Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Ndo walewale mkuu kuna mmoja mimi namjua anapost Instagram anafanya biashara ila telegram yupo anauza nyuchi, kule tinder profile yake ameweka anatafuta marafiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji34],ila nimeona hapo telegram wengine ni watoto kabisa na wameingizwa kwenye ukahaba.
Huko walikowatoa ndugu zao wanajua wanafanya kazi ya maana
 
ngoja upate hii utajuta
FB_IMG_16851225810887898.jpg


Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mwaka nikiwa masomoni, nikashikwa na nyege balaa. Nikawaza nikaona njia rahisi ni kutafuta guest house na kabla ya kulipia nimuombe mhudumu aniunganishie malaya, akaniunganishia fresh.

Sasa huwa na tatizo la kuchelewa kukojoa endapo nitatumia condom. Nilimaliza condom 3 bila kukojoa na sikuwa na zingine. Hadi malaya akawa anataka niongeze hela.

Nikamuuliza Mara ya mwisho ulipima lini VVU? akasema wiki hiyo na alikuwa salama. Nikauza mechi aisee!

Baada ya siku tatu nikaanza kuhisi maumivu wakati wa haja ndogo plus usaha kwenye tundu la kitombeo. Nikaenda Kituo Cha afya nikaambiwa una gonorrhea, aisee nikajiuliza Kama Nina gono manake hata umeme utakuwepo! Nilidungwa sindano moja na nikapewa vidonge vichache.

Mziki ukabaki kusubiri miezi 3 ipite ili nikaangalie umeme Kama upo. Aisee nilikondaa hadi nikawa na uwezo wa kuhesabu mifupa ya mbavu. baada ya miezi 3 kupita nikapiama Niko poa. Hapo hapo nikaenda kubatizwa kwa maji mengi.
Vijana mnachezea afya zenu kirahisi sana
 
Back
Top Bottom