambio kia mama anaupiga mwingi,sitoshangaa siku mkimtetea huyohuyo Sabaya kia hana kisa na mtashangilia akiachiwa
 
Huyu jamaa nani alikuwa anamlinda? Kwanini kila mtu anamlalamikia?

Anastahili adhabu gani huyu jambazi?
Yeye na kiongozi wake aliempa dhamana pamoja na Magaidi wote wanastahili kulipwa walichopanda hapa duniani
Screenshot_20210618_074710.jpg
 
Huyu jamaa nani alikuwa anamlinda? Kwanini kila mtu anamlalamikia?

Anastahili adhabu gani huyu jambazi?
Yeye na kiongozi wake aliempa dhamana pamoja na Magaidi wote wanastahili kulipwa walichopanda hapa duniani
 
Hamchelewagi kupiga gia za angani ni nyumbu.
Kama Sasa hivi Mnawatetea kina;
MANJI
SETH WA ESCROW.
PAPAA MSOFE.
WAUZA NGADA.
MAJAMBAZI.
WAHALIFU WENGINE.

N.K.
Kua walionewa awamu ilopita huku mkipiga miluzi na nyimbo za mapambio kia mama anaupiga mwingi,sitoshangaa siku mkimtetea huyohuyo Sabaya kia hana kisa na mtashangilia akiachiwa
MATAGA mkiona tajiri mnajua ni mwizi... Magu kawaharibu sana
 
Waliishi wakimtegemea mfalme wao na wakifanyia watu mabaya wakijua mfalme wao atawatetea leo mfalme hayupo wamebak na walio wafanyia ubaya
 
Waliishi wakimtegemea mfalme wao na wakifanyia watu mabaya wakijua mfalme wao atawatetea leo mfalme hayupo wamebak na walio wafanyia ubaya
Amelaaniwa mwanadamu amtegemeaye mwanadamu mwenzake
 
MATAGA mkiona tajiri mnajua ni mwizi... Magu kawaharibu sana
Tatizo lenu ni nyumbu mnaofata mkumbo tu sisi tunaendelea kuwakumbusha nyinyi matapeli wa kisiasa,
Hao wote ndo ilikua karata yenu ya kupiga pesa ajabu Mnawatetea Sasa.
Ni kawaida yenu lakini maana hata LOWASA mlimuita fisadi miaka 8 Kabla ya gia angani,then mkaanza kumnadi na kutaka mpewe ushahidi na ndugu zenu CCM,
Hamkuchoka mkambeba na yule mlimuita MR.Zero(Sumaye)
Mkaona hamjarizika mkambeba na mzee wa Twiga Nyalando.
Eti mnataka ushahidi wakati nyinyi ndo mlipaswa mseme hao watu mlowatuhumu mwanzo mmewasugua na dodoki!!
 
Tatizo lenu ni nyumbu mnaofata mkumbo tu sisi tunaendelea kuwakumbusha nyinyi matapeli wa kisiasa,
Hao wote ndo ilikua karata yenu ya kupiga pesa ajabu Mnawatetea Sasa.
Ni kawaida yenu lakini maana hata LOWASA mlimuita fisadi miaka 8 Kabla ya gia angani,then mkaanza kumnadi na kutaka mpewe ushahidi na ndugu zenu CCM,
Hamkuchoka mkambeba na yule mlimuita MR.Zero(Sumaye)
Mkaona hamjarizika mkambeba na mzee wa Twiga Nyalando.
Eti mnataka ushahidi wakati nyinyi ndo mlipaswa mseme hao watu mlowatuhumu mwanzo mmewasugua na dodoki!!
Tulia kijana sindano isijekakatikia kwenye kalio
 
Hamchelewagi kupiga gia za angani ni nyumbu.
Kama Sasa hivi Mnawatetea kina;
MANJI
SETH WA ESCROW.
PAPAA MSOFE.
WAUZA NGADA.
MAJAMBAZI.
WAHALIFU WENGINE.

N.K.
Kua walionewa awamu ilopita huku mkipiga miluzi na nyimbo za mapambio kia mama anaupiga mwingi,sitoshangaa siku mkimtetea huyohuyo Sabaya kia hana kisa na mtashangilia akiachiwa
Anayemtetea Seth kati ya sisi na hawa ni yupi ?

1544778_IPTL_MBWENI_PIX_2.jpg
 
Back
Top Bottom