Mnaomuelewa Zuchu mtueleweshe

Mnaomuelewa Zuchu mtueleweshe

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,311
Reaction score
15,640
Huyu dada katoa ngoma nyingi ila hata moja sijaielewa, nikajua anatubip tu kuna vitu vinakuja...cha kushangaza muda unavyozidi kwenda ndio kama anazidi kutusisitiza hivyo alivyo ndivyo alivyo na tumkubali hivyo hivyo. Naamini hata waliompokea kwa nguvu zote wanakua dissapointed sasa maana ngoma mpya na Mondi nikajua ndo wamemaliza kumbe ndo wanakazia mulemule alimopitia kwenye nyimbo za mwanzo ambazo hata hujui ipi ni ipi zote mulemule na makelele mengi.

Nilianza kupata imani kwenue ngoma ya Karantini ambayo alifanya vizuri japo aliefunika mule ni Queen Darleen na ile verse 'Karantini yangu mi na machizi ni kuparty na usingizi.

Ila tuache utani WCB kama pamoja na kumpika zuchu na tena kumpa collabo na mondi ndio mmetoa project mbovu hivi naanza kuamini sasa hampo serious aisee, nyie hatujawazoea kulipualipua kazi.
 
Mkuu Kuna wanaomuelewa kimuziki tupo tunaomuelewa kwa kumtaka kimahaba,kimapenzi,kumlamla,kumfidodido..😜
Toto yuko vizuri na anafaa kwa matumizi..😎
Sio kwamba ni mzuri sema kuna vitu anavyo anashawishi sana😎
 
Heeeh nikajua nipo peke angu, nisie muelewa huyu kidampa lol.
Yaan ktk wasanii waliofail mapema ni huyu, afu eti wanamfananisha na jay dee, vee money khaaaah, hovyoooooh.

Ni nani huyo???
 
Back
Top Bottom