mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Baada ya Simba kumfunga De Agosto yameibuka maneno yanayosema De Agosto ni mdhaifu kuliko Al Hilal. Sasa naomba ufanywe mpango utopolo wacheze na De Agosto nyumbani na Simba wakapambane na Al Hilal.
Unadhani utopolo atafanikiwa kuingia makundi?
Unadhani utopolo atafanikiwa kuingia makundi?