Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Kuna mambo yetu ni nadra sana mtoto wa chuo kuyajua, hawezi kukupa mautundu kama malaya aliyekubuu wa 200k. Tunaangalia value for money.

Nikizamaga nikiopoa malaya wa exotic Tanzania wale malaya wa mule wanajua aisee yaani natoa 200k kiroho safi
Daah yaani hio "kiroho safi"

[emoji1787][emoji1787]
 
Duh, namshukuru Mungu hili gonjwa sijawahi kulipata. Nasikia ni habari nyingine. Unakutana na mdada ni msafi balaa, ukimthaminisha unajua kabisa hii kitu ni pure(sema maradhi ni maradhi tu).
Ulmkipata utajuta kuzaliwa

Usaha unakutoka non stop

Ukienda kojoa tu ni kama mtu anaingia kipande Cha moto kwenye urethra.[emoji1]

Aibu ukienda hospitali unaoneka mzinzi na mbaya hujui matumizi sahihi ya kondomu.

Acha ngono zembe

Kondomu zinaokoa sana maisha
 
Usirudie tena achana na hizo mbanga za hatari
 
Ukilamba nyonyo tu, unaibiwa mpka sauti.
Ukiamka asubuh kitu pekee ulichobaki nacho ni makende yako yakiwa yamesinyaa kama shingo ya jogoo la kienyeji..
Mkuu, wanaokula "maraya" hua wanajilipua unless uwe na ukwasi mreeefu upate wale grade 1.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Outings za walalahoi Wala pweza vumbi ni

Kimboka by night

Lambo bar

Lubumbashi bar

Sugar ray bar

Ushenzini bar and pub.

Huko utawakuta wanakaa viroba vya jerojero na kuuziana utamu kwa shilingi 759/=

Ng'ombe wa masikini hazai, akizaa anazaa dume.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] mzee umefikiria nini mpaka ukasema hivyo? Mbona kama unabagua?[emoji38]
 
Moro pande za wapi kihonda au misufini[emoji1]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Anastahilj mabanzi mazito ya utosi au nyuma ya shingo.

Huwezi kuwa na akili timamu ukala Malaya bila kondomu hata kama uwe umelawa vipi kula Malaya bila ndomu ni ufala ufalasi wa kibashiteism
 
Bwana Yesu asifiwe mtumishi😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…