mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Utopolo makundi labda ya vicobaBaada ya Simba kumfunga De Agosto yameibuka maneno yanayosema De Agosto ni mdhaifu kuliko Al Hilal. Sasa naomba ufanywe mpango utopolo wacheze na De Agosto nyumbani na Simba wakapambane na Al Hilal.
Unadhani utopolo atafanikiwa kuingia makundi?
Baada ya Simba kumfunga De Agosto yameibuka maneno yanayosema De Agosto ni mdhaifu kuliko Al Hilal. Sasa naomba ufanywe mpango utopolo wacheze na De Agosto nyumbani na Simba wakapambane na Al Hilal.
Unadhani utopolo atafanikiwa kuingia makundi?
Utopolo makundi labda ya vicoba
Mkuu unasahau kuwa hii mechi zote mbili zilipigwa pale chamazi kutokana Na uviko 19 ??? Utalinganisha Na Sasa hivi
Kwani hao Al Hilal si ndiyo waliwafunga nyinyi goli 1-0 mwezi uliopita! Subirini kaka zenu wakawafutie aibu yenu.Baada ya Simba kumfunga De Agosto yameibuka maneno yanayosema De Agosto ni mdhaifu kuliko Al Hilal. Sasa naomba ufanywe mpango utopolo wacheze na De Agosto nyumbani na Simba wakapambane na Al Hilal.
Unadhani utopolo atafanikiwa kuingia makundi?
Ninyi chezeni na Agosto nyumbani si vibonde mbona mnawaogopaKwani hao Al Hilal si ndiyo waliwafunga nyinyi goli 1-0 mwezi uliopita! Subirini kaka zenu wakawafutie aibu yenu.
Hao ndiyo wanao wafaa nyinyi. Wacha sisi tukacheze na wababe wenu walio wafunga wiki chache tu zilizopita kule Sudan.Ninyi chezeni na Agosto nyumbani si vibonde mbona mnawaogopa
Mkacheze au mkawafunge ?Hao ndiyo wanao wafaa nyinyi. Wacha sisi tukacheze na wababe wenu walio wafunga wiki chache tu zilizopita kule Sudan.
Lakini pia zaidi ya wachezaji 10 wa kuaminiwa waligundulika kuwa na corona hivyo kuzuiwa kucheza!! Hivi wachezaji watano tu tegemeo wa yanga wakizuiwa kucheza jibu unalo mwen yewe!! Jiandaeni kubeba kapu la magoli huko ugenini!Mkuu unasahau kuwa hii mechi zote mbili zilipigwa pale chamazi kutokana Na uviko 19 ??? Utalinganisha Na Sasa hivi
Mtakapopigwa khamsa msiseme hatukuwapa msaada. Nendeni mkijua ni kuanzia goli 3 had 5 mnabugizwa. Hapa waliwakosakosa mnajiona mna timu.Hao ndiyo wanao wafaa nyinyi. Wacha sisi tukacheze na wababe wenu walio wafunga wiki chache tu zilizopita kule Sudan.
Dah mungu angesaidia ikawa hivyoUzuri de agosto anatoka anaenda shirikisho Kama yanga Mimi naomba tu wakutane huko huko
Labda Profesa avurunde tena kwenye upangaji wa timu kama alivyofanya kwenye mechi iliyopita. Kinyume na hapo, Yanga ina kikosi imara sana tu msimu huu.Mtakapopigwa khamsa msiseme hatukuwapa msaada. Nendeni mkijua ni kuanzia goli 3 had 5 mnabugizwa. Hapa waliwakosakosa mnajiona mna timu.