Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Acha uzinzi boss ipo siku utanishukuru
 
Mimi huwa napenda utulivu nikifanya uzinzi. Sipendi kelele na mazingira machafu. Romance lazima, foreplay, maongezi kidogo. Sio mambo ya kuburuzana na mtu uko. Na bado huwa sipendi mdada yeyote anatumia makeup, wigi au anayeedit picha. Kwa hali hii uwa nalazimika nitoke na cycle yangu ambayo kuna back up plan
 
Ununio kule ndiyo unapata type hizi, classic kabisa,
 
Mkuu we uliopoa wa bei chee
Jana mie moro town baada kutoka MANUNGU tukaenda SAMAKI SAMAKI
Kwanza nkamtia 10 muhudumu hii ilikuwa kama BIMA mana malaya wa bar wezi kishezi so hata angeniibia LODGE ningejua wapi pakuanzia kwa kweli utamu ukikolea unajikuta unanyonya tu maziwa hii mbinu ya BIMA nilipewa na malaya mwenzangu
(muhudumu mshikaji alikuwa wa kiume)
muhudumu nikamuambia anichekie chombo safi anayemjua VIWANGO dau langu ni 30
Basi bana baada mwaka mpya tyu
Nikasepa na chombo mali safi kabisa
Tuliagana 30 lkn kwa show alonipa nikamuongezea 10
kama kawa namba nikachukua nampanga tukienda SINGIDA naenda naye

Ukitaka wa bei rahisi unaambulia malaya ambao wanakula vichwa vya 10 au mkono wa hovyo kwa usiku mmoja anatombana hata na wanaume wa5
Lkn ukitoa donge NONO unapata wale wa DANGA nene anavizia kibopa mmoja wa uhakika
we mkishaelewana mpe pombe tyu alewe ili uenjoy showshow
 
Hii ni hatari sana bei yao chini ya 1$.

Kuna shida ipo mahali kuanzia ngazi ya familia .
Nahisi maisha yamezidi kuwa magumu na hakuna hata social allowance sana sana kwa nchi zetu za Africa hivyo na kama unavyoelewa tena hakuna pesa unaweza kuipta pasina kugeuza ujuzi ulionao kuleta faida yaani ni lazma umesoma na kama hujasoma basi lazma uwe na kazi...Ukiniambia swala la kulima sio kila mtu ana shmba jiulize mtu kazaliwa mjini kakulia mjini unamwambia akalime atatoa waoi shamba? Inabidi tubadlishe sera zetu kupunguza hawa watu kwa sasa wanazidi sana wapo mpka wa 1000 maana ninaimani kabisa huyo wa 3000 ukimpa 1500 hawz kataa
 
Naam, inatakiwa kuwa hivi, siku moja mimi pia kuna pisi ilinifuata kama wewe hivo ila tupo night club,

Imekuja ikaomba ikae na mimi nikakubali,stories mbili tatu demu anadai ana njaa nikamnunulia chakula ila alikifakamia nikamwambia kula taratibu nitakuongeza,nikamuongeza chakula,alidai njaa kali

Mwishowe mimi uvumilivu ulinishinda ,nilienda nayo lodge nikapiga mpaka asubuhi, demu hakutaka aniache akaomba twende kwake nikakubali tukafika tukapiga stories mbili tatu demu anasema anaweza kutulia nimuoe

Ile kindness niliomuonesha aliikubali sana,we kept in touch kama marafiki tu badae nikapoteza simu na namba yake
 

Hawa watu wanahitaji upendo wetu sana.
 
Hawa watu sometimes sio kwamba wanapenda ni hali ya maisha...Kaka ukitaka kujua kuna wengine wanalia moyoni just kaa nao chini wafanye rafiki waulize watakwambia mengi sana na hapo ndo utaamini watu wanapitia maisha magumu.....
Kuna wakati mtu anakosa cha kushika na hajui afanye nini.
So bila kuwahukumu wafanye rafiki waulze wanataka nini,Na kwanini wako pale kama ni chakula wasaidie mnunulie hata kigunia cha mchele (kama una pesa) au mpe pesa kama ni kodi mlipie kodi naamini watabadilika...saa zingine muite piga naye stori muulize kwanini anafanya hivyo watakuambia..na kama ni shida tatua shida yake (Bila kuichakata mbususu) atakuheshimu kama ndugu yake.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…