Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

Zaidi ya uchafu....utaishia kubeba roho chafu na nuksi..

Acha uzinzi kiongozi
Tangu nianze kununua malaya karibu machimbo yote ya Dar nimeenda.

Nilianza kununua malaya mtaa wa Ohio, pale Posta nikiwa na miaka 16. Kwa sasa chimbo ambalo bado sijaenda hapa Dar ni pale Mbezi Msakuzi kwa Lipelanya

Huko kote niliponunua sijaona nuksi yoyote wala roho chafu

Zaidi ninachopata ni starehe maana kila aina ya mwanamke kwa sasa nimeshatomba

Kwenye mtandao nafanya booking nasafiri hadi nje ya Dar kufuata nyapu sijaona madhara yoyote
 
Mwaka flani nikiwa Dodoma nikashikwa na nyege kali kutokana na baridi kali ya June. Nikauchek mchepuko unaojielewa ukabana. Nikachek marafiki wapenda pombe ili niwanyweshe niwakabili kimasihara, sikufanikiwa.
Mpaka kufikia saa 4 jitihada zikagonga mwamba. Nikakumbuka uzi wa Telegram JF. Nikasaka danga nikafanikiwa lakini roho haina raha kabisa kununua malaya.

Tukaanza ubishani na yule malaya. Nikamuomba atume picha nimtathmini akakataa, akasema kwani nina shida na uchi au sura! Hilo nikalimezea.

Ubishi wa pili ni sehemu ya tukio. Akasema short time ni elfu 10 lakini ana chumba chake hapo Makole. Nikamwambia siwezi kuja sina uhakika na usalama wangu. Akaniambia nisiwe na shaka mpaka usiku huu ameshahudumia wanne hapo room kwake. Daah wanaume wanne huo uchi si utakuwa umechakazwa sana. Akanitia kinyaa, nikamwambia poa nitakupigia. Sikumrudia tena.

Ikabidi niwacheki madalali maarufu wanitumia picha iwe mrembo anayeweza kuja lodge kwangu. Wao hawaitani malaya wanaitana mrembo au pisi. Akatuma,nikachagua mwembamba mwenye tako zuri. Yule demu akafika lakini hakuwa mzuri kama yule wa kwenye picha. Ingawa alikuwa yeye ila picha zilijaa editing. Huyu alikuwa kachakaa sana, sura haina nuru halafu kapiga mkorogo. Nikaingiwa aibu, nikajiuliza hivi hata dada wa mapokezi atanionaje?! Yaani chumba cha 40,000 naingia kitu kama kile.

Nikaona liwalo na liwe nitafumba macho,kikubwa nikojoe tu. Nikamtia ndani yule malaya. Ile anaingia tu akapigiwa simu na danga lingine. Akaliambia kuna kichwa hapa baada ya saa atakuja aandae hela ya kulala. Akanikata stimu. Ile nataka kumvua akakataa akaingia chooni akavua suruali na chupi akarudi chumbani bila kuvua tisheti. Nami nikaingia chooni kukojoa nikakuta chupi iliyofichwa kwenye suruani ni chafu na ina michaniko. Nikasema huyu ngoja nintafutie sababu aondoke, siwezi lala na demu kama huyu hata kama ni uzinzi.

Akanitaka nimpe kwanza hela yake elfu 10 ndio apande kitandani. Nikaona hapa hapa namletea ukorofi. Nikamkoromea unanikata stimu, nahitaji unitoe stress niinjoi mapema ila wewe unakuja na ubabe. Akaniambia hapo yupo kazini nifanye haraka kuna mtu anamsubiri.

Nikatoa elfu 10 nikamtaka atoke room kwangu simtaki tena. Akavaa akafungua mlango akatoka.

Nikamshukuru Mungu kwa kuniokoa na huo uchafu. Lakini jambo la msingi najiuliza, wale jamaa wanaonunua malaya wa mitandaoni au vichochoroni wana moyo gani. Hamsikii kinyaa? Mbona wale mademu wabovu sana.

Mapenzi yanataka romance, umlambe, akulambe, umnyonye shingo, maziwa, sikio. Umtikise matako (kama anayo lakini). Ukimaliza kugonga mkumbatiane. Sasa wale watoto wachafu mnafanyaje?
Pisi Kali za Kununua na safi ziko Tagged na Tinder tu, yaani usipokuwa makini unauza mechi.
 

Attachments

  • Screenshot_20230102-001951.png
    Screenshot_20230102-001951.png
    197.3 KB · Views: 177
  • Screenshot_20230102-001739.png
    Screenshot_20230102-001739.png
    248.4 KB · Views: 147
Mwaka flani nikiwa Dodoma nikashikwa na nyege kali kutokana na baridi kali ya June. Nikauchek mchepuko unaojielewa ukabana. Nikachek marafiki wapenda pombe ili niwanyweshe niwakabili kimasihara, sikufanikiwa.
Mpaka kufikia saa 4 jitihada zikagonga mwamba. Nikakumbuka uzi wa Telegram JF. Nikasaka danga nikafanikiwa lakini roho haina raha kabisa kununua malaya.

Tukaanza ubishani na yule malaya. Nikamuomba atume picha nimtathmini akakataa, akasema kwani nina shida na uchi au sura! Hilo nikalimezea.

Ubishi wa pili ni sehemu ya tukio. Akasema short time ni elfu 10 lakini ana chumba chake hapo Makole. Nikamwambia siwezi kuja sina uhakika na usalama wangu. Akaniambia nisiwe na shaka mpaka usiku huu ameshahudumia wanne hapo room kwake. Daah wanaume wanne huo uchi si utakuwa umechakazwa sana. Akanitia kinyaa, nikamwambia poa nitakupigia. Sikumrudia tena.

Ikabidi niwacheki madalali maarufu wanitumia picha iwe mrembo anayeweza kuja lodge kwangu. Wao hawaitani malaya wanaitana mrembo au pisi. Akatuma,nikachagua mwembamba mwenye tako zuri. Yule demu akafika lakini hakuwa mzuri kama yule wa kwenye picha. Ingawa alikuwa yeye ila picha zilijaa editing. Huyu alikuwa kachakaa sana, sura haina nuru halafu kapiga mkorogo. Nikaingiwa aibu, nikajiuliza hivi hata dada wa mapokezi atanionaje?! Yaani chumba cha 40,000 naingia kitu kama kile.

Nikaona liwalo na liwe nitafumba macho,kikubwa nikojoe tu. Nikamtia ndani yule malaya. Ile anaingia tu akapigiwa simu na danga lingine. Akaliambia kuna kichwa hapa baada ya saa atakuja aandae hela ya kulala. Akanikata stimu. Ile nataka kumvua akakataa akaingia chooni akavua suruali na chupi akarudi chumbani bila kuvua tisheti. Nami nikaingia chooni kukojoa nikakuta chupi iliyofichwa kwenye suruani ni chafu na ina michaniko. Nikasema huyu ngoja nintafutie sababu aondoke, siwezi lala na demu kama huyu hata kama ni uzinzi.

Akanitaka nimpe kwanza hela yake elfu 10 ndio apande kitandani. Nikaona hapa hapa namletea ukorofi. Nikamkoromea unanikata stimu, nahitaji unitoe stress niinjoi mapema ila wewe unakuja na ubabe. Akaniambia hapo yupo kazini nifanye haraka kuna mtu anamsubiri.

Nikatoa elfu 10 nikamtaka atoke room kwangu simtaki tena. Akavaa akafungua mlango akatoka.

Nikamshukuru Mungu kwa kuniokoa na huo uchafu. Lakini jambo la msingi najiuliza, wale jamaa wanaonunua malaya wa mitandaoni au vichochoroni wana moyo gani. Hamsikii kinyaa? Mbona wale mademu wabovu sana.

Mapenzi yanataka romance, umlambe, akulambe, umnyonye shingo, maziwa, sikio. Umtikise matako (kama anayo lakini). Ukimaliza kugonga mkumbatiane. Sasa wale watoto wachafu mnafanyaje?
Telegram malaya msafi ni Dijja Mpemba tu ambaye sijui kapotelea wapi
 
Kuna mwaka nikiwa masomoni, nikashikwa na nyege balaa. Nikawaza nikaona njia rahisi ni kutafuta guest house na kabla ya kulipia nimuombe mhudumu aniunganishie malaya, akaniunganishia fresh.

Sasa huwa na tatizo la kuchelewa kukojoa endapo nitatumia condom. Nilimaliza condom 3 bila kukojoa na sikuwa na zingine. Hadi malaya akawa anataka niongeze hela.

Nikamuuliza Mara ya mwisho ulipima lini VVU? akasema wiki hiyo na alikuwa salama. Nikauza mechi aisee!

Baada ya siku tatu nikaanza kuhisi maumivu wakati wa haja ndogo plus usaha kwenye tundu la kitombeo. Nikaenda Kituo Cha afya nikaambiwa una gonorrhea, aisee nikajiuliza Kama Nina gono manake hata umeme utakuwepo! Nilidungwa sindano moja na nikapewa vidonge vichache.

Mziki ukabaki kusubiri miezi 3 ipite ili nikaangalie umeme Kama upo. Aisee nilikondaa hadi nikawa na uwezo wa kuhesabu mifupa ya mbavu. baada ya miezi 3 kupita nikapiama Niko poa. Hapo hapo nikaenda kubatiwa kwa maji mengi.
Ilikuwa ni ufala sana.

Malaya hatombwi hata siku Moja

Hata uwe umelewa chakali linapokuja swala la mizagamuo hakikisha akili Yako ioo intact inafanya kazi vizuri.

Kuna umeme, kaswende, kisonono, klamedia, UTI sugu, genital warts babu mzee usiuze mechi tena.

Yaani kuwa suspecious na Kila demu hata awe mzuri vipi
 
Kuwa makini na hao wa telegram Cutemomo alisambaza ukimwi kwa wana


Kuna mwamba wa mbeya alimtumia nauli alivyofika alimpima akamkuta nao kwanza alikuwa anagoma


Na vile video zake anaji record analiwa mpalange kavu nikasema kuna watu wanazid kuunganishwa grid ya taifa megawatts zitazidi kuongezeka
Dijja Mpemba ndio JNHEPP
 
Inauma sana hivi kumbe haya mambo yapo? Nini kinawapata watoto wa kike wajiuze? Na mbaya zaidi eti elfu 10? Mbona kazi zinazoingiza elfu 10 kwa siku ni nyingi?

Mtu anawezaje lala na wanaume wa 4 kwa siku? Magonjwa je? Uchafu? Hao watu wanaoga kweli?

Mimi na huu uzee sijawahi kushiriki tendo na mwanaume ambae siko nae kwenye mahusiano hawa wadogo zetu wanawezaje?
Kazi zimekosa kiasi hiki? Kazi za kuuza duka mbona zipo nyingi? Kuuza uji ma ofisini mbona ni ajira tosha?

Ee Mungu watizame hawa watoto.naumia sana dah.
 
Back
Top Bottom