Full Blood Picture
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 2,223
- 3,961
Je ina maana hasitahili kuwa na wakili. Maana kazi ya wakili ni kitetea. Akimtetea naye afungwe siyo?Huyu jamaa nani alikuwa anamlinda? Kwanini kila mtu anamlalamikia?
Anastahili adhabu gani huyu jambazi?
Yeye na kiongozi wake aliempa dhamana pamoja na Magaidi wote wanastahili kulipwa walichopanda hapa duniani