Mnaongeza sifuri kwenye ujenzi!

Mnaongeza sifuri kwenye ujenzi!

Milioni 80 ni nyingi kwa kuandika lakini kwa mahesabu ya ujenzi (ghorofa) basi hapo ni size yake.

Hapo kuna jamvi la ground floor na jamvi la first floor, ring beams na columns (hesabu saruji na vyuma hapo)

Hujaweka cement na mazagazaga kwenye foundation.

Window grills tayari, halafu bado unapiga kelele ya 80?
Sema ukweli,acha unafki.
 
Akae anajua pia gorofa halina udogo!

kwenye ujenzi mil 80 tena wa gorofa siyo hela ya kukaa mtu unalialia.

Ndiyo maana watu hawajengi gorofa hovyo, siyo kwamba hawataki, ila bajeti inabana.

Mfano ukiwa na mil 50 unaweza kujenga nyumba ya kawaida na ukahamia (ila haijakamilika finishing zote).
Tukija kwenye gorofa mil 50 ni kama hela ya siment na nondo peke yake.
King Kong III na Ushimen
 
Milioni 80 ni nyingi kwa kuandika lakini kwa mahesabu ya ujenzi (ghorofa) basi hapo ni size yake.

Hapo kuna jamvi la ground floor na jamvi la first floor, ring beams na columns (hesabu saruji na vyuma hapo)

Hujaweka cement na mazagazaga kwenye foundation.

Window grills tayari, halafu bado unapiga kelele ya 80?
Million 80 unaijua Lkn Nkuu?
Acheni utani
 
Nyie mnaongeza sifuri kwenye ujenzi mnatutoa sana kwenye reli hata pesa tunaishia kuhonga badala ya kujenga!

Kuja fundi alinitumia hii picha ya nyumba hapo chini na kuniambia hadi hapo ilipofikia imekula milioni 80,yaani nilitamani hata kumtia makofi!

Tuacheni tabia ya kuongeza sifuri kwenye ujenzi ili uonekane umejenga kwa milioni 200 kumbe umeongeza sifuri kwa mbele!

View attachment 2476704
Kweli hadi hapo ilipofikia ni milioni 80???[emoji276]
Kwa kuwa amejenga na mchanga uliotoka machimbo ya dhahabu basi hata hiyo 80m kajenga under price
 
Back
Top Bottom