Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Kuna mambo yetu ni nadra sana mtoto wa chuo kuyajua, hawezi kukupa mautundu kama malaya aliyekubuu wa 200k. Tunaangalia value for money.

Nikizamaga nikiopoa malaya wa exotic Tanzania wale malaya wa mule wanajua aisee yaani natoa 200k kiroho safi
Daah yaani hio "kiroho safi"

[emoji1787][emoji1787]
 
Duh, namshukuru Mungu hili gonjwa sijawahi kulipata. Nasikia ni habari nyingine. Unakutana na mdada ni msafi balaa, ukimthaminisha unajua kabisa hii kitu ni pure(sema maradhi ni maradhi tu).
Ulmkipata utajuta kuzaliwa

Usaha unakutoka non stop

Ukienda kojoa tu ni kama mtu anaingia kipande Cha moto kwenye urethra.[emoji1]

Aibu ukienda hospitali unaoneka mzinzi na mbaya hujui matumizi sahihi ya kondomu.

Acha ngono zembe

Kondomu zinaokoa sana maisha
 
[emoji23][emoji23][emoji23] dahh!! Kwanza nimeshusha pumzi ndefu. Hiki kisanga Cha namna hii kimewahi nikuta wakuu.

Na ukawa ndio mwisho wangu wa kununua Malaya haijalishi awe wa bei gani.

Yaani kuna wengine wanatumika kiasi mpka anapoteza radha kwa wale watakao mchukua mida ya usiku.
Usirudie tena achana na hizo mbanga za hatari
 
Ukilamba nyonyo tu, unaibiwa mpka sauti.
Ukiamka asubuh kitu pekee ulichobaki nacho ni makende yako yakiwa yamesinyaa kama shingo ya jogoo la kienyeji..
Mkuu, wanaokula "maraya" hua wanajilipua unless uwe na ukwasi mreeefu upate wale grade 1.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Watu wengi wanapenda utulivu sana na wenye pesa hawapendi kelele muda wote wanataka warelax mwili na akili anakula spirit zake na grilled fish au meat huku mipango yake inaendelea hata simu anazima kwanza au anagonga champagne yake matata huku akiwaza mengine, wenzangu na mimi outing zetu tunawaza ngono tu ukamate yupi ukararue hata kama hana viwango
Outings za walalahoi Wala pweza vumbi ni

Kimboka by night

Lambo bar

Lubumbashi bar

Sugar ray bar

Ushenzini bar and pub.

Huko utawakuta wanakaa viroba vya jerojero na kuuziana utamu kwa shilingi 759/=

Ng'ombe wa masikini hazai, akizaa anazaa dume.
 
Outings za walalahoi Wala pweza vumbi ni

Kimboka by night

Lambo bar

Lubumbashi bar

Sugar ray bar

Ushenzini bar and pub.

Huko utawakuta wanakaa viroba vya jerojero na kuuziana utamu kwa shilingi 759/=

Ng'ombe wa masikini hazai, akizaa anazaa dume.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] mzee umefikiria nini mpaka ukasema hivyo? Mbona kama unabagua?[emoji38]
 
Laki mbona mbali kwa wale wahuni wenye uwezo wa kati aandae 20,000 tu mbona atafaidika .

Ndio maana naipenda Morogoro yaani kuku wa kienyeji 20,000 tena msafi na vyote unafanyiwa . Morogoro mjini sio pa kuwa na demu [emoji16] wadada wameridhika na maisha hawana makuu wanapenda singeli , shughuli , kanda za season za kutafsiriwa ,Nguruka . Vijora, nk. sasa umpe 20k anajituma huyo ili umuite tena

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Moro pande za wapi kihonda au misufini[emoji1]
 
Unaenda Riverside au Mwananyamala unaenda nunua malaya wale wa 3000 3000 au kule mpanda wale malaya wa 1000 halafu unapiga kavu [emoji16]


Hujue hapo kuna nati imechomoka kichwani mwako kiufupi haupo sawa ni mtu hatari na haupaswi kuendelea kuwepo katika jamii

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Anastahilj mabanzi mazito ya utosi au nyuma ya shingo.

Huwezi kuwa na akili timamu ukala Malaya bila kondomu hata kama uwe umelawa vipi kula Malaya bila ndomu ni ufala ufalasi wa kibashiteism
 
Kuna mwaka nikiwa masomoni, nikashikwa na nyege balaa. Nikawaza nikaona njia rahisi ni kutafuta guest house na kabla ya kulipia nimuombe mhudumu aniunganishie malaya, akaniunganishia fresh.

Sasa huwa na tatizo la kuchelewa kukojoa endapo nitatumia condom. Nilimaliza condom 3 bila kukojoa na sikuwa na zingine. Hadi malaya akawa anataka niongeze hela.

Nikamuuliza Mara ya mwisho ulipima lini VVU? akasema wiki hiyo na alikuwa salama. Nikauza mechi aisee!

Baada ya siku tatu nikaanza kuhisi maumivu wakati wa haja ndogo plus usaha kwenye tundu la kitombeo. Nikaenda Kituo Cha afya nikaambiwa una gonorrhea, aisee nikajiuliza Kama Nina gono manake hata umeme utakuwepo! Nilidungwa sindano moja na nikapewa vidonge vichache.

Mziki ukabaki kusubiri miezi 3 ipite ili nikaangalie umeme Kama upo. Aisee nilikondaa hadi nikawa na uwezo wa kuhesabu mifupa ya mbavu. baada ya miezi 3 kupita nikapiama Niko poa. Hapo hapo nikaenda kubatizwa kwa maji mengi.
Bwana Yesu asifiwe mtumishi😂😂😂
 
Back
Top Bottom