Mnaomuulizia Mzee Mkuchika majibu yenu haya hapa

Huyo mzee ndio mwenye funguo ya milango ya ikulu.
Ana wajibu wa kufundisha vijana wengine awaachie mikoba au vijana wa sikuhizi wanawaza kutunisha mifuko yao kwanza?
 
Waziri wa nchi ofisi ya rais na utumishi was umma
 
Hamna anayemuulizia wewe ndio umemuona leo ulijua hayupo.
Mkuchika yupo daily newala na watu wake. Na yupo sana serikalini. Na kwenye media nadhani hata kwa membe aliongea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…