Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
𝙺𝚒𝚙𝚒𝚗𝚍 𝚔𝚒𝚗𝚊𝚊𝚗𝚣𝚊 𝚜𝚊𝚊 10 𝚖𝚙𝚔 𝚜𝚊𝚊 1 𝚓𝚒𝚘𝚗, 𝚗𝚊 𝚔𝚒𝚙𝚒𝚗𝚍 𝚔𝚒𝚕𝚎 𝚌𝚑𝚊 𝚖𝚒𝚌𝚑𝚎𝚣𝚘 𝚠𝚊𝚖𝚎𝚔𝚒𝚛𝚞𝚍𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚗𝚢𝚞𝚖𝚊 𝚔𝚒𝚗𝚊𝚊𝚗𝚣𝚊 𝚜𝚊𝚊 1 𝚖𝚙𝚔 𝚜𝚊𝚊 2Hicho kidemu kilikuwa kinasema kipindi kitaanza saa 10 kumbe ni saa 11 jioni
Sema nini wasafi wapunguze kukopi vipindi toka kwenye Radio nyingine halafu wanakuja na mikwara mingiiii kumbe hewa tu
Tangazo lao𝙺𝚒𝚙𝚒𝚗𝚍 𝚔𝚒𝚗𝚊𝚊𝚗𝚣𝚊 𝚜𝚊𝚊 10 𝚖𝚙𝚔 𝚜𝚊𝚊 1 𝚓𝚒𝚘𝚗, 𝚗𝚊 𝚔𝚒𝚙𝚒𝚗𝚍 𝚔𝚒𝚕𝚎 𝚌𝚑𝚊 𝚖𝚒𝚌𝚑𝚎𝚣𝚘 𝚠𝚊𝚖𝚎𝚔𝚒𝚛𝚞𝚍𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚗𝚢𝚞𝚖𝚊 𝚔𝚒𝚗𝚊𝚊𝚗𝚣𝚊 𝚜𝚊𝚊 1 𝚖𝚙𝚔 𝚜𝚊𝚊 2
Kipindi inaitwa ITV 2 wengine tulikuwa hajufika MjiniYote majina yake ITV 2,Channel 5 na sasa EATV.
Radio one ambao matangazo yao ya vifo huwa ya wachagga tu.Hamna Redio isiyo kopi,radio zote radio yao mama ni Radio One,80% ya redio zote wamekopi kutoka radio One sema wengine walikopi waka edit.
Ukija upande wa TV karibia TV zote hasa za vijana zimekopi vitu vingi kutoka EATV (Zamani ITV 2),so hamna kitu kipya chini ya jua siku hizi vitu vingi watu watu wanakopi na kuedit.
Wamezindua kwa mbwembeeeeee kipindi chao cha kukopi.Hiyo ndiyo Jahazi ya Wasafi fm sio?
Hata Radio One nae alikopi.. chini ya jua hamna kipya, nikuchukua idea na kuifanya kuwa boraHamna Redio isiyo kopi,radio zote radio yao mama ni Radio One,80% ya redio zote wamekopi kutoka radio One sema wengine walikopi waka edit.
Ukija upande wa TV karibia TV zote hasa za vijana zimekopi vitu vingi kutoka EATV (Zamani ITV 2),so hamna kitu kipya chini ya jua siku hizi vitu vingi watu watu wanakopi na kuedit.
Ilipooza sababu walikuwa wanafanya kazi kwa mazoea,wakasahau kuongezea ubunifu kazi zao.Radio one ambao matangazo yao ya vifo huwa ya wachagga tu.
Halafu inakuwaje Radio one imepooza utafikiri underdog kwenye ulimwengu wa habari.
Mkuu huyo ndiye Sekion David, wa City sound enzi za Channel 5, akaja kuwa meneja wa akina Masanja enzi za Ze Comedy? Kama ni yeye mbona akabadirika sana.Daah Seki sijui alipotelea wapi,hiki kichwa kipo vizuri tokea enzi za kipindi cha mambo hayo.
Watoto wa Jana hawawezi jua hizo mamboHamna Redio isiyo kopi,radio zote radio yao mama ni Radio One,80% ya redio zote wamekopi kutoka radio One sema wengine walikopi waka edit.
Ukija upande wa TV karibia TV zote hasa za vijana zimekopi vitu vingi kutoka EATV (Zamani ITV 2),so hamna kitu kipya chini ya jua siku hizi vitu vingi watu watu wanakopi na kuedit.
Mwenyewe huyo.Mkuu huyo ndiye Sekion David, wa City sound enzi za Channel 5, akaja kuwa meneja wa akina Masanja enzi za Ze Comedy? Kama ni yeye mbona akabadirika sana.
Ongezea na Dudubaya.Huyo baba levo atabaki kumzungumzia Msechu na shishi wake tu[emoji849]
Kabadirika sana aisee muda unaenda kasi sanaMwenyewe huyo.
Kawa kijanaKabadirika sana aisee muda unaenda kasi sana
city soundDaah Seki sijui alipotelea wapi,hiki kichwa kipo vizuri tokea enzi za kipindi cha mambo hayo.
Ndinga mpya town/ Ea drive na JahaziWakopi kutoka radio gani kwani?
Sasa huyu baba levo s anagombea udiwani.. Au katema mzigo