JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Kwani mdau huu uzi umeanza kuusoma page ipi!? Maana naona kama unamaanisha jamaa anaweza kufanya kazi katika kila kituo kwa wakati mmoja. Kama wale Lecturers wa vyuo ,asubuhi yuko IFM, jioni ana pindi CBE.Kwa sasa hayupo simsikii tena