Mdigokhan
JF-Expert Member
- May 2, 2022
- 942
- 2,198
Kuna moja inaitwa sabrina little baby😋,au basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna moja inaitwa sabrina little baby😋,au basi
Yeah. Kachanganya filesKachanganya na Badoo na tinder uyo,telegram haina huo upuuzi
Huyo bonge ni mchafu. Alafu anajifanya ana bei sanaKuna moja inaitwa sabrina little baby[emoji39],au basi
RIP mzee wetuUkitaka vya bei chee ndo hapo utaambulia malaya wachafu kama huyo!
Mie jana mkesha wa mwaka mpya nilikuwa zangu Mwanza kuna kiwanja flani nimenunua malaya kadada flani kembamba wastani keupe yaani mtoto ni mbichi kabisa halafu msafi hana harufu hata kidogo utadhani hauzi mbususu
Yaani nimelala nako usiku kucha na nimeenjoy vizuri tu kama niko na mama watoto kuanzia romance, styles, na michezo kibao !
Asubuhi nimekaachia elfu hamsini nikaondoka nimechukua namba yake next time ntakatumia nauli kaje Dom tule maisha.
Uwanjja fisi,Sokota,Wailes,Tandika,Kigamboni au Mwananyamala?Kuna mpumbavu mmoja alituhadithia alienda nunua wale wa 3000 akaambiwa akiongeza ikawa buku 5000 anapiga kavu akafanya hivyo
Tulitamani tumpige makofi
Wengi ni wanawake waliokuwa kwenye ndoa na wakashindikana kwa viburi,jeuri,uzinzi n.k, wengine wamekimbia kulima vijijini,wenye tamaa na wachache waliopigwa kimaisha!Hawa watu sometimes sio kwamba wanapenda ni hali ya maisha...Kaka ukitaka kujua kuna wengine wanalia moyoni just kaa nao chini wafanye rafiki waulize watakwambia mengi sana na hapo ndo utaamini watu wanapitia maisha magumu.....
Kuna wakati mtu anakosa cha kushika na hajui afanye nini.
So bila kuwahukumu wafanye rafiki waulze wanataka nini,Na kwanini wako pale kama ni chakula wasaidie mnunulie hata kigunia cha mchele (kama una pesa) au mpe pesa kama ni kodi mlipie kodi naamini watabadilika...saa zingine muite piga naye stori muulize kwanini anafanya hivyo watakuambia..na kama ni shida tatua shida yake (Bila kuichakata mbususu) atakuheshimu kama ndugu yake.....
Pisi Kali za Kununua na safi ziko Tagged na Tinder tu, yaani usipokuwa makini unauza mechi.
Na ndo kwanza siku ya 2 leoHuu mwaka utakuwa mrefu sana!
Mchumba nawe si habaMalaya unamlipa elfu 10 unategemea nini?
Safiri na mke au mpenzi wako mkuu.Mapenzi yanataka romance, umlambe, akulambe, umnyonye shingo, maziwa, sikio. Umtikise matako (kama anayo lakini). Ukimaliza kugonga mkumbatiane. Sasa wale watoto wachafu mnafanyaje?
Saa nyingine sio nyege ni Spirits/roho chafu zinakua zinamuandama mtu.Unaweza ona kawaida kumbe not real youNimenunua sana malaya meeda, ambiance, na Sasa telegram. Ukweli wengi ni wachafu, Ila nyege hazina adabu me
[emoji16][emoji16] maji mengi sio dawa kumbeRoho i radhi, mwili ni dhaifu [emoji28]
Salamu alikutumia kwa simu rafiki?[emoji848]Wanaume tunahitaji maombi ya ziada. Namshukuru Mungu kwenye hili la Malaya nimevipiga vita na mwendo nimeumaliza. Hawa watu awe mzuri vipi, ntamnunulia chakula na akihitaji nauli ntamsaidia lakini sio kugusana nao.
Kuna siku nipo mahali akaja mmoja wa kisomali, kusema ukweli alikua mzuri nywele ndefu kazibana vizuri. Analalamika njaa, nikamwambia agiza chakula, akapiga baadae akaomba ajiliwaze na kabia, nikamwambia agiza tu. Kichwani akajua hapa tayari marketing skills zimejibu. Akachezacheza na simu akaniambia anakuja Mara Moja.
Niliendelea kupata chakula na kinywaji kama dakika 40 akarudi nywele alivyozibana zimefunguliwa hazijawekwa sawa kama awali. Nikajua tayari kazi imeanza.
Baada ya muda nikamuaga naondoka, akahamaki kwanini namuacha? Nikamwambia nawahi familia. Nikajiuliza hata kama ingekua ni mhitaji na mteja, Yani nna ushahidi wote kwamba ametoka kupeana huko namie nikapatiwe?
Tulikutana Tena siku ingine akanilaumu namtelekeza, tukapiga stori mbili tatu, tukala, nikakumuuliza straight unafanya kazi gani? Kusema ukweli aliniambia bila kuficha anajiuza na kusingizia mambo mengi kwamba hapendi ila shida tu na elimu hana kaishia form two. Nikampatia nauli tukaachana.
Leo kanitumia Salam za mwaka mpya.
Kabisa.... "Huduma ya kuoshwa kichwa kwa kitambaa ifanyike hapohapo"Mtihani Mkubwa kabisa Kwa Sasa unanikabili ni pale unapoenda kukata nywele. Wale wadada baada ya huduma kuanzia anapokuja kufunga kitaulo akuulize utafanya vitu Gani anataka akushike mabenga alafu ghafla anakuita mpenzi...
Hapo ndio hua inabidi nimuulize, ukifanya scrub na hiyo dawa ya mba unayolazimisha utapata kiasi gani? Akishataja namwambia Sasa hiyo pesa ntakupatia ila chukua maji ya moto, weka dental Kisha nisafishe kichwa Kwa kitambaa, ntaenda kuoga nyumbani.
Wenye hizi Barber shop inabidi wajiongeze, sio Kila mtu anapenda kwenda hizo sehem anataka huduma ya ziada Tena Kwa stranger.
Huduma ya kuoshwa kichwa Kwa kitambaa ikiwezekana ifanyike hapo hapo unaponyolewa Tena na kinyozi wa kiume bila kuingizana huko chumbani na kushkanashkana masikio.
Salamu alikutumia kwa simu rafiki?[emoji848]
Mdau si uende direct tu kua unataka hiyo namba?Salamu alikutumia kwa simu rafiki?[emoji848]
Kwa Dunia ya sasa haina sababu hata kidogo kununua wanawake wanao jiuza, ukiwa ni mtu wa safari kikazi, ktk maeneo hayo unaweza kua na watu wasio Malaya wakujiuza isipokua watu wanaojielewa ila wanaweza kukupa mwili any time.. hawa wa mitandaoni na wanaojipanga usiku mitaani, aisee kwanza wanaweza kukupa mikosi inayoweza kukuletea mabalaa ya muda mrefu ktk maisha yako, wakati mwingine wanalala na watu waliotoka kwa waganga na wamewafuata kulala nao na kuwaachia mikosi yao, yaani kimsingi Malaya anaye jiuza ana balaa la kufa mtu ktk ulimwengu wa roho.Mwaka flani nikiwa Dodoma nikashikwa na nyege kali kutokana na baridi kali ya June. Nikauchek mchepuko unaojielewa ukabana. Nikachek marafiki wapenda pombe ili niwanyweshe niwakabili kimasihara, sikufanikiwa.
Mpaka kufikia saa 4 jitihada zikagonga mwamba. Nikakumbuka uzi wa Telegram JF. Nikasaka danga nikafanikiwa lakini roho haina raha kabisa kununua malaya.
Tukaanza ubishani na yule malaya. Nikamuomba atume picha nimtathmini akakataa, akasema kwani nina shida na uchi au sura! Hilo nikalimezea.
Ubishi wa pili ni sehemu ya tukio. Akasema short time ni elfu 10 lakini ana chumba chake hapo Makole. Nikamwambia siwezi kuja sina uhakika na usalama wangu.
Akaniambia nisiwe na shaka mpaka usiku huu ameshahudumia wanne hapo room kwake. Daah wanaume wanne huo uchi si utakuwa umechakazwa sana. Akanitia kinyaa, nikamwambia poa nitakupigia. Sikumrudia tena.
Ikabidi niwacheki madalali maarufu wanitumia picha iwe mrembo anayeweza kuja lodge kwangu. Wao hawaitani malaya wanaitana mrembo au pisi. Akatuma,nikachagua mwembamba mwenye tako zuri.
Yule demu akafika lakini hakuwa mzuri kama yule wa kwenye picha. Ingawa alikuwa yeye ila picha zilijaa editing. Huyu alikuwa kachakaa sana, sura haina nuru halafu kapiga mkorogo. Nikaingiwa aibu, nikajiuliza hivi hata dada wa mapokezi atanionaje?! Yaani chumba cha 40,000 naingia kitu kama kile.
Nikaona liwalo na liwe nitafumba macho,kikubwa nikojoe tu. Nikamtia ndani yule malaya. Ile anaingia tu akapigiwa simu na danga lingine. Akaliambia kuna kichwa hapa baada ya saa atakuja aandae hela ya kulala. Akanikata stimu.
Ile nataka kumvua akakataa akaingia chooni akavua suruali na chupi akarudi chumbani bila kuvua tisheti. Nami nikaingia chooni kukojoa nikakuta chupi iliyofichwa kwenye suruani ni chafu na ina michaniko. Nikasema huyu ngoja nintafutie sababu aondoke, siwezi lala na demu kama huyu hata kama ni uzinzi.
Akanitaka nimpe kwanza hela yake elfu 10 ndio apande kitandani. Nikaona hapa hapa namletea ukorofi. Nikamkoromea unanikata stimu, nahitaji unitoe stress niinjoi mapema ila wewe unakuja na ubabe. Akaniambia hapo yupo kazini nifanye haraka kuna mtu anamsubiri.
Nikatoa elfu 10 nikamtaka atoke room kwangu simtaki tena. Akavaa akafungua mlango akatoka.
Nikamshukuru Mungu kwa kuniokoa na huo uchafu. Lakini jambo la msingi najiuliza, wale jamaa wanaonunua malaya wa mitandaoni au vichochoroni wana moyo gani. Hamsikii kinyaa? Mbona wale mademu wabovu sana.
Mapenzi yanataka romance, umlambe, akulambe, umnyonye shingo, maziwa, sikio. Umtikise matako (kama anayo lakini). Ukimaliza kugonga mkumbatiane. Sasa wale watoto wachafu mnafanyaje?