Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Kama mlimkula sema tu kaka we don't judge
Hapana....hatukula kabisa..hata kumgusa tu hapana.Huo ujasiri Mungu alininyima kabisa....Nilikuwa nikifika hatua hiyo naanza kumuwaza mama yangu nyumbani, familia yetu na changamoto tulizopitia naona isiwetabu natulia...

Sasa nimeoa kabisa..nina mtoto..ndo mpango sina kabisa...

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Mwaka fulani nikiwa Dodoma nikashikwa na nyege kali kutokana na baridi kali ya June. Nikauchek mchepuko unaojielewa ukabana. Nikachek marafiki wapenda pombe ili niwanyweshe niwakabili kimasihara, sikufanikiwa.

Mpaka kufikia saa 4 jitihada zikagonga mwamba. Nikakumbuka uzi wa Telegram JF. Nikasaka danga nikafanikiwa lakini roho haina raha kabisa kununua malaya.

Tukaanza ubishani na yule malaya. Nikamuomba atume picha nimtathmini akakataa, akasema kwani nina shida na uchi au sura! Hilo nikalimezea.

Ubishi wa pili ni sehemu ya tukio. Akasema short time ni elfu 10 lakini ana chumba chake hapo Makole. Nikamwambia siwezi kuja sina uhakika na usalama wangu.

Akaniambia nisiwe na shaka mpaka usiku huu ameshahudumia wanne hapo room kwake. Daah wanaume wanne huo uchi si utakuwa umechakazwa sana. Akanitia kinyaa, nikamwambia poa nitakupigia. Sikumrudia tena.

Ikabidi niwacheki madalali maarufu wanitumia picha iwe mrembo anayeweza kuja lodge kwangu. Wao hawaitani malaya wanaitana mrembo au pisi. Akatuma, nikachagua mwembamba mwenye tako zuri.

Yule demu akafika lakini hakuwa mzuri kama yule wa kwenye picha. Ingawa alikuwa yeye ila picha zilijaa editing. Huyu alikuwa kachakaa sana, sura haina nuru halafu kapiga mkorogo. Nikaingiwa aibu, nikajiuliza hivi hata dada wa mapokezi atanionaje?! Yaani chumba cha 40,000 naingia kitu kama kile.

Nikaona liwalo na liwe nitafumba macho, kikubwa nikojoe tu. Nikamtia ndani yule malaya. Ile anaingia tu akapigiwa simu na danga lingine. Akaliambia kuna kichwa hapa baada ya saa atakuja aandae hela ya kulala. Akanikata stimu.

Ile nataka kumvua akakataa akaingia chooni akavua suruali na chupi akarudi chumbani bila kuvua tisheti. Nami nikaingia chooni kukojoa nikakuta chupi iliyofichwa kwenye suruani ni chafu na ina michaniko. Nikasema huyu ngoja nintafutie sababu aondoke, siwezi lala na demu kama huyu hata kama ni uzinzi.

Akanitaka nimpe kwanza hela yake elfu 10 ndio apande kitandani. Nikaona hapa hapa namletea ukorofi. Nikamkoromea unanikata stimu, nahitaji unitoe stress niinjoi mapema ila wewe unakuja na ubabe. Akaniambia hapo yupo kazini nifanye haraka kuna mtu anamsubiri.

Nikatoa elfu 10 nikamtaka atoke room kwangu simtaki tena. Akavaa akafungua mlango akatoka.

Nikamshukuru Mungu kwa kuniokoa na huo uchafu. Lakini jambo la msingi najiuliza, wale jamaa wanaonunua malaya wa mitandaoni au vichochoroni wana moyo gani. Hamsikii kinyaa? Mbona wale mademu wabovu sana.

Mapenzi yanataka romance, umlambe, akulambe, umnyonye shingo, maziwa, sikio. Umtikise matako (kama anayo lakini). Ukimaliza kugonga mkumbatiane. Sasa wale watoto wachafu mnafanyaje?
FB ni ya hovyo lakini kuna nyama za maana,Mimi natumia kwa kunasa nyama tu na karibia kila wiki lazima nibadilishe kicheche cha maana
 
Mkuu hapo unazungimzia malaya ambae kasha kuwa maharufu ni kama hao mademu kalibia wote maharufu wanajiuza sema inategemea na dau lako asee sema wao wanaendekeza starehe ndio mana wachache sana ndio utoboa.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Samahani hivi hujui kuandika? Shule ulikuwa unaandika hivyo na walimu walikua wanakuacha tu?
 
Apo wanalipia chumba, wana kula, wana jiremba na kujipendezesha kuwavutia wateja na wao pia watu wana familia zao hawawezi kuwa mamillionea kirahisi
Hayo mamilioni hawapati usiwe muongo halafu hakuna excuse ya kuwa malaya ni kujiendekeza tu
 
Malayaa hapigwi romance aiseee...[emoji3][emoji3][emoji3] Wew fikaa dindisha chomekaaa..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nitakuwa natatizo kufika na kuweka sitaweza, walau ainyonye basi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tusidanganyane.....kama akipata wateja watano kwa siku inamana ana laki Tano na kwa wiki ana zaidi ya milioni 3 na kwa mwezi ana milioni 12 na kwa mwaka zaidi ya milioni 144....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nadhani angeshakua milionea tayari na ameshaacha hyo kazi
Huwa wanaishi sehemu mbaya sana
 
Vipi hiyo excuse ya umalaya?
Mm nilikuwa namwambia uyo jamaa alie piga hesabu zake na kusema Malaya watakua mamillionea nkamjibu hata kama wangekuwa wanapata izo millioni kuna masuala ya wao kulipia vyumba ,kula vizuri,kujipendezesha,kupima afya zao lkn pia wao wana ndugu zao lzm wawatumie hela na wengine wana watoto sasa hakuna sehemu nimeongelea au nimemaanisha excuse labda umeelewa vibaya
 
Ww umeokota takataka a telgram[emoji1787][emoji23]

Me nilikuwa nanua ila nimeacha,kuna malaya ni pis kali na wasafi wapo kibao.

Me nilikua nao wa 4 niliuganishwaga na dalali wao nikatumiwa kama picha 100 nichague nae taka, nikachagua hao wa nne nikapewa namba nikiwa na nyege nawacheki hao ila saiv nimestaafu uzinzi.
 
Back
Top Bottom