Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Nimecheka😂, siku nyingi sana sijaingia telegram ,nitapita pita leo nioneWahuni wakiwa na nyege wanajilipua tu majuto baadae
Halafu wale mademu ni washirikana walikuwa wanatangaza kwenye group kama kuna kilema wa miguu lakini mashine inafanya kazi awafate inbox akawagonge bure sharti awe kilema
Hageuki nyumaukitoka hapo unatembea kwa kupepesuka kidogo
Acha uzinzi boss ipo siku utanishukuruMwaka flani nikiwa Dodoma nikashikwa na nyege kali kutokana na baridi kali ya June. Nikauchek mchepuko unaojielewa ukabana. Nikachek marafiki wapenda pombe ili niwanyweshe niwakabili kimasihara, sikufanikiwa.
Mpaka kufikia saa 4 jitihada zikagonga mwamba. Nikakumbuka uzi wa Telegram JF. Nikasaka danga nikafanikiwa lakini roho haina raha kabisa kununua malaya.
Tukaanza ubishani na yule malaya. Nikamuomba atume picha nimtathmini akakataa, akasema kwani nina shida na uchi au sura! Hilo nikalimezea.
Ubishi wa pili ni sehemu ya tukio. Akasema short time ni elfu 10 lakini ana chumba chake hapo Makole. Nikamwambia siwezi kuja sina uhakika na usalama wangu. Akaniambia nisiwe na shaka mpaka usiku huu ameshahudumia wanne hapo room kwake. Daah wanaume wanne huo uchi si utakuwa umechakazwa sana. Akanitia kinyaa, nikamwambia poa nitakupigia. Sikumrudia tena.
Ikabidi niwacheki madalali maarufu wanitumia picha iwe mrembo anayeweza kuja lodge kwangu. Wao hawaitani malaya wanaitana mrembo au pisi. Akatuma,nikachagua mwembamba mwenye tako zuri. Yule demu akafika lakini hakuwa mzuri kama yule wa kwenye picha. Ingawa alikuwa yeye ila picha zilijaa editing. Huyu alikuwa kachakaa sana, sura haina nuru halafu kapiga mkorogo. Nikaingiwa aibu, nikajiuliza hivi hata dada wa mapokezi atanionaje?! Yaani chumba cha 40,000 naingia kitu kama kile.
Nikaona liwalo na liwe nitafumba macho,kikubwa nikojoe tu. Nikamtia ndani yule malaya. Ile anaingia tu akapigiwa simu na danga lingine. Akaliambia kuna kichwa hapa baada ya saa atakuja aandae hela ya kulala. Akanikata stimu. Ile nataka kumvua akakataa akaingia chooni akavua suruali na chupi akarudi chumbani bila kuvua tisheti. Nami nikaingia chooni kukojoa nikakuta chupi iliyofichwa kwenye suruani ni chafu na ina michaniko. Nikasema huyu ngoja nintafutie sababu aondoke, siwezi lala na demu kama huyu hata kama ni uzinzi.
Akanitaka nimpe kwanza hela yake elfu 10 ndio apande kitandani. Nikaona hapa hapa namletea ukorofi. Nikamkoromea unanikata stimu, nahitaji unitoe stress niinjoi mapema ila wewe unakuja na ubabe. Akaniambia hapo yupo kazini nifanye haraka kuna mtu anamsubiri.
Nikatoa elfu 10 nikamtaka atoke room kwangu simtaki tena. Akavaa akafungua mlango akatoka.
Nikamshukuru Mungu kwa kuniokoa na huo uchafu. Lakini jambo la msingi najiuliza, wale jamaa wanaonunua malaya wa mitandaoni au vichochoroni wana moyo gani. Hamsikii kinyaa? Mbona wale mademu wabovu sana.
Mapenzi yanataka romance, umlambe, akulambe, umnyonye shingo, maziwa, sikio. Umtikise matako (kama anayo lakini). Ukimaliza kugonga mkumbatiane. Sasa wale watoto wachafu mnafanyaje?
Ni mwendo wa kujilipua, mbususu kazi yake ni kuchakatwaKujilipua tuu
ile ya Mwananyamala pale, design mbovu , kuna mlango mmoja tu, ukitoka hapo unakutana na mtaa uwazi kabisa kila mtu anajua umetoka kwa wahayaHageuki nyuma
Ununio kule ndiyo unapata type hizi, classic kabisa,Mimi huwa napenda utulivu nikifanya uzinzi. Sipendi kelele na mazingira machafu. Romance lazima, foreplay, maongezi kidogo. Sio mambo ya kuburuzana na mtu uko. Na bado huwa sipendi mdada yeyote anatumia makeup, wigi au anayeedit picha. Kwa hali hii uwa nalazimika nitoke na cycle yangu ambayo kuna back up plan
Hii ni hatari sana bei yao chini ya 1$.😂 😂 😂 🤣 🤣 🤣 MKUU KUNA HAWA WANAOJIUZA 3000 TANDIKA
Mwanaume, hujawahi kununua malaya nawewe unasimama mbele za watu unasema mi ni mwanaume?!Kununua malaya ni upumbavu wa kiwango cha lami😠
Hapo lazima uumbuke [emoji3] ukitokaile ya Mwananyamala pale, design mbovu , kuna mlango mmoja tu, ukitoka hapo unakutana na mtaa uwazi kabisa kila mtu anajua umetoka kwa wahaya
chimbo zuri la buguruni, kula exits kibao, huku na kule,
Siku ukikua utaelewaKununua malaya ni upumbavu wa kiwango cha lami[emoji34]
Ndio tutapata lakini kwasasa ngoja kwanza tujadiri hili tatizo
Tutapata Katiba Mpya kweli?
Nahisi maisha yamezidi kuwa magumu na hakuna hata social allowance sana sana kwa nchi zetu za Africa hivyo na kama unavyoelewa tena hakuna pesa unaweza kuipta pasina kugeuza ujuzi ulionao kuleta faida yaani ni lazma umesoma na kama hujasoma basi lazma uwe na kazi...Ukiniambia swala la kulima sio kila mtu ana shmba jiulize mtu kazaliwa mjini kakulia mjini unamwambia akalime atatoa waoi shamba? Inabidi tubadlishe sera zetu kupunguza hawa watu kwa sasa wanazidi sana wapo mpka wa 1000 maana ninaimani kabisa huyo wa 3000 ukimpa 1500 hawz kataaHii ni hatari sana bei yao chini ya 1$.
Kuna shida ipo mahali kuanzia ngazi ya familia .
Naam, inatakiwa kuwa hivi, siku moja mimi pia kuna pisi ilinifuata kama wewe hivo ila tupo night club,Wanaume tunahitaji maombi ya ziada. Namshukuru Mungu kwenye hili la Malaya nimevipiga vita na mwendo nimeumalizia. Hawa watu awe mzuri vipi, ntambunulia chakula na akihitaji nauli ntamsaidia lakini sio kugusana nao.
Kuna siku nipo mahali akaja mmoja wa kisomali, kusema ukweli alikua mzuri nywele ndefu kazibana vizuri. Analalamika njaa, nikamwambia agiza chakula, akapiga baadae akaomba ajiliwaze na kabia, nikamwambia agiza tu. Kichwani akajua hapa tayari marketing skills zimejibu. Akachezacheza na simu akaniambia anakuja Mara Moja.
Niliendelea kupata chakula na kinywaji kama dakika 40 akarudi nywele alivyozibana zimefunguliwa hazijawekwa sawa kama awali. Nikajua tayari kazi imeanza.
Nikamuaga naondoka, akahamaki kwanini namuacha? Nikamwambia nawahi familia. Nikajiuliza hata kama ingekua ni mhitaji na mteja, Yani nna ushahidi wote kwamba ametoka kupeana huko namie nikapatiwe?
Tulikutana Tena siku ingine akanilaumu namtelekeza, tukapiga stori mbili tatu, tukala, nikakuuliza straight unafanya kazi Gani? Kusema ukweli aliniambia bila kuficha anajiuza na kusingizia mambo mengi kwamba hapendi ila shida tu na elimu Hana kaishia form two. Nikamwambia nauli tukaachana.
Leo kanitumia Salam za mwaka mpya.
Naam, inatakiwa kuwa hivi, siku moja mimi pia kuna pisi ilinifuata kama wewe hivo ila tupo night club,
Imekuja ikaomba ikae na mimi nikakubali,stories mbili tatu demu anadai ana njaa nikamnunulia chakula ila alikifakamia nikamwambia kula taratibu nitakuongeza,nikamuongeza chakula,alidai njaa kali
Mwishowe mimi uvumilivu ulinishinda ,nilienda nayo lodge nikapiga mpaka asubuhi, demu hakutaka aniache akaomba twende kwake nikakubali tukafika tukapiga stories mbili tatu demu anasema anaweza kutulia nimuoe
Ile kindness niliomuonesha aliikubali sana,we kept in touch kama marafiki tu badae nikapoteza simu na namba yake
Hawa watu sometimes sio kwamba wanapenda ni hali ya maisha...Kaka ukitaka kujua kuna wengine wanalia moyoni just kaa nao chini wafanye rafiki waulize watakwambia mengi sana na hapo ndo utaamini watu wanapitia maisha magumu.....Naam, inatakiwa kuwa hivi, siku moja mimi pia kuna pisi ilinifuata kama wewe hivo ila tupo night club,
Imekuja ikaomba ikae na mimi nikakubali,stories mbili tatu demu anadai ana njaa nikamnunulia chakula ila alikifakamia nikamwambia kula taratibu nitakuongeza,nikamuongeza chakula,alidai njaa kali
Mwishowe mimi uvumilivu ulinishinda ,nilienda nayo lodge nikapiga mpaka asubuhi, demu hakutaka aniache akaomba twende kwake nikakubali tukafika tukapiga stories mbili tatu demu anasema anaweza kutulia nimuoe
Ile kindness niliomuonesha aliikubali sana,we kept in touch kama marafiki tu badae nikapoteza simu na namba yake