Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Kwenye bachelor party ya mwanetu alikuwa anaoa

Kwenye nyumba yake Tulikodi stripper hakuna cha simu unakuwa na suti ya kuzaliwa full pombe mademu kama wote



Ilikuwa tabata ndio maana nasema ipo siku mvua ya moto itashuka tabata hameni mapema [emoji16]

.. sema nini wana mkiona mtu anajenga Safina tushtuane msipeleke milembe hamuwezi jua
 
OkwiBoban nakuonaga mtu wa maana umeniangusha sana.

Malaya wote 90% ni machokoraa wanaotafuta mkono uende kinywani tu.

Wamechoka wakachakaa na hawana akili. Ni wachafu na wamepinda balaa. Hawana hisia za mapenzi wengi ni walioumizwa kwenye familia, jamii, mahusiano au hata kwenye ndoa.
 
Malaya ni malaya tu
 
Mimi mwaka huu sitaongelea dhambi

Tizama sasa yamekuwa mapya mimi nimeamua kubadilika sitaki tena imetosha OKW BOBAN SUNZU ungana na mimi tutimize ndoto zetu miaka yaenda blood

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Mkuu tuungane. Hayo unayosema ndio yalikuwa maombi yangu leo kwenye ibada. Nimemuomba Mungu anisaidie 2023 sitaki uzinzi. Mkuu nilifikia hatua natenga bajeti ya kugonga mademu. Hii ni mbaya sana
 
Kama ni boss umepata mzee baba huyo ndio boss sasa

Bora tusiopenda unafiki mwanawane tunanunua tunajilia vyetu vitamu maisha yanaenda. Kazi yetu ni kubadilisha machimbo na kubook wa mitandaoni

Wanawake wengi siku hizi ni malaya tu utofauti wapo wanaojiuza direct na hawa mitaani indirect
 
Mkuu mimi nimeamua kuwa muwazi katika kujutia na kujisahihisha. Sileti hili kama jambo la kujivunia
 
Mkuu tuungane. Hayo unayosema ndio yalikuwa maombi yangu leo kwenye ibada. Nimemuomba Mungu anisaidie 2023 sitaki uzinzi. Mkuu nilifikia hatua natenga bajeti ya kugonga mademu. Hii ni mbaya sana
Kitu nilichojifunza kadiri unavyotumia pesa hasa kununua malaya.

Ukimaliza kugonga unakuwa na nguvu ya kutafuta pesa kwa namna yoyote ile kufidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…