Mnaonaje Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035?

Mnaonaje Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035?

Subiri Mungu atakujibu swali lako kwani hata Magufuli mlisema atawale maisha lakini Mungu akawajibu. Tusubiri tu, subira yavuta heri.
 
By katiba ..but actual ikoje? Rais ana uhuru wa kuchukua ushauri kokote. Ai kwa vice tu
Atachukuwa ushauri kokote lakini ndani ya wigo na maelekezo ya Katiba maana akichukuwa ushauri kinyume na maelekezo ya Katiba nani atakuwa answerable?
 
Atachukuwa ushauri kokote lakini ndani ya wigo na maelekezo ya Katiba maana akichukuwa ushauri kinyume na maelekezo ya Katiba nani atakuwa answerable?
Nani anamuwajibisha rais?
Namba moja anaweza kufanya afanyalo na katiba una mlinda. Mostly hatoshatkiwa.

So anaweza chukua popote na hato fanywa lolote. Maana katiba ina mlinda
 
Nani anamuwajibisha rais?
Namba moja anaweza kufanya afanyalo na katiba una mlinda. Mostly hatoshatkiwa.

So anaweza chukua popote na hato fanywa lolote. Maana katiba ina mlinda
Mkuu sorry, nilimaanisha hao watakaokuwa wamemshauri huko nje ya maelekezo ya Katiba ya nani anapaswa kumshauri, kwamba wakimshauri vibaya itakuwaje?
 
Ni kwa sababu humpendi kauli za hivi zilitolewa kwa Magufuri yaliyotokea tunayajua.
 
Nachokoza mada.

Wadau mnaonaje kama Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035? Kwa kuwa Rais Samia alichukuwa nafasi yake kufuatia mauti ya mtangulizi wake mwanzo wa safari na kwamba hakukuwa na utaratibu wa mila na desturi ya uchaguzi bali ilikuwa ni kutimiza matakwa ya katiba.

Kiuhalali na kwa haki kwake, anastahili kuwa wa pili nyuma ya Mwl Nyerere kwa kukaa ofisini kwa miaka 15 kwa maana ya miaka aliyopokea kijiti kwa sharti la katiba na ndipo sasa astahili utaratibu wa mila na desturi yetu ya uchaguzi ambapo anaruhusiwa awamu mbili 2025 – 2035?

Nini maarifa yako, tupe maoni kwa vigezo na ushahidi.
Tunakwenda by the book wala si matakwa ya watu au kundi fulani. La msingi na maana zaidi ni kwamba wapiga kura ndiyo waamuzi wa muda wa kiongozi kukaa madarakani
 
Tunakwenda by the book wala si matakwa ya watu au kundi fulani. La msingi na maana zaidi ni kwamba wapiga kura ndiyo waamuzi wa muda wa kiongozi kukaa madarakani
Ni kweli mkuu, ila wapiga kura nao wanategemea maelekezo ya Katiba kuhusu wanachopaswa kufanya.
 
Unayajua majukumu ya cdf?
Cdf hayuko juu ya rais lakin anawajibika kwa rais moja kwa moja bila kupitia kokote.
Yes vice ni mtu wa chin tu kama wazir mkuu na wengine. Rais anaweza order siri flan zisitoke.. nani ajue na nani asijue.
Kwa hiyo unasema kwamba Mkuu wa Majeshi ana security clearance ya juu kuliko Vice President, YES or NO ?
 
Kiazi mbatata👇
1633627952_1633627952-picsay.jpg
 
Kwa hiyo unasema kwamba Mkuu wa Majeshi ana security clearance ya juu kuliko Vice President, YES or NO ?
Could be. Yeye ni ana represent organ ya majeshi yote both military and palamilitary entities.
Anaweza kuwa nayo au asiwe nayo. But ita depend na situation itakayo kuwa inaendelea wakati huo
 
Could be. Yeye ni ana represent organ ya majeshi yote both military and palamilitary entities.
Anaweza kuwa nayo au asiwe nayo. But ita depend na situation itakayo kuwa inaendelea wakati huo
Siri kubwa za nchi si lazima zihusishe majeshi tu. Wafanyakazi wa benki kuu wakisuka mpango wa kuchoma benki kuu majeshi hayahusiki wala hayatajua kabla ya Ikulu kupitia Usalama wa Taifa kitengo cha BOT.

Lakini kama una security clearance status kubwa kuliko ya mwenzio basi kiutaratibu ni lazima utajulishwa kila kitu ambacho mtu wa chini yako kwenye security clearance totem pole anajua no matter linahusiana na nini.

Kwa hiyo, aidha CDF Mabeyo ana security clearance status kubwa kuliko VP Samia {sasa Philip Mpango} au Rais JPM alimdharau Samia, akawa anamruka, akamuweka Mabeyo juu ya Samia kwenye siri za nchi.
 
Back
Top Bottom