Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Ndo walewale mkuu kuna mmoja mimi namjua anapost Instagram anafanya biashara ila telegram yupo anauza nyuchi, kule tinder profile yake ameweka anatafuta marafiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji34],ila nimeona hapo telegram wengine ni watoto kabisa na wameingizwa kwenye ukahaba.
Huko walikowatoa ndugu zao wanajua wanafanya kazi ya maana
 
Vijana mnachezea afya zenu kirahisi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…