Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Kweli we kontawa brother
 

Jamaa alikuwa na emergency. Ukiwa na desperation huwezi pata matokeo mazuri na hawa viumbe, unahitaji utulivu kupima na kuchagua au uwe mzoefu kama wewe senior.

Angeenda zake massage dodoma pale zipo kibao city center.

Au angetengeneza urafiki na pisi aliyoielewa then achukue namba kwa matumizi ya kesho yake mchana.

Usiku watu wapo marktime kazini [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Namshukuru Mungu kanitoa kwenye hiki janga.
Mwanza-kirumba
Dodoma-keko na dmc
Morogoro-kaumba
Dar- Tandika,liquid,buguruni,mwananyamala.

Eh Mungu nisamehe
 
Safi mkuu. Huna mbambamba na mtu. Unafanya poa sana kutobagua kusosholaizi na ke kisa malaya.

Wanaume tuige mfano wako. Mtu akiwa na shida mpe haijalishi malaya au la.

Binadamu tulivyoumbwa, tunahitaji kupendwa, ni hitaji muhimu sana. Inafanya mtu ajisikie kuthaminiwa.
Ukipata nafasi ya kuonyesha upendo Kwa mtu, fanya hivyo.

Kuna wakati naweza kumpita mtu anahitaji msaada, ghafla natafakari, ingekua ni pisi Kali ningeipita? Angekua ni mtu naona naweza kunufaika nae Kwa lolote ningeipita? Hapo hapo narudi na kufanya kile unaona kitakua Cha msaada. Kama ni lift unampatia Hadi pale anapoenda na mwisho anakwambia ubarikiwe sana mwanangu.

Kama ni mtu alikua na mizigo unamsaidia kuibeba Hadi pale unapoweza, inakufanya unajisikia vizuri.

Kuna mambo mawili ntaongea Kwa kifupi sana Kwa kua lengo sio kujisifu ila naomba iwe kama kuwatia moyo wengine, Kuna baraka tunapishana nazo.

1. Nikiwa natoka international house, karibia na IT plazza nilimpita kijana na Mama wako pembeni barabarani, niliwatazama bila kusema chochote lakini roho ikanipa msisitizo niwarudie. Kiupufi Mama alikua na maumivu wametoka ocean road, nilibahatika kufanikisha usafiri na vitu vidogo ikiwepo dawa na Mwaka mmoja baadae kijana alinipigia kumshukuru na kunipa taarifa yule Mama alifariki.

2. Nipo maeneo ya mnazi mmoja baba kabeba mtoto na mkewe amebeba mizigo, unaona kabisa kama wametoka hospital na wanahangaika usafiri. Niliwasogelea nikawauliza wanaopenda, pembeni kulikua na tax, nikamwambia jamaa awapeleke.

3. Tulikua bank Moja nipo Kwa foleni nalipia ada watoto, Mara Mzee mmoja Yuko pembeni damu zinavyja anaonekana anamaumivu makali. Kumfuata kuongea nae kumbe alianguka akifuatilia mafao yake. Walikua wawili nikakabidhi pesa na slip Kwa mhudumu wa benki na kumwambia ntarejea niwapeleke hospital, nilipowakabidhi hospital na kywaachia mawasiliano endapo kiratokea kitu nikarudi zangu benk kumalizia mchakato.

Nnachotaka kususitiza huu mwaka unapoanza, tujitahidi kadri tupataponafasinkyinyesha upendo Kwa wengine hata Kwa sehem ndogo tu.
Nimetoa mfano kama kutia moyo na si kujisifu Kwa kua kama ni kujisifu, hivyo vyote ni vitu vidogo sana haifai hata kuvisema.

Niwatakie mwaka mpya wenye afya njema, mafanikio na Kila hitaji jema la mioyo yenu 2023!
 
Mwanaume unasema mimi sinunui Malaya halafu una demu kawapanga kama timu [emoji16] hununui ila unahudumia malaya
haha ndiyo nashangaa, anahonga 50k kwa week kwa demu alaf anasema 'hanunui'

demu huyo huyo anayemhonga 50k a week, ana account Tagged, papuchi iko sokoni kwa 40k usiku kucha, shwaini kabisa
 

We ni mshamba sana mwanangu demu wa telegram unatakaje akutumie picha yake uione. Na mpaka unaingia telegram ulikuwa hujui kuwa hao ni malaya mpaka ushangae kwamba anahudumia watu wanne. Mjini hapa mzee watu wanataka money
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…